Askofu Kassala atoa ‘Dikrii’ ya kufungwa kwa Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo la Geita

Ujinga sana huu, yule Padri aliyebaka mtoto aliyekuja kuungama mbona halikufungwa? Ile kufuru ni kubwa zaidi sana ya hii
Ingekuwa ni mtihani, wewe ulistahili kupata 0! Maana hakuna uhusiano wa hiki ulichokiandika, na hilo tukio la kufungwa Kanisa.
 
Tena nyinyi mlionyimwa elimu ya duniani ndiyo kabisaaa! Hamtakiwi kuongea chochote. Maana mmekaa kishari shari tu.

Hilo tukio lingefanyika kwenye nyumba yenu ya ibada, muda huu mngekuwa mnalialia tu na kujilipua kwa mabomu.
Zoom hii picha utaona kilichofanya kanisa lifungwe
 
Amen na Mungu asimame nanyi Waumini wote wa Kanisa Katoliki Geita na hasa wanaosali hapo Cathedral[emoji120][emoji120]
 

Uzuri ni kwamba sisi waumini tunachangia na hatulalamiki.Na watoto wetu tunawapeleka kwenye hizo shule na School fees tunalipa kama kawaida.

Hospital tunakwenda nantunapatiwa huduma safi kabisa kwa malipo stahiki.

Tumsifu Yesu Kristu [emoji120][emoji4]
 
Tena nyinyi mlionyimwa elimu ya duniani ndiyo kabisaaa! Hamtakiwi kuongea chochote. Maana mmekaa kishari shari tu.

Hilo tukio lingefanyika kwenye nyumba yenu ya ibada, muda huu mngekuwa mnalialia tu na kujilipua kwa mabomu.
Niliwahi kushuhudia tukio walicharangana mapanga Msikitini kukageuka kuwa uwanja wa damu pale Mkolani Mwanza,watu watatu walikufa pale pale akiwemo Imamu wa msikiti.
 
ningewashauri hili swala lipo kiimani zaidi linagusa imani za watu na maumivu ya ndani ya watu hii si siasa au habari za kawaida bora mtuachie wakatoliki kwa kadri ya taratibu zetu.
Waache tu waendelee na upuuzi wao wa kukashfu,uzuri tumejaliwa sana na tumejengwa kwenye misingi ya kuvumilia mawimbi yote yenye kujaribu Imani yetu. Hapa kuna watu wengi maisha yamewavuruga na akili zao hazipo sawa.
 
Makanisa haya ni matatizo.
Kumbe makanisa yakivamiwa na sakramenti kuharibiwa ibada zinakufa?

Mmmh huyu Mungu anatuonaje?
Si imeandikwa tutamwabudu Mungu rohoni?
Hujui usemalo. Wapi aliposema ibada zisifanyike. Ibada zimezuiliwa kufanyika ndani ya Kanisa lililonajisiwa. Kuna makanisa mengine yanaendelea kutoa huduma. Soma vizuri alichokiandika usikurupuke.
 
Geita mji wa ajabu kuna shida huko matukio ya ajabu ajabu yanatokea huko.
 
Roma wako makini Sana na taratibu zao za kanisa wanazingatia Sana kanuni zao za imani.
 
Katika hili la kufunga Kanisa, mimi mawazo yangu yanatofautiana kidogo na uamuzi aliouchukua Baba Askofu.

Assuming zilikuwa ni hujuma ambazo zililenga kudhoofisha Ibada Kanisani, na kwamba zinaweza kujirudia tena, je tutaendelea kufunga MaKanisa kwa muda hadi lini, kisa wezi? Kwa nini isiwe kwamba baada ya mwizi kuvamia, ndiyo iwe kichocheo cha Ibada kuongezeka zaidi kukemea uovu huo ili usije ukajirudia tena? Mara zote Kanisa la Mungu liko vitani na adui huwa hata siku moja hatoi nafasi ya kulifanya lipumzike; kwa nini tuvamiwe na adui halafu ndiyo wakati huo tusitishe mapigano?

Kwa vile ni mara ya kwanza, ni sawa Baba Askofu aendelee na uamuzi wake ila kama itakuja kutokea kwa mara nyingine, japo hatuombei hilo, ninamuomba sana Baba Askofu azidishe Ibada badala ya kufunga Kanisa
 
Hivi umesoma kwa umakini Kweli waraka huo?,Hivi Kufunga na Kufanya toba kwa siku 20 sio kusali?.
 
Mmmh Mambo yamekuwa yamoto,mashambulizi kila kona,kanisa limemuona kijana mwizi ila halijamuona Padri mlawiti. Wacha sisi tuendelee kuomba amani mashariki ya kati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…