bandu bandu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,747
- 871
Sitakaaa nimuamin huyu mchungaj kwan n mchonganishi sana na n mtu wa kuwagawa wananch ,ukiona mtu anatumia mwanvuli wa dini kuingia kwnye mambo ya siasa muogope kama ukoma kama sio kumpuuza
Umetumwa wewe,inaonekana baba yako au mama yako yuko bungeni anaendelea kujadili utumbo.