Askofu Kassala atoa ‘Dikrii’ ya kufungwa kwa Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo la Geita

Askofu Kassala atoa ‘Dikrii’ ya kufungwa kwa Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo la Geita

Makanisa haya ni matatizo.
Kumbe makanisa yakivamiwa na sakramenti kuharibiwa ibada zinakufa?

Mmmh huyu Mungu anatuonaje?
Si imeandikwa tutamwabudu Mungu rohoni?
Mimi nimejiuliza..hayo Maombi ya toba wanafanyia wapi na kanisa limefungwa? Sijaelewa kabisa.
Halafu wanashindwa nini kuweka kufanya marekebisho fasta ibada zikaendelea?
 
Mimi nimejiuliza..hayo Maombi ya toba wanafanyia wapi na kanisa limefungwa? Sijaelewa kabisa.
Halafu wanashindwa nini kuweka kufanya marekebisho fasta ibada zikaendelea?
Taratibu zao ngumu sana.
Ingekuwa makanisa mengine...wangefanya usafi na kufanya maombi ibada zinaendelea.

Pili aliyefanya hiyo mambo wanadai ni muumini wa pale lakini amelinajisi jengo lake la ibada??🤣🤣
 
Mimi nimejiuliza..hayo Maombi ya toba wanafanyia wapi na kanisa limefungwa? Sijaelewa kabisa.
Halafu wanashindwa nini kuweka kufanya marekebisho fasta ibada zikaendelea?

Ndio maana kuna jumuia mkuu,zinazoweza kufanya ibada kila jmosi.hakuna kinachoshindikana.
 
Taratibu zao ngumu sana.
Ingekuwa makanisa mengine...wangefanya usafi na kufanya maombi ibada zinaendelea.

Pili aliyefanya hiyo mambo wanadai ni muumini wa pale lakini amelinajisi jengo lake la ibada??[emoji1787][emoji1787]

Sasa alirukwa na akili ama shida nini???ukute hata alikunya huko ndani maana yanayoonekana ktk picha sio mambo ya wizi peke yake.

Huyu watamfungia novena kwarezma hii awe shoga kabisa,wengine tuanza kuwalaumu.
 
Taratibu zao ngumu sana.
Ingekuwa makanisa mengine...wangefanya usafi na kufanya maombi ibada zinaendelea.

Pili aliyefanya hiyo mambo wanadai ni muumini wa pale lakini amelinajisi jengo lake la ibada??🤣🤣
Sawa amenajisi...wangefanya marekebisho ibada ikaendelea, wangepiga maombi humo humo kanisani.
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza, Sakramenti ndiyo roho na mwili wa kanisa.ukinajisi umeharibu patakatifu kwa Bwana.
Makanisa haya ni matatizo.
Kumbe makanisa yakivamiwa na sakramenti kuharibiwa ibada zinakufa?

Mmmh huyu Mungu anatuonaje?
Si imeandikwa tutamwabudu Mungu rohoni?
 
Hivyo vyote ulivyosema vinahusiana nini na Sakramenti takatifu?
Hawezi pata jambo lolote baya labda wamfanyie ukatili wenyewe. Hao jamaa wanaojiita padri, sista, askofu wanafanya ushenzi mkubwa sana. Wana najisi watoto wa kiume, wana gonga wake za watu, yaani ni wahuni hakuna mfano.

Hizi dini ni bora zifungwe, waafrika tuendelee na imani zetu za zamani maana zina maadili mazuri kuliko hawa wafanya biashara na wanyonyaji.

Wananchi wanachanga michango mingi kujenga:
1. shule ila watoto wao lazima walipe ada kubwa kusoma katika hiyo shule, mtoto wa masikini kama ana ada hawezi soma katika hiyo shule
2. waumini wanajenga hospitali ila muumini hawezi kwenda pale kwenye hospital kutibiwa bure na gharama za matibabu ni kubwa hatari.

Hawa jamaa wanafanya biashara ya kuuza matumaini kwa watu wakijinadi kwamba wanafanya kazi ya mungu. Imani zao hazina tofauti na imani zetu za kale ambazo watu waliomba mvua wakapata na kuomba neema wakabalikiwa.
 
Katika hili la kufunga Kanisa, mimi mawazo yangu yanatofautiana kidogo na uamuzi aliouchukua Baba Askofu.

Assuming zilikuwa ni hujuma ambazo zililenga kudhoofisha Ibada Kanisani, na kwamba zinaweza kujirudia tena, je tutaendelea kufunga MaKanisa kwa muda hadi lini, kisa wezi? Kwa nini isiwe kwamba baada ya mwizi kuvamia, ndiyo iwe kichocheo cha Ibada kuongezeka zaidi kukemea uovu huo ili usije ukajirudia tena? Mara zote Kanisa la Mungu liko vitani na adui huwa hata siku moja hatoi nafasi ya kulifanya lipumzike; kwa nini tuvamiwe na adui halafu ndiyo wakati huo tusitishe mapigano?

Kwa vile ni mara ya kwanza, ni sawa Baba Askofu aendelee na uamuzi wake ila kama itakuja kutokea kwa mara nyingine, japo hatuombei hilo, ninamuomba sana Baba Askofu azidishe Ibada badala ya kufunga Kanisa
Kanisa ni watu, lililofungwa ni jengo.
 
Wakati waumini wakiingia katika toba ya kulirudisha kanisa katika uhai wake (maana sasa hivi halifanyi kazi) namshauri huyo kijana aliyefanya kufuru hiyo, naye atubu. Kama kanisa kubwa kama hili (kanisa ni waumini) limenajisiwa, na kushindwa kutenda shughuli zake za kiimani, ni vipi uzito wa kufuru kwa kijana huyu?! Nashauri pia, kama kuna watu wengine walihusika katika hujuma hizi kwa namna yoyote ile, na hivyo kumtumia kijana huyu kufanya uhalifu huu, nao watubu. Hakika ni kufuru kubwa sana!
 
Back
Top Bottom