Askofu Kakobe: Kinachoendelea katika Bunge la Katiba ni uhuni

Askofu Kakobe: Kinachoendelea katika Bunge la Katiba ni uhuni

Wale manyani waliojifungia kule mjengoni Dodoma wakitafuna kodi zetu wangeugua ebola ningeshangilia sana, hawana faida yoyote.
 
...tukiona mtu anasingizia dini kukwepa kuambiwa ukweli kama wewe tunapaswa tukutenge kama mgonjwa wa ukoma...

Asante kumwambia ukweli. Hawa ni watoto wa interahamwe...wamepewa bule simu na bundles kujaza upuuzi jf....tunawasoma na kuwapuuzia....msukumo ndani yao ni hatari zaidi ya huo ukoma.
 
Nawapongeza jukwaa la wakristo kuliona jambo hili la katiba.
 
Kakobe anaongea kama kiongozi mwingine yeyote,wanamjua hajui kuficha yeye yupo pale kunena ukweli yule sio mwanasiasa.
Kakobe mhuni kama wahuni wengine tu ulishaona wapi mtumishi wa mungu mpaka apige lamli ndiyo aendeshe ibada huyu mtumishi wa mungu au wa shetani?
 
Mzee wangu JeiKei tafadhali fumba macho fanya maamuzi magumu rudi mezani umalize tofauti na makundi mbalimbali ili mchakato ukamilike maana kwa sasa wale walioko Dom ni wachumia tumbo wanaoendelea kukutia doa naamini hizi kelele haziwezi kupita kama upepo safari hii lazima zilete matokeo chanya usisubiri tena vunja BMK kwa sasa kuanza upya sio dhambi.
 
Huyu mganga wa kienyeji naye anyamaze tu asitusumbue kabisa na madawa yake ya jadi.

Mganga wa kienyeji wa madawa ya jadi, ni Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM, ambaye yuko katika Bunge hilo la wahuni kuwawakilisha waganga wote wa kienyeji wa madawa ya jadi.
 
Mganga wa kienyeji wa madawa ya jadi, ni Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM, ambaye yuko katika Bunge hilo la wahuni kuwawakilisha waganga wote wa kienyeji wa madawa ya jadi.
Nenda nyumbani kwa kakobe kama hujakuta matunguru kibao waulize waliowahi kuingia ofisini kwake na nyumbani kwake akiwemo mke waliochana naye.
 
Kakobe mhuni kama wahuni wengine tu ulishaona wapi mtumishi wa mungu mpaka apige lamli ndiyo aendeshe ibada huyu mtumishi wa mungu au wa shetani?

Mpiga ramli ni Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM, ambaye yuko katika Bunge hilo la wahuni kwa tiketi ya wapiga ramli wote!
 
Sitakaaa nimuamin huyu mchungaj kwan n mchonganishi sana na n mtu wa kuwagawa wananch ,ukiona mtu anatumia mwanvuli wa dini kuingia kwnye mambo ya siasa muogope kama ukoma kama sio kumpuuza

We we no MALAYA wa mdomo!!™ Mama Rwakatare ni nani? Wachungaji wangapi wako ccm na hadi SSA wako pale kwa kind I la 201? Wakati mwingine wananchi tujikomboe kifikra, tunabaki watumwa was kufikiri kwa sababu ya propaganda za kijinga za ccm
 
Natamani taarifa hiyo isomwe makanisa yote...bahati mbaya yapo yanayopuuzia manbo ya katiba. Hongera Kakobe kwa kuonesha njia.....

Taifa linaburuzwa na mafia wachache ccm hati tunyamaze dini haichanganywi na siasa....siasa nini basi....wizi? kutunga katiba ya chama kimoja? kudharu wengine na ubabe?....

2015 tutawaonesha maana ya siasa! Jaribu kuiba hizo kura ndo mtaiona hasira ya Mungu ilivyo.
 
We nani anakuamini mwenyewe hata mmeo hakuamini,ungesoma kwanza ndio ulete upuuzi wako huu..m..b..w..e..h..a

Naona ulitaka usifiwe ili unipe like siko kiivyo mama
Kweli daima humuweka mtu huru
 
Nenda nyumbani kwa kakobe kama hujakuta matunguru kibao waulize waliowahi kuingia ofisini kwake na nyumbani kwake akiwemo mke waliochana naye.

Wewe ni mchekeshaji wa Sitta, hamna kitu upstairs, kila mtu anakujua hapa!
 
Nitakukumbuka katika maombi wiki hii, ili uachane na mawazo ya kishetani

Naamin nmewaza sahihi kwani sijasukumwa kishabiki kwan namfaham kakobe za ya umjuavyo kanisani
 
Niwaulize wahumini wa Mch. Rwakatare, mnamshauri nini huyo mtumishi juu ya bmk? Yeye haukumiwi na chochote juu ya ili? Hata mwanasheria Zanzibar anajiuzuru kulinda heshima yake....yeye anafanya nini?
 
Kumuamini kwako hakupunguzi chochote lakini mwisho wa yote ni kwamba kinachoendelea Bunge la Katiba ni uhuni uliopindukia.

Tatizo mkuu tunasukumwa na mihemuko ya kisiasa hata penye ukweli japo aliesema kagusa kundi fulan na si kuangalia side effects ya jambo analozungmza na ukizimgatia nafasi yake katka jamii
 
Sasa matusi ya nn afadhali kakobe kuliko mama twakatare ndoa yake imamshinda anafungisha wenzie ndoa jizi kama majizi ya escow nyambafu.
 
Back
Top Bottom