Askofu Josephat Mwingira awataka waumini kuvua barakoa

Askofu Josephat Mwingira awataka waumini kuvua barakoa

Huyu ngonja impate ndo atajua umuhimu wa barakoa.

Halafu hivi Mungu anapatikana kwenye buildings zao tu? Eti utasemaje na Mungu. Mungu nasema nae kiroho tena popote pale including nyumbani kwangu.
Mrembo hiyo avatar ya m'bibi hata haivutii
 
Mrembo hiyo avatar ya m'bibi hata haivutii
Ki ideas inavutia sana. Huyu anaitwa Rosa Parks.Enzi za ubaguzi marekani alikataa kumwachia siti mzungu kwenye basi. Enzi hizo sheria ilikuwa haitakiwi mweusi kukaa wakati mzungu kasimama. Huyu mama aliendelea kukaa. Unaambiwa alishitakiwa akalazwa jela. Ila kitendo chake kiliamsha akili za watu weusi katika kudai civil rights zao. She inspires me.
 
Corona imeleta siyo shida ya kimwili tu kwa binaadam lakini pia imetuonyesha udhaifu mkubwa kwa hawa watu wa Mungu, yaani hata common sense tu hawana na hii ndo inatupa picha kama jamii nzima kwanini tupo kama tulivyo kuanzia ujinga na umasikini wetu, poor us


Sent from my iPhone using JamiiForums

Nakubaliana na wewe sana mkuu. Huu ugonjwa unatuonyesha picha halisi ya jamii zetu, viongozi wetu na mifumo yetu ya kupambana na majanga ilivyo.
Hivi kweli katika kipindi kama hiki cha corona mtu anaweza kuongea upuuzi kama huo? Kwamba dunia nzima wataalamu waliosema watu wajikinge ni wajinga? Viongozi wetu including rais ni wajinga? Na mijitu imekaa inampigia makofi! Huyu mchungaji kwanza alitakiwa saa izi awe rumande kwa kuhatarisha maisha..!!

Kuna watu wanadhani kwamba virusi vinawafahamu au vitawaogopa kwavile wao ni manabii, au wachungaji, au wanasali kwa fulani, au wana nafasi fulani katika jamii. Virusi havijui hilo!! Na virusi ukishavipata, ni wewe na familia yako mtakaoteseka usifikiri saa hiyo upo mloganzila mchungaji atathubutu kukusogelea..
 
Hivi kwani yule binti wakuke shinyanga aliyekamatwa na polisi kwa kupotosha taarifa kuhusiana na Corona, yeye alisema nini Cha kipotoshaji zaidi kuriko huyu mchungaji..

Pia hata yule wa mbeya Nadhani ambaye Ni mwanafunzi wa udom.

Sent using my Audi A6 [emoji593]2017 model
 
Ki ideas inavutia sana. Huyu anaitwa Rosa Parks.Enzi za ubaguzi marekani alikataa kumwachia siti mzungu kwenye basi. Enzi hizo sheria ilikuwa haitakiwi mweusi kukaa wakati mzungu kasimama. Huyu mama aliendelea kukaa. Unaambiwa alishitakiwa akalazwa jela. Ila kitendo chake kiliamsha akili za watu weusi katika kudai civil rights zao. She inspires me.
Sawa mama
 
Nakubaliana na wewe sana mkuu. Huu ugonjwa unatuonyesha picha halisi ya jamii zetu, viongozi wetu na mifumo yetu ya kupambana na majanga ilivyo.
Hivi kweli katika kipindi kama hiki cha corona mtu anaweza kuongea upuuzi kama huo? Kwamba dunia nzima wataalamu waliosema watu wajikinge ni wajinga? Viongozi wetu including rais ni wajinga? Na mijitu imekaa inampigia makofi! Huyu mchungaji kwanza alitakiwa saa izi awe rumande kwa kuhatarisha maisha..!!

Kuna watu wanadhani kwamba virusi vinawafahamu au vitawaogopa kwavile wao ni manabii, au wachungaji, au wanasali kwa fulani, au wana nafasi fulani katika jamii. Virusi havijui hilo!! Na virusi ukishavipata, ni wewe na familia yako mtakaoteseka usifikiri saa hiyo upo mloganzila mchungaji atathubutu kukusogelea..
Why hajakamatwa ndo nashangaa
 
Hii kauli ingetoka Kwa wapinzani Leo hii wangekuwa wapo segerea Ila Kwavile imetoka Kwa tapeli wa Imani haina shida
Au ingetoka kwa nguvu ya wapinzani nyuma yake lakini kwa sababu ina nguvu ya kauli ya amiri jeshi wa ufalme wa Uajemi haina shida.
 
Huyu ngonja impate ndo atajua umuhimu wa barakoa.

Halafu hivi Mungu anapatikana kwenye buildings zao tu? Eti utasemaje na Mungu. Mungu nasema nae kiroho tena popote pale including nyumbani kwangu.
Wanakazi ya kuwajaza hofu waumini wao
 
labda huyu mtumishi yupo sahihi. Ukiamini kuwa Maombi yanaweza zuia CORONA isikupate fanya hivyo kwa imani yako. Hata Serekali ilivyoona maambukizi yanaongezeka kwa kasi ilituagiza tufanye maombi. Hivyo huyu mtumishi kama ameshukiwa na roho mtakatifu na akaagizwa kuwa tusivae Barakoa ili ni jambo la kiimani. Kumbukeni pia hizi barakoa zinamnyima mtu kuweza kupumua vizuri, wakati huu ugonjwa unashambulia mapafu hivyo ili uweze kuwa fiti kiafya unahitaji uvute hewa safi yakutosha.
 
labda huyu mtumishi yupo sahihi. Ukiamini kuwa Maombi yanaweza zuia CORONA isikupate fanya hivyo kwa imani yako. Hata Serekali ilivyoona maambukizi yanaongezeka kwa kasi ilituagiza tufanye maombi. Hivyo huyu mtumishi kama ameshukiwa na roho mtakatifu na akaagizwa kuwa tusivae Barakoa ili ni jambo la kiimani. Kumbukeni pia hizi barakoa zinamnyima mtu kuweza kupumua vizuri, wakati huu ugonjwa unashambulia mapafu hivyo ili uweze kuwa fiti kiafya unahitaji uvute hewa safi yakutosha.

Tujifunze kwa waliofanikiwa kupunguza maambukizi mfano China na baadhi ya nchi, je walisikiliza wataalamu na kufanya wanavyosema au walisikiliza wanasiasa, wahubiri nk?
 
Akina Kibwetele wako wengi sana
 
Back
Top Bottom