ligasmaster
Member
- Mar 22, 2023
- 59
- 39
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mali zetu kuwa salama !!Just incase you live under the cage....[emoji116]
Swali.
Tanganyika ikarudi, nini tutapata zaidi?
Tunajitoa kusaidia Nchi ya Zanzibar maskini waleJust incase you live under the cage....👇
Swali.
Tanganyika ikarudi, nini tutapata zaidi?
Umeandika vzr umekuja kumaliza na utumbo, marekani ni nani mpaka tushindwe tutegemee msaada wao? Hizi akili za kitumwa za kuwaza kusaidiwa ndomana tunazidi kuwa maskini nchi hiiSakata la wazanzibar kuhusika kuuza bandari ya Dar (mali ya watanganyika) kwa waarabu wa Dubai kwa bei ya kutupa kunauweka muungano katika hatari ya kumeguka vipande vipande. Na kwa hasira hizi ambazo zimeoneshwa na watanganyika, naogopa huu muungano unakaribia ukingoni.
Tukumbuke kwamba banadari ni suala la muungano lakini hawa watu wameamua kwa makusudi kuvunja sheria na kuuza bandari ya Tanganyika huku banadari za kwao Zanzibar zikibaki salama. Hii haikubaliki hata kidogo. Wazanzibar ni watu ambao wanapenda kuuza vitu ovyo. Rais Hussein Mwinyi kauza karibu visiwa vyote vya Zanzibar kwa mabeberu. Baada ya kuona amemaliza visiwa vyote nahisi amemshauri mzanzibar mwenzake naye auze bandari ya Tanganyikakwa kwa waarabu.
Kwa kuwa waarabu wanahusishwa na suala la ugaidi, tutarajie nchi yetu kuingia kwenye mizozo ya kigaidi, hasa ukizangatia kwamba serikali ya Tanganyika haitakuwa na mamlaka ya kujua ni nini kinaingia wala kutoka bandarini. Hata kodi watazuiliwa kukusanya. Sio ajabu waarabu wakatumia mwanya huo kupenyeza magaidi na silaha za maangamizi kuja nchini na kuifanya nchi kujaa magaidi kila kona. Matokeo yake magaidi wakishajaa hapa nchini, Marekani itai-label Tanganyika kama nchi ya kigaidi na kuinyima misaada ya kiuchumi. Tutakuwa wageni wa nani jamani?
Na ninadhani DP world ndiyo kipisi chenyewe cha sigaraKhee!
Kipisi cha sigara hulipua Tanker la petrol
Nisamehe bure mkuu; nimevurugwa na uuzwaji wa banadari yetu kwa waarabu.Umeandika vzr umekuja kumaliza na utumbo, marekani ni nani mpaka tushindwe tutegemee msaada wao? Hizi akili za kitumwa za kuwaza kusaidiwa ndomana tunazidi kuwa maskini nchi hii
Tutaacha kubeba matatizo ya watu wengine wasiotuhusu.Just incase you live under the cage....[emoji116]
Swali.
Tanganyika ikarudi, nini tutapata zaidi?
ngoja tuuvunje tukawakamatie huko chunji.swala hapa si uzanzibar bali kwa nini mali za watanganyika ziuzwe.kama hawa waarabu wanatija basi wapelkwe bandari za zanzibar tuone.kwa nini wananga'ng'a huku tanganyika?ukatoliki kwenye mada hii unatoka wapi kama siyo swala la ubaguzi tu.mbona huko zanzibari mnawabagua wakristo na watanganyika wako kimywa?Kuuvunja Muungano ni kiu ya wazanzibar ya miaka mingi, Huenda watashukuru sana kwa tukio hilo.
Lakini Watanganyika kukataa Bandari kuendeshwa na Kampuni ya nje ni kujinyima fursa adhimu ya kuipaisha Tanganyika kiuchumi .
Kakobe anaendeshwa na hisia zake binafsi kwa kumchukia Raisi Mzanzibari , si vyengine. Ile Hijabu ya mama pale ikulu inawaumiza nyoyo watu hawa wa makanisa.
Kama raisi akiwa Mkatoliki (mkiristo na akfanya maamuzi kama hayo kwa Watanganyika hawa hawa watamsifu na kumpongeza).
Kwani Bandari hii hii ilikuwa chini ya kampuni ya TICS kwa miaka 20 iliyopita ilisainiwa na Mkapa. Ufanisi wake ulikuwa kwa kiasi lakni bado uko chini ya viwango tarajiwa ndio maana Mkataba ulipokwisha wakaona walete kampuni nyingine iliyo bora zaidi ili kuongeza ufanisi na kuendana na wakati.
To Hel,
wacha Muungano uvunjike,
kwani Mama yuko pale kutimiza wajibu wake kama Raisi wa nchi
Washuri wake 90% ni watanganyika. Mimi sijaona kasoro yoyote,.
Kwa mara ya kwanza Bunge limeshirikishwa kuridhia mkataba huu ili kutanua wigo wa ushirikishwaji.
Bado watu wanendelea kuchochea kuvunjwa kwa Muungano ili Samia Arudi Zenji.
Mbona hili liko wazi, Watanganyika wakifanya Mistake hii watatukamatia chumbe kwa Maendeleo .
Zanzibar imekwama kimaendeleo kwa miaka 60 sasa kwa sababu ya Dubwana hili Muungano ulio chini ya Tanganyika.
Any way
Tanganyika kwa sasa ni yetu sote, wacha wazanzibar wafaidi tunda la Muungano na
Zanzibar ni ya Wazanzibari pekeyao.Wanaofaidi ni wazanzibar pekeyao.
Hivi ninyi huwa mnawaza misaada tu? Lini mtajitegemea nyie watu weusi? Akili za kimaskini daima huwa zinawaza misaada tu, wakati mali mmezikalia.na kuinyima misaada ya kiuchumi
Nchi kusaidiana kiuchumi na kimaendeleo ni jambo la kawaida sana jomba. Marekani inaomba misaada China sembuse sisi waswahili? Acha roho mbaya mkuu.Hivi ninyi huwa mnawaza misaada tu? Lini mtajitegemea nyie watu weusi? Akili za kimaskini daima huwa zinawaza misaada tu, wakati mali mmezikalia.
Wake up!
Natamani hiyo misaada ikatishwe for good hadi akili za kujitafutia wenyewe ziwakae.
Utendaji wa Serikali ya Rais SSH unaweza kusababisha kuvunjika kwa Muungano au kuwepo Muungano wenye Serikali 2 (Tanganyika na Zanzibar). Vitendo vya Serikali kukumbatia Waarabu ambako Rais SSH ana Wajomba ni hatariWakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:
View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.
Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
Kwani warabu si ndugu zetu jameni, kuna shida gani kubaguana karne hizi?Utendaji wa Serikali ya Rais SSH inaweza kusababisha kuvunjika kwa Muungano au kuwepo Muungano wenye Serikali 2 (Tanganyika na Zanzibar). Vitendo vya Serikali kukumbatia Waarabu ambako Rais SSH ana Wajomba ni hatari
Sasa wewe kwa akili yako unadhani Tanzania tunahitaji msaada wowote? Kwa taarifa yako, nchi yetu inaweza kujiendesha yenyewe vizuri sana bila msaada wala mkopo wa Mzungu. That's a fact!Nchi kusaidiana kiuchumi na kimaendeleo ni jambo la kawaida sana jomba. Marekani inaomba misaada China sembuse sisi waswahili? Acha roho mbaya mkuu.
RIP Rev. Christopher MtikilaAskofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.
Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu.