Askofu Kakobe: Tanzania ni mpango wa shetani; Tanganyika inakuja!

Askofu Kakobe: Tanzania ni mpango wa shetani; Tanganyika inakuja!

Wenzenu Kenya wanchekelea na Uzwa zwa wa Watanzania
kuizuia DP Wolr kuendesha Bandari kwa Ufanisi ni kuipa Kenya Nafasi ya kutawala usafirishaji mizigo ya ,Uganda, Rwanda, burundi, Kongo.
Msumbiji na wao wanacheka ,kwani kuna Mizigo ya Malawi na Zambia watabeba.

Kuimarika kwa Bandari ya Dsm na Tanga ni Pigo kubwa kwa nchi husika kimkakati.

Chadema na Kanisa zinatumiwa na KENYA ili kulifelisha tukio hili la kiuchumi kwa TZ.
Serikali ya TZ haijauza wala haitauza Nchi kama watu wanvyo aminishwa.
Achana na hizi siasa nyepesi,
Endeleza kwanza familia na ukoo wako, achana na propaganda mfu si lazima tuendelee kwa kuigawa Bandari, kama tumeshindwa kuendelea kwa fursa zote hizo tutaendelea kwa kuuza bandari?
 
Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:

View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.

Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
Huyu ni Kakobe yule yule wa enzi za jiwe au ni mwingine?
 
Just incase you live under the cage....👇

Swali.
Tanganyika ikarudi, nini tutapata
Mi sijui ntanufaika vp but ninachojua ni kuwa yanipasa kuilinda na kuitetea nchi yangu ni ngali kijana ili next generation nao waikute iko salama!
Bring back our Tanganyika.
 
Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:

View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.

Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
Nimemuelewa sana askofu,ni wakati sasa mapadre na viongozi wa madhehebu mengine wazinduke kwenye usingizi mzito sana waliolala wa TANZANIA
 
Anapaswa ajitazame upya kwa tamaa zake za kuuza mali za Tanganyika kwa waarabu wenzake.
Rais SSH amejijengea mazingira haya kwasababu ya kuwa 'Rais wa JMT anayetazama masilahi ya Zanzibar' na si Rais wa JMT anayesimamia muungano. Yaani ni kama ana hasira na ameamua kuwakomesha Watanganyika

Jambo hilo limekuwa linauma Watanganyika lakini hawakuwa na pa kuanzia. Hili la Bandari ndilo limefungua 'pnadora' Box na sasa hali ni mbaya kwakwe. Ujanja wa kutengeneza mazingira ya kuweka viraka katiba umekufa.
Watanganyika waliobeba muungano sasa wameliamsha, ni ima Tanganyika irudi au tuvunje jahazi kama kuna vimbao vimebaki Wapewe Wazanzibar. Vimbao kwasababu hawana mchango wowote na wamevuna sana.
 
Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:

View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.

Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
Leo ndio mmeyaona hayo baada ya kutunyonya na kutupitezea utaifa wetu mkatugeuza wilaya tukapiga kelele tokea wakati wa karume mpaka sasa ikafikia hadi mkamuondosha rais aliyechaguliwa kihalali na wazanzibari kwa kuhoji muungano na mpaka leo mnatuletea watu mnaotaka nyinyi watutawale cc wazanzibari wala hatujutii kwani mmeturudisha sana nyuma tungekuwa mbali sana kama c muungano huu usiofahamika.
 
tena jambo kubwa sana lengo kubwa ni kukaribisha hao waarabu nchini halafu baada ya muda watakuwa wamejazana hapa na kwa uwingi wao waweze kuwadhoofisha waTanganyika then wabaki na Tanganyika yetu ili iwe nafuu kwa wazanzibar maana ni wamoja hivyo basi tunapaswa kuwa makini sana na kumshirikisha Mungu katika hili hawa wenzetu wana vinyongo visivyoisha na bado katika muungano wanaona wanaonewa.
Hv hizo nchi ambazo dp world inafanya kazi imeshawapeleka waarabu laki ngapi kutawala?!!! Watu wakisema mna udini mbaya sana katika suala hili mnabisha nini?!!!
Bila shaka mmechoka na amani na kipo mnachokitaka kutoka kwa jamii ya kiislamu ya rz isiyo na shida na mtu......haina noma. Baasa ya tanganyika tutagawana tena; huo mgao dar haitowahusu!
 
Rais SSH amejijengea mazingira haya kwasababu ya kuwa 'Rais wa JMT anayetazama masilahi ya Zanzibar' na si Rais wa JMT anayesimamia muungano. Yaani ni kama ana hasira na ameamua kuwakomesha Watanganyika

Jambo hilo limekuwa linauma Watanganyika lakini hawakuwa na pa kuanzia. Hili la Bandari ndilo limefungua 'pnadora' Box na sasa hali ni mbaya kwakwe. Ujanja wa kutengeneza mazingira ya kuweka viraka katiba umekufa.
Watanganyika waliobeba muungano sasa wameliamsha, ni ima Tanganyika irudi au tuvunje jahazi kama kuna vimbao vimebaki Wapewe Wazanzibar. Vimbao kwasababu hawana mchango wowote na wamevuna sana.
Ushauri, kwakuwa mmeshaeleweka sasa unafiki wenu basi semeni tu wazi 'jambo hili linatukera baadhi ya sisi wakristo wajinga', mkisema hivyo mtaeleweka na mtajiweka mbali na unafiki. Wala hamna haja ya kujifichaficha kwenye mkaranga na kujifanya kutaja watanganyika kama vile sote ni wajinga!
 
Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:

View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.

Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
tpaul hii video kama sikosei ni ya zamani sana kati ya 2017 au 2018
 
Rais Samia kwa hilo ninao uhakika atalijutia sana na limewafanya Wananchi wawe na mashaka naye!

Anao mda, ajisahihishe kwa maana kukosea kupo.
Ibilisi siku zote hutumia udhaifu wa wanawake wenye "influence" ili kuleta maangamizi. Historia ni mwalimu mzuri sana katika suala hili.

History is not only the path left by past, but is also paints the foot steps for our future.
 
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority looters and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few looters whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except looters themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava boat by which they were sailing!
Kwani Deep State, TISS, JWTZ na polisi wako tayari kutokuibakisha CCM madarakani?
Upi mbadala wa Ccm?
CDM mwenyekiti wake ni usalama wa taifa,
ACT Wazalendo kiongozi wao mkuu ni usalama wa taifa, Shibuda ni usalama wa taifa, aliyekuwa wa TLP alikuwa ni usalama mapandikizi ya Deep state na CCM.
Tanzania hatuna upinzani halisi bali tuna wanachama wapinzani lkn si viongozi wa vyama vingi,
Sijaona chama kwa sasa cha kuweza kuitoa CCM, labda CCM ipasuke vipande viwili hapo ndipo tutapata upinzani halisi.
 
Just incase you live under the cage....[emoji116]

Swali.
Tanganyika ikarudi, nini tutapata zaidi?
Nadhani ni mtu mzima,lakini nina mashaka kama mpaka sasa huwezi kung'amua kwamba muungano unaitia hasara kubwa Tanganyika.
Zaidi ya propaganda za kisiasa Tanganyika kupoteza uwepo wake tayari ni pigo kubwa.
Fikiria watu wasiozidi milioni 2 lakini wakawa na say kuliko watu zaidi ya milioni 60,na bado wanalalamika kupunjwa all kasungura tunakogawana!.
Huu ni muungano wa ajabu kupata kutokea.
Jamaa mmoja aliwahi kusema kwamba Zanzibar karibu kila mtaa kuna mbunge,kuna wawakilishi na wabunge wa muungano ilihali Tanganyika haina mbunge.
 
Back
Top Bottom