Mimi nimejiuliza..hayo Maombi ya toba wanafanyia wapi na kanisa limefungwa? Sijaelewa kabisa.Makanisa haya ni matatizo.
Kumbe makanisa yakivamiwa na sakramenti kuharibiwa ibada zinakufa?
Mmmh huyu Mungu anatuonaje?
Si imeandikwa tutamwabudu Mungu rohoni?
Taratibu zao ngumu sana.Mimi nimejiuliza..hayo Maombi ya toba wanafanyia wapi na kanisa limefungwa? Sijaelewa kabisa.
Halafu wanashindwa nini kuweka kufanya marekebisho fasta ibada zikaendelea?
Mimi nimejiuliza..hayo Maombi ya toba wanafanyia wapi na kanisa limefungwa? Sijaelewa kabisa.
Halafu wanashindwa nini kuweka kufanya marekebisho fasta ibada zikaendelea?
Taratibu zao ngumu sana.
Ingekuwa makanisa mengine...wangefanya usafi na kufanya maombi ibada zinaendelea.
Pili aliyefanya hiyo mambo wanadai ni muumini wa pale lakini amelinajisi jengo lake la ibada??[emoji1787][emoji1787]
Huyo kijana anaonewa tu. Wapo wakristo wengi wanaiba na wameliacha Taifa katika hali ya umaskini sana.
Sawa amenajisi...wangefanya marekebisho ibada ikaendelea, wangepiga maombi humo humo kanisani.Taratibu zao ngumu sana.
Ingekuwa makanisa mengine...wangefanya usafi na kufanya maombi ibada zinaendelea.
Pili aliyefanya hiyo mambo wanadai ni muumini wa pale lakini amelinajisi jengo lake la ibada??🤣🤣
Padri atakuja kwwnye jumuiya zote na kutoa sakramenti?Ndio maana kuna jumuia mkuu,zinazoweza kufanya ibada kila jmosi.hakuna kinachoshindikana.
Makanisa haya ni matatizo.
Kumbe makanisa yakivamiwa na sakramenti kuharibiwa ibada zinakufa?
Mmmh huyu Mungu anatuonaje?
Si imeandikwa tutamwabudu Mungu rohoni?
Hujui unacjokiongea. Unajua maana ya kutabaruku?Wataacha lini kuabudu majengo na vitu badala ya Mungu?
Hizo Sakraments si huwa zinanunuliwa na kuombewa tu?
Utaelewa tu kwa nini sanduku la agano lililindwa na kubebwa kila mahaliHakuna mantiki ya kufunga ibada vinginevyo kuna kinachoabudiwa si huyu Mungu muumba mbingu na nchi
Ujinga sana huu, yule Padri aliyebaka mtoto aliyekuja kuungama mbona halikufungwa? Ile kufuru ni kubwa zaidi sana ya hii
Tunaeudi enzi za aheria na torati?Utaelewa tu kwa nini sanduku la agano lililindwa na kubebwa kila mahali
Hawezi pata jambo lolote baya labda wamfanyie ukatili wenyewe. Hao jamaa wanaojiita padri, sista, askofu wanafanya ushenzi mkubwa sana. Wana najisi watoto wa kiume, wana gonga wake za watu, yaani ni wahuni hakuna mfano.
Hizi dini ni bora zifungwe, waafrika tuendelee na imani zetu za zamani maana zina maadili mazuri kuliko hawa wafanya biashara na wanyonyaji.
Wananchi wanachanga michango mingi kujenga:
1. shule ila watoto wao lazima walipe ada kubwa kusoma katika hiyo shule, mtoto wa masikini kama ana ada hawezi soma katika hiyo shule
2. waumini wanajenga hospitali ila muumini hawezi kwenda pale kwenye hospital kutibiwa bure na gharama za matibabu ni kubwa hatari.
Hawa jamaa wanafanya biashara ya kuuza matumaini kwa watu wakijinadi kwamba wanafanya kazi ya mungu. Imani zao hazina tofauti na imani zetu za kale ambazo watu waliomba mvua wakapata na kuomba neema wakabalikiwa.
Unaelewa maana ya kutabaruku kanisa? Unajua kwanini sanduku la agano lililindwa kwa nguvu zote?Sawa amenajisi...wangefanya marekebisho ibada ikaendelea, wangepiga maombi humo humo kanisani.
Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni moyo wa Kanisa, Kwani ndiyo Mwili na Damu ya Yesu KristuTunaeudi enzi za aheria na torati?
Tukirudi huku kuna mtu anaweza chochote?
Kanisa ni watu, lililofungwa ni jengo.Katika hili la kufunga Kanisa, mimi mawazo yangu yanatofautiana kidogo na uamuzi aliouchukua Baba Askofu.
Assuming zilikuwa ni hujuma ambazo zililenga kudhoofisha Ibada Kanisani, na kwamba zinaweza kujirudia tena, je tutaendelea kufunga MaKanisa kwa muda hadi lini, kisa wezi? Kwa nini isiwe kwamba baada ya mwizi kuvamia, ndiyo iwe kichocheo cha Ibada kuongezeka zaidi kukemea uovu huo ili usije ukajirudia tena? Mara zote Kanisa la Mungu liko vitani na adui huwa hata siku moja hatoi nafasi ya kulifanya lipumzike; kwa nini tuvamiwe na adui halafu ndiyo wakati huo tusitishe mapigano?
Kwa vile ni mara ya kwanza, ni sawa Baba Askofu aendelee na uamuzi wake ila kama itakuja kutokea kwa mara nyingine, japo hatuombei hilo, ninamuomba sana Baba Askofu azidishe Ibada badala ya kufunga Kanisa
Kanisa litakuwa linafanyia wapi Ibada kwa kipindi chote ambacho jengo litakuwa limefungwa?Kanisa ni watu, lililofungwa ni jengo.
Ni ibada tena kubwa mno; isipokuwa swali langu ni kwamba waumini wanakusanyikia wapi sasa?Hivi umesoma kwa umakini Kweli waraka huo?,Hivi Kufunga na Kufanya toba kwa siku 20 sio kusali?.