#COVID19 Askofu Kakobe: Msidanganyike pateni chanjo

#COVID19 Askofu Kakobe: Msidanganyike pateni chanjo

Kakobe is very ignorant.Angeitendea haki hoja yake,na ningemuona yuko rational kama angetuambia chanjo ni safe kwa kuwa contents zake ni ABC;Sanizer ni safe kwa kuwa contents zake ni ABC;

Bakoa ni safe kwa kuwa kitaaluma imeonyeshwa kuwa ukipata hewa kidogo haina madhara kwenye immune system,ukivuta tena ndani hewa chafu haina madhara kwenye afya kwa ujulma including your immune system;

Vitambaa vibavyotumika kutengezea barakoa havina na havitoi dangerous gases and substances na havijapandikiziwa poisons kama Graphene Oxide ambayo imeonekana kwenye barakoa zingine;Lockdows hazina madhara kwa kuwa utafiti wa kutosha umeshafanyika na imeonekana ni safe.Social distancing nayo hali kadhalika.

Kuwaambia watu tu wakachanje bila kuwaambia uzuri na ubaya wa chanjo hizo ni ignorancy and irresponsible behaviour.Kakobe ajitathmini kama kweli anafaa kuitwa Askofu.

Kwa tathmini yangu nadhani he is compromized:amepewa mrungura na Mr.Global.Shame on him.
Wabongo bwana kwa kujifanya wanajua! Kumbe na wao wamepotoshwa na mpumbavu mmoja.
 
Huyu Askofu hana tofauti na Kuhani Eli nyakati za nabii Samueli. Taa ya BWANA imekwishazimika ndaniake. Kwa sasa anatumia uzoefu tu wa alichokuwa nacho zamani. Hana mafunuo tena. Ni wa kumhurumia na kumwombea tu ili amalize salama!
 
ukishindwa kuiamini wizara ya Afya na WHO ukamuamini gwajima kama chanzo chako cha tafiti za Afya , utakua bonge la fala yan sijawai ona
Kwa hiyo wewe unawaamini wizara ya afya na WHO? Kwa ajili ya usalama wako na kizazi kijacho kile unachoambiwa kifanyie tathimini hata ya kawaida tu utapata majibu kama kweli unataka kupata majibu ya uhakika. Kwangu mimi simuamini mtu yeyote katika ulimwengu huu ila jibu analonipa Mungu wangu ndilo jibu sahihi maana yeye ananiwazia mema. Wanadamu ni wasaliti hawaaminiki. Wanawaza matumbo yao tu. Hivi kama mtu anaweza akamtoa kafala mtoto wake ili apate pesa unategemea atakujali wewe?
 
Kwa hiyo wewe unawaamini wizara ya afya na WHO? Kwa ajili ya usalama wako na kizazi kijacho kile unachoambiwa kifanyie tathimini hata ya kawaida tu utapata majibu kama kweli unataka kupata majibu ya uhakika. Kwangu mimi simuamini mtu yeyote katika ulimwengu huu ila jibu analonipa Mungu wangu ndilo jibu sahihi maana yeye ananiwazia mema. Wanadamu ni wasaliti hawaaminiki. Wanawaza matumbo yao tu. Hivi kama mtu anaweza akamtoa kafala mtoto wake ili apate pesa unategemea atakujali wewe?
Mungu amezibariki kazi za wanasayansi, au kama vipi ukiumwa chochote kile usitumie dawa yyte we fanya maombi maana hata panadol imepitishwa na WHO ndio ikaanza kutumika
 
Mungu amezibariki kazi za wanasayansi, au kama vipi ukiumwa chochote kile usitumie dawa yyte we fanya maombi maana hata panadol imepitishwa na WHO ndio ikaanza kutumika
Wewe tunachoshindwa kuelewana ni nini? Ninachokuambia mwanadamu anabadirika lakini Mungu habadiriki. Biblia imeandika mifano mingi sana kuhusu wanadamu kubadirika mfano ni Yuda aliyemsaliti Yesu kwa sababu ya vipande vya pesa. Hivyo ili ujue ukweli wa hilo jambo nenda mbele za Mungu na swali hilo ili upate majibu yaliyo sahihi ukiachana na porojo za wanadamu. Pia nikwambie tu yakuwa siyo kila kazi za wanadamu zimebarikiwa na Mungu. Ninachokwambia ni kuwa mimi ninayekuandikia huu ujumbe ninayo majibu niliyopewa lakini siwezi kukwambia kwa sababu hamtaamini. Mbona Mungu ametoa nafasi ya kwenda kwake kupata shauli lake kama unahitaji. Mimi nilipewa majibu mwezi wa pili mwaka huu. Shida watu tunafikiri Mungu ni marehemu. Si kweli Mungu yupo anayo majibu.
 
Gwajima leo atajibu
Hana ujanja huo mzee, week iliyopita alikuwa anajiumauma tu mara Rais hivi, mara Rais vile, alikuwa hata haeleweki! Ndiyo maana huwa wanaambiwa wasichanganye siasa na dini, ni pande mbili tofauti kabisa
 
Wabongo bwana kwa kujifanya wanajua! Kumbe na wao wamepotoshwa na mpumbavu mmoja.
Huhitaji kujifunza kwa Gwajima kujua kwamba inayoitwa chanjo ya C-19 ni mbaya mkuu.Ni mjinga tu anayeweza kuwaza hivyo,kwa kuwa taarifa za ubaya wa hii chanjo zimejaa tele kwenye mtandao,ni swala la kuzitafuta tu.Ungekuwa na akili ungewaza,kwani Gwajima yeye kazipataje?Kama wewe ni mbumbumbu ni wewe.Sisi wengine tunajua,tena labda hata zaidi ya Gwajima.
 
naomba unipe mechanism ya chanjo inavyoingia na inavyofanya kazi mwilini! halafu nipe na source ya taarifa yako
Soma hizo mada,jibu utalipata.Sirudii jibu ambalo unaweza kulipata kwenye link ambazo nimeshatoa.Acha uvivu,ndio maana mmeingizwa chaka na NWO agents kama Bill Gates,Anthony Fauci,Rockeffeler,Rothschild na Klaus Schwab wa Bildebeeg Group.Poleni sana.
 
Back
Top Bottom