Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lala usimuache shemejiMbona ni version ya pili ya ile ya namba uno.
Wazee wa makaburi.Mwacheni tu..... hebu tupate matangazo kutoka kwa wadhamini wetu
View attachment 1440835
kESI NA.266/2010 Inayohusu Nabii Mwingira na Wakili Mbuya Kutajwa 1Jun,2012 High Cort - JamiiForums
Mchungaji Mwingira ashtakiwa, adaiwa kuzaa na mke wa raia wa Marekani - JamiiForums
kESI NA.266/2010 Inayohusu Nabii Mwingira na Wakili Mbuya Kutajwa 1Jun,2012 High Cort - JamiiForums
Ninamwamini Mungu 100%"Imani yako ndio itakayo kuponya"
Sawa, ahsante kwa kumjali #lesupershemLala usimuache shemeji
Na hakuna atakachofanywa ..hili ndo la kusikitishaKibwetere ana afadhali.
Mpaka wasomi wetuCorona imeleta siyo shida ya kimwili tu kwa binaadam lakini pia imetuonyesha udhaifu mkubwa kwa hawa watu wa Mungu, yaani hata common sense tu hawana na hii ndo inatupa picha kama jamii nzima kwanini tupo kama tulivyo kuanzia ujinga na umasikini wetu, poor us
Sent from my iPhone using JamiiForums
AiseeeeShaka ondoa Kaka huyu hatoboi huu mwaka janja janja yao sasa hivi imepatikana
Ni mazezetaHivi waumini wa haya makanisa akili zao wanakuwa wamelogwa au huwa wanaziacha mlangoni wakati wanaingia kwenye hayo makanisa?
Kuna sehemu umepotoka yawezekana umefundishwa vibaya kuhusu Imani . Corona imekuja kuwaumbua wale wote wenye imani haba, wawe waumini au wachungaji. Imefika hatua watu wameamini Mungu anaweza kuponya magonjwa fulani na mengine hawezi kitu ambacho si kweli.Kupitia Corona mwenye akili amejua kuwa uponyaji mwingi tunaouona kwenye Tv ni uongo na usanii mtupu.Kwani binadamu tunaongea na Mungu kwa mdomo?
Halafu na huyu ana watu nyuma yake. Yesu mwenyewe alisema waabuduo wataabudu katika Roho na kweli na si kwa mdomo.
Jamani lazima tulijue neno la Mungu na tuwe na kawaida ya kumsikiliza Roho mtakatifu anasemaje na wewe lakini sio mwanadamu. Naamini kama ulikuja na barakoa na ulijisikia una amani tu kuingia nayo kanisani ni Mungu ameruhusu hilo.
Ndio maana hakuna mtu anakaa mlangoni mwa kanisa na kuzuia watu kuingia na kofia au wakivuta sigara ni kwa sababu kuna kuhukumiwa kuwa sio sawa kuingia na kofia kichwani kanisani. Inakuwaje unamruhusu huyu amzuie Roho aliyekuruhusu uingie na barakoa?
Hakika tutakufa kwa uzembe na ujinga kwani Corona haiangalii kama wewe ni wa Kiroho sana au mpagani - wamekufa makasisi, maaskofu na watu tuliojua kuwa no watakatifu. Kikwete alisema za kuambiwa changanya na zako.
Watu kama hawa kina Mwingira si wauaji wa halaiki? Why wanaachwa?
Kwani Barakoa ndio ina zuia Corona au maji tililika!!!..Kama Barakoa ingekua inazuia Corona nadhani wachina wasingepata huu ugonjwa kwasababu wachina wengi maisha Yao huvaa barakoa!!!...Barakoa ni Kinga ya hewa chafu lakini siyo kirusi hiki Cha Corona ndio maana tunaambiwa tuoshe mikono Mara kwa mara,tukae mbali kidogo,hebu tuwe na akili kidogoHuyu ngonja impate ndo atajua umuhimu wa barakoa.
Halafu hivi Mungu anapatikana kwenye buildings zao tu? Eti utasemaje na Mungu. Mungu nasema nae kiroho tena popote pale including nyumbani kwangu.
Mbona watu ni maproffessor na elimu zao zote still wanaenda kwa askofu awasamehe dhambi zao.Imani ni kitu cha ajabu sanaNa hakuna atakachofanywa ..hili ndo la kusikitisha
Mpaka wasomi wetu
Unakuta mtu ana PhD Yuko kanisani Kwa mwingira