Wewe uko hapa, sikia sasaalishatatua masuala ya uraia ?
Hili jambo ni hatari sana. Lazima uitishwe mjadala wa kitaifa watanganyika na wazanzibar tupige kura kama bado tunautaka muungano au la. Tusikubali kulazimishwa tu kama punda aliyekatwa kichwa.Utendaji wa Serikali ya Rais SSH inaweza kusababisha kuvunjika kwa Muungano au kuwepo Muungano wenye Serikali 2 (Tanganyika na Zanzibar). Vitendo vya Serikali kukumbatia Waarabu ambako Rais SSH ana Wajomba ni hatari
Ameanza tena kuchonga ngenga?Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:
View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.
Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
......naogopa huu muungano unakaribia ukingoni..... Why !!?? Let the water flow !!!Sakata la wazanzibar kuhusika kuuza bandari ya Dar (mali ya watanganyika) kwa waarabu wa Dubai kwa bei ya kutupa kunauweka muungano katika hatari ya kumeguka vipande vipande. Na kwa hasira hizi ambazo zimeoneshwa na watanganyika, naogopa huu muungano unakaribia ukingoni.
Tukumbuke kwamba banadari ni suala la muungano lakini hawa watu wameamua kwa makusudi kuvunja sheria na kuuza bandari ya Tanganyika huku banadari za kwao Zanzibar zikibaki salama. Hii haikubaliki hata kidogo. Wazanzibar ni watu ambao wanapenda kuuza vitu ovyo. Rais Hussein Mwinyi kauza karibu visiwa vyote vya Zanzibar kwa mabeberu. Baada ya kuona amemaliza visiwa vyote nahisi amemshauri mzanzibar mwenzake naye auze bandari ya Tanganyikakwa kwa waarabu.
Kwa kuwa waarabu wanahusishwa na suala la ugaidi, tutarajie nchi yetu kuingia kwenye mizozo ya kigaidi, hasa ukizangatia kwamba serikali ya Tanganyika haitakuwa na mamlaka ya kujua ni nini kinaingia wala kutoka bandarini. Hata kodi watazuiliwa kukusanya. Sio ajabu waarabu wakatumia mwanya huo kupenyeza magaidi na silaha za maangamizi kuja nchini na kuifanya nchi kujaa magaidi kila kona. Matokeo yake magaidi wakishajaa hapa nchini, Marekani itai-label Tanganyika kama nchi ya kigaidi na kuinyima misaada ya kiuchumi. Tutakuwa wageni wa nani jamani?
Nchi itajiendeshaje huku inauzwa kwa waarabu? Tuungane kuikomboa kwanza. Huwezi kufikiria maendeleo huku nchi ikiuzwa kwa waarabu. Tuikomboe kwanza.Sasa wewe kwa akili yako unadhani Tanzania tunahitaji msaada wowote? Kwa taarifa yako, nchi yetu inaweza kujiendesha yenyewe vizuri sana bila msaada wala mkopo wa Mzungu. That's a fact!
Kama bandari ya sarama/bandari sarama imeuzwa na wazanzibar basi wazanzibari wameiuza bandari yao wasilaumiwe
Na Kama tutataka muungano uvunjike basi tuwaachie dar es laam yao tuwaachie na pwani yao pia ikiwemo na bandari yao ya dar esraam [emoji35][emoji35]
Kwangu sawa tuSakata la wazanzibar kuhusika kuuza bandari ya Dar (mali ya watanganyika) kwa waarabu wa Dubai kwa bei ya kutupa kunauweka muungano katika hatari ya kumeguka vipande vipande. Na kwa hasira hizi ambazo zimeoneshwa na watanganyika, naogopa huu muungano unakaribia ukingoni.
Tukumbuke kwamba banadari ni suala la muungano lakini hawa watu wameamua kwa makusudi kuvunja sheria na kuuza bandari ya Tanganyika huku banadari za kwao Zanzibar zikibaki salama. Hii haikubaliki hata kidogo. Wazanzibar ni watu ambao wanapenda kuuza vitu ovyo. Rais Hussein Mwinyi kauza karibu visiwa vyote vya Zanzibar kwa mabeberu. Baada ya kuona amemaliza visiwa vyote nahisi amemshauri mzanzibar mwenzake naye auze bandari ya Tanganyikakwa kwa waarabu.
Kwa kuwa waarabu wanahusishwa na suala la ugaidi, tutarajie nchi yetu kuingia kwenye mizozo ya kigaidi, hasa ukizangatia kwamba serikali ya Tanganyika haitakuwa na mamlaka ya kujua ni nini kinaingia wala kutoka bandarini. Hata kodi watazuiliwa kukusanya. Sio ajabu waarabu wakatumia mwanya huo kupenyeza magaidi na silaha za maangamizi kuja nchini na kuifanya nchi kujaa magaidi kila kona. Matokeo yake magaidi wakishajaa hapa nchini, Marekani itai-label Tanganyika kama nchi ya kigaidi na kuinyima misaada ya kiuchumi. Tutakuwa wageni wa nani jamani?
Acheni kujidanganya. Huyo mwarabu alipata wapi uhalali wa kumiliki fukwe zetu? Msitufanye mataahira.Kiukweli Maili 10 za Ukanda wa Pwani ni Mali ya zanzibar ndio kusema bandari ya Tanga, Dar na Mtwara ni mali ya Zanzibar.
Lakini Tufunikeni kombe Mwanaharamu apite.
Time will tell
Tofautisha ubinafshaji na kuuza. Bandari imeuzwa na kwa mujibu wa mkataba Tanzania haitaruhusiwa kusitisha mkataba huo hata siku moja.Mama ndo wakwanza kubinafsisha mali za ummah? Maraisi wote wamehusika katika ubinafsishaji.
Umeandika utumbo. Kama hayo mnayaajua kwa nini mlifanya mapinduzi ya kumuondoa sultan hapo zenj?Kuuvunja Muungano ni kiu ya wazanzibar ya miaka mingi, Huenda watashukuru sana kwa tukio hilo.
Lakini Watanganyika kukataa Bandari kuendeshwa na Kampuni ya nje ni kujinyima fursa adhimu ya kuipaisha Tanganyika kiuchumi .
Kakobe anaendeshwa na hisia zake binafsi kwa kumchukia Raisi Mzanzibari , si vyengine. Ile Hijabu ya mama pale ikulu inawaumiza nyoyo watu hawa wa makanisa.
Kama raisi akiwa Mkatoliki (mkiristo na akfanya maamuzi kama hayo kwa Watanganyika hawa hawa watamsifu na kumpongeza).
Kwani Bandari hii hii ilikuwa chini ya kampuni ya TICS kwa miaka 20 iliyopita ilisainiwa na Mkapa. Ufanisi wake ulikuwa kwa kiasi lakni bado uko chini ya viwango tarajiwa ndio maana Mkataba ulipokwisha wakaona walete kampuni nyingine iliyo bora zaidi ili kuongeza ufanisi na kuendana na wakati.
To Hel,
wacha Muungano uvunjike,
kwani Mama yuko pale kutimiza wajibu wake kama Raisi wa nchi
Washuri wake 90% ni watanganyika. Mimi sijaona kasoro yoyote,.
Kwa mara ya kwanza Bunge limeshirikishwa kuridhia mkataba huu ili kutanua wigo wa ushirikishwaji.
Bado watu wanendelea kuchochea kuvunjwa kwa Muungano ili Samia Arudi Zenji.
Mbona hili liko wazi, Watanganyika wakifanya Mistake hii watatukamatia chumbe kwa Maendeleo .
Zanzibar imekwama kimaendeleo kwa miaka 60 sasa kwa sababu ya Dubwana hili Muungano ulio chini ya Tanganyika.
Any way
Tanganyika kwa sasa ni yetu sote, wacha wazanzibar wafaidi tunda la Muungano na
Zanzibar ni ya Wazanzibari pekeyao.Wanaofaidi ni wazanzibar pekeyao.
Hapa ishu ni bandari kupewa kwa DP World milele. Bila umilele usingesikia hizi vuguvuguKuuvunja Muungano ni kiu ya wazanzibar ya miaka mingi, Huenda watashukuru sana kwa tukio hilo.
Lakini Watanganyika kukataa Bandari kuendeshwa na Kampuni ya nje ni kujinyima fursa adhimu ya kuipaisha Tanganyika kiuchumi .
Kakobe anaendeshwa na hisia zake binafsi kwa kumchukia Raisi Mzanzibari , si vyengine. Ile Hijabu ya mama pale ikulu inawaumiza nyoyo watu hawa wa makanisa.
Kama raisi akiwa Mkatoliki (mkiristo na akfanya maamuzi kama hayo kwa Watanganyika hawa hawa watamsifu na kumpongeza).
Kwani Bandari hii hii ilikuwa chini ya kampuni ya TICS kwa miaka 20 iliyopita ilisainiwa na Mkapa. Ufanisi wake ulikuwa kwa kiasi lakni bado uko chini ya viwango tarajiwa ndio maana Mkataba ulipokwisha wakaona walete kampuni nyingine iliyo bora zaidi ili kuongeza ufanisi na kuendana na wakati.
To Hel,
wacha Muungano uvunjike,
kwani Mama yuko pale kutimiza wajibu wake kama Raisi wa nchi
Washuri wake 90% ni watanganyika. Mimi sijaona kasoro yoyote,.
Kwa mara ya kwanza Bunge limeshirikishwa kuridhia mkataba huu ili kutanua wigo wa ushirikishwaji.
Bado watu wanendelea kuchochea kuvunjwa kwa Muungano ili Samia Arudi Zenji.
Mbona hili liko wazi, Watanganyika wakifanya Mistake hii watatukamatia chumbe kwa Maendeleo .
Zanzibar imekwama kimaendeleo kwa miaka 60 sasa kwa sababu ya Dubwana hili Muungano ulio chini ya Tanganyika.
Any way
Tanganyika kwa sasa ni yetu sote, wacha wazanzibar wafaidi tunda la Muungano na
Zanzibar ni ya Wazanzibari pekeyao.Wanaofaidi ni wazanzibar pekeyao.
Dp word walianza Kenya, Kenya wakakataa. Nakuweka sawa kama ulikuwa hujuiWenzenu Kenya wanchekelea na Uzwa zwa wa Watanzania
kuizuia DP Wolr kuendesha Bandari kwa Ufanisi ni kuipa Kenya Nafasi ya kutawala usafirishaji mizigo ya ,Uganda, Rwanda, burundi, Kongo.
Msumbiji na wao wanacheka ,kwani kuna Mizigo ya Malawi na Zambia watabeba.
Kuimarika kwa Bandari ya Dsm na Tanga ni Pigo kubwa kwa nchi husika kimkakati.
Chadema na Kanisa zinatumiwa na KENYA ili kulifelisha tukio hili la kiuchumi kwa TZ.
Serikali ya TZ haijauza wala haitauza Nchi kama watu wanvyo aminishwa.
Mimi sina undugu na waarabu, ni nyie wajinga wachache ndio mnajiona waarabu kisa wote mnaswali ijumaaKwani warabu si ndugu zetu jameni, kuna shida gani kubaguana karne hizi?
Mbona Kina mama zetu wanjichubuaga ili kufananaga na warabu, na kujibandika manywele bandia, si wanwapenda jamani.
Na wengine wakpata bahati ya kupata Dume la mbegu hawaliachii.
Hata wewe ukipata kbinti cha kiarabu unaweza hata kuuza Ngombe wote ilimradi tuu umvue nguo Mtoto wa kimanga.
Sasa shida ya nini wacheni waje waekeze kwetu ili tuingiliane kidamu na kimipangilio.
Tuombe misaada kujenga uwezo wetu wenyewe na siyo misaada na watekelezaji wawe hao hao waliotusaidia. Kitendo hicho ni mithili ya kuhamisha fedha kutoka mfuko mmoja wa suruali uliyovaa na kuhamishia kwenye mfuko mwingine.Sasa wewe kwa akili yako unadhani Tanzania tunahitaji msaada wowote? Kwa taarifa yako, nchi yetu inaweza kujiendesha yenyewe vizuri sana bila msaada wala mkopo wa Mzungu. That's a fact!
Porojo tupu !Wewe uko hapa, sikia sasa
Hii agenda ya Bandari metiwa chumvi kwa maslahi ya Wakenya na Bandari yao.
Tanzania ikiwa na Bandari yenye ufanisi mkubwa, ile ya Kenya nakufa kifo cha mende.
Sasa Nadshani Akina Mbowe wanatumiwa kudumaza mpangomzima.
Hivi wanjua kuwa wanai bac- up Kenya?
Tanzania ni kichaka na mwavuli wa kuifilisi na kupora mali za Tanganyika😎Tanzania ni mpango wa Mungu sio shetani.