Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Loo!! mtu akitaja tu Kanisa Katoliki unaguswa kweli na kuja juu ile mbaya. Badilisha jina basi..
Naaaam. Uhuru nnaozungumzia uliotolewa na katiba ni wa kuabudu. Utaratibu wa kuandikisha makanisa ni 'formality' tu, si mchujo. Kama katika kuandikisha makanisa/taasisi zingine zitachujwa basi hiki kitendo ni kinyume na kipengele cha katiba kinachotoa uhuru wa kuabudu. Askofu Kilaini anapendekeza moja ya vigezo vya kutokuandikisha taasisi ya dini iwe idadi ya waumini. Kama watu wawili wameamua wanataka kuabudu mawingu na katika hili hawavunji sheria yoyote ya nchi, wanastahili kunyimwa haki yao kikatiba ya kuabudu? Mkuu huoni 'contradiction' hapa?
Natambua Askofu Kilaini, kama mimi na wewe, ana haki ya kikatiba ya kusema analotaka ilimradi hamkwazi mtu.
Si vizuri sana kutoa hadharani fact ambazo huna uhakika nazo ndugu yangu......yaani Kanisa lilianza na mitume 12 tu.....Hivi hawa mitume walikuja nyakati gani za historia ya kanisa? Kule kny agano la kale hakukuwa na kanisa?
Confirm facts zako kabla hujazimwaga.....utaharibu ndugu yangu!
Si vizuri sana kutoa hadharani fact ambazo huna uhakika nazo ndugu yangu......yaani Kanisa lilianza na mitume 12 tu.....Hivi hawa mitume walikuja nyakati gani za historia ya kanisa? Kule kny agano la kale hakukuwa na kanisa?
Confirm facts zako kabla hujazimwaga.....utaharibu ndugu yangu!
Mazee, taasisi yeyote ile kabla ya kuandikishwa kwenye vitabu vya serikali inabidi ikidhi vigezo minimum, na hii si kwa makanisa tu. Kila mahali ndivyo ilivyo.
Unaposema Kilaini ame-suggest hii criterion ya idadi ya waumini, sina hakika unachosema ni exclusive maana nijuavyo hili si geni na hujathibitisha kuwa hii criterion haikuwepo kabla ya ushauri alotoa.
Suala la kusema kutokuandikisha kanisa ni kukandamiza uhuru wa kuabudu, nadhani hilo ni suala la kikatiba. Mimi sio mtaalamu wa sheria na wala sio policy maker wala decision maker kwenye hii ishu. Ila naamini kikundi chochote kinacho-operate popote lazima kijulikane na kiwe kwenye kumbukumbu za serikali, kwa maana serikali ni muangalizi wetu sote. Vinaandikishwaje, hilo ni suala la utaratibu uliowekwa tayari.Utaratibu una mapungufu au la, hilo ni beyond the scope of this thread.
.Hapana hajamuamrisha mtu. Ametoa tu maoni yake na mimi ninayapinga
Naona unaanza kurudi kny mstari....! kula 5
Here we go!Tujadiliane kwa amani.
Rejea post yako niliyoinukuu mwanzoni. Umehoji kwamba Kilaini ana Mamlaka gani ya kuhoji uhalali wa makanisa..... wakati huo huo ukisahau kuwa Kilaini ni raia wa Tz ambaye ana haki sawa na mtz yeyote kuhoji kila kitu kinanachoendelea hapa tz na kutoa maoni yake!....wewe tatizo lako ulikuwa unamchukulia Kilaini kama Kiongozi wa RC na ukaona hayo kama ni maoni ya Wakatoliki...kitu ambacho si kweli!Wapi nimemziba Kilaini mdomo?
Kilaini anapohoji uhalali wa makanisa yenye "waumini 200" ana maana gani?
Soma vizuri ile post original.....Kilaini hakuhoji uhalali wa makanisa eti 200.....! hiki kipande kipo pale kama mfano.....katika kuishibisha hoja yake mkuu!
Well, hoja yake ni kwamba serikali ifanye uchunguzi wa kina kabla ya kuyaandisha makanisa yanayosajiliwa siku hizi kama uyoga.....ili kuepuka kusajili makanjanja ambayo yapo kwaajili ya kutumia fursa zilizopo kujinufaisha. Anachosema..kama ikigundulika ni makanisa ambayo yapo kwaajili ya kujinufaisha binafsi ikiwa ni pamoja nakutumia misamaha ya kodi kwa manufaa yao basi wasiyasajili lakini kama itaonekana kuwa yapo kwaajili ya waumini wao na jamii kwa ujumla basi wayasajili...! Kumbuka si kila asemae bwana bwana.......?Anataka yafanywe nini?
...ha!ha!ha! sikutaka kuonyesha jazba kny post yangu....sorry kama umenielewa vibaya!Kiswahili unajua vizuri, ila punguza tu jazba
Ha!ha!ha! bro....u not serious.....kama maswali yako ni ''rhetorical'' ilitakiwa ujue na hoja ya Kilaini ina mwonekano huo huo.....vinginevyo utatuchanganyaMaswali kwenye post yangu ni 'rhetorical'.
Sasa unamkomalia wa nini?Sina maana kwamba Kilaini actually ameamua.
Hapa ndo tunashindwa kuelewana....bro aliitumia haki ya kikatiba kutoa maoni yake ambayo wewe na mimi tunatumia pia now kutoa maoni yetu!Nnachojaribu kuonyesha ni kwamba ana-contradict katiba
. Yes nakubaliana na wewe kuwa anatetea maslahi si ya taasisi yake tu bali ya taifa zima. Kumbuka kama hawa waliopewa misamaha ya kodi wakiitumia kukwepa kodi basi wanaikosesha nchi mapato halali....hivyo maslani ya Taifa yanakuwa at stake. Pili serikali ikigundua kuwa bado kunaupotevu wa kodi kupitia misamaha hii itawafutia wote misamaha hivyo kuwaathili hata wale waliokuwa wanacomply vizuri na sheria....in that matter kama kina Kilaini wanafuata vizuri taaribu basi wataathirika na hapo ndipo maslahi ya taasisi yake yanapokuwa at stake!...na at the same time anatetea maslahi yake/ya taasisi yake
Loo!! mtu akitaja tu Kanisa Katoliki unaguswa kweli na kuja juu ile mbaya. Badilisha jina basi..
Mpaka hapa tupo pamoja. Sina problem na taasisi kuandikishwa. Tatizo langu ni "mchujo" na vigezo vitakavyotumika.
Kuthibitisha kama alichosema Kilaini kilikuwepo au la is besides the point. Msimamo wangu ni kwamba mapendekezo ya Kilaini ni kinyume cha katiba. Period.
This is defeatist thinking. Kama raia wa kutosha wakijitokeza waka weka wazi maoni yao kwamba katiba inakiukwa, basi serikali itabadili msimamo wake. Serikali isiyosikiliza matakwa ya wengi inakua ya kidikteta. Serikali yetu haiko hivyo.
Makanisa kama yale yaliyojiingiza kwenye DECI wazee ni makanisa kweli au ujanja wa kupata fedha tu kutoka kwa wananchi masikini.
.
Rejea post yako niliyoinukuu mwanzoni. Umehoji kwamba Kilaini ana Mamlaka gani ya kuhoji uhalali wa makanisa..... wakati huo huo ukisahau kuwa Kilaini ni raia wa Tz ambaye ana haki sawa na mtz yeyote kuhoji kila kitu kinanachoendelea hapa tz na kutoa maoni yake!....wewe tatizo lako ulikuwa unamchukulia Kilaini kama Kiongozi wa RC na ukaona hayo kama ni maoni ya Wakatoliki...kitu ambacho si kweli!
Haya maneno yanaonyesha unashindwa kujibu hoja yangu unabaki kunitungia yako na kisha kuijibu.
Well, hoja yake ni kwamba serikali ifanye uchunguzi wa kina kabla ya kuyaandisha makanisa yanayosajiliwa siku hizi kama uyoga.....ili kuepuka kusajili makanjanja ambayo yapo kwaajili ya kutumia fursa zilizopo kujinufaisha. Anachosema..kama ikigundulika ni makanisa ambayo yapo kwaajili ya kujinufaisha binafsi ikiwa ni pamoja nakutumia misamaha ya kodi kwa manufaa yao basi wasiyasajili lakini kama itaonekana kuwa yapo kwaajili ya waumini wao na jamii kwa ujumla basi wayasajili...! Kumbuka si kila asemae bwana bwana.......?
Nani alizifanyia uchunguzi wa kina Taasisi za dini zilizokuwepo kabla ya mpango wa kusamehe kodi kuanza? Kama kweli inawezekana kufanya uchunguzi ukajua mtu ana nia gani, basi duniani kusingekuwa na uhalifu wa aina yoyote ile. Ni Mungu tu ndo anayeweza kujua mtu ana ajenda gani ya siri.
Yes nakubaliana na wewe kuwa anatetea maslahi si ya taasisi yake tu bali ya taifa zima.
Maslahi ya taifa zima ni kukwepa kodi?
Kumbuka kama hawa waliopewa misamaha ya kodi wakiitumia kukwepa kodi basi wanaikosesha nchi mapato halali....hivyo maslani ya Taifa yanakuwa at stake. Pili serikali ikigundua kuwa bado kunaupotevu wa kodi kupitia misamaha hii itawafutia wote misamaha hivyo kuwaathili hata wale waliokuwa wanacomply vizuri na sheria....in that matter kama kina Kilaini wanafuata vizuri taaribu basi wataathirika na hapo ndipo maslahi ya taasisi yake yanapokuwa at stake!
Ninavyofahamu mimi, jukumu la msingi (Primary objective) la taasisi ya kidini ni kutoa huduma za kiroho. Msamaha wa kodi ulitolewa kwa vitu vinavyotumika kwenye ibada tu kama Koran, Biblia, n.k. Pale taasisi za kidini zinaponufaika na msamaha wa kodi kwa bidhaa zisizotumika katika ibada (mfano vifaa vya ujenzi, magari, n.k) basi zinavuruga mfumo mzima wa kodi. Hii ndo sababu pekee inayopelekea watu kuanzisha taasisi za kidini (haswa makanisa) ili wanufaike na msamaha wa kodi. Serikali inafahamu kwamba njia pekee ya kuzuia ukwepaji wa kodi kupitia misamaha iliyotolewa kwa taasisi za kidini ni kutoza kodi bidhaa zote zisizohusika na ibada.
Naona tunarudi back to square one. Hivi kutoa maoni imekuwa kinyume cha katiba tangu lini?
Naamini kuwa katiba sio absolute and exclusive, na ndio maana hurekebishwa, kuboreshwa n.k .. na sipingani na nguvu ya umma kuishape nchi yao through katiba. Tukirejea kwenye mada ni kuwa Kilaini au Gamanywa , sio anayeandika katiba na wala hayupo kwenye mlolongo huo wa kisheria ..so its logical we can leave him out this issue , at least.
Labda useme weye pengine utaonekana huiingilii katiba au hutetei maslahi yako binafsi!
Kwangu mimi huu ni Ushauri wa hatari kwa nchi iliyojiwekea misingi ya uhuru wa kuabudu kwenye katiba yake. Yaani watz 200 wakitaka kuabudu wasihalalishwe kuabudu! Idadi gani ni halali?
.Kwangu mimi huu ni Ushauri wa hatari kwa nchi iliyojiwekea misingi ya uhuru wa kuabudu kwenye katiba yake. Yaani watz 200 wakitaka kuabudu wasihalalishwe kuabudu! Idadi gani ni halali?
Serikali inatumia vigezo gani kutambua makanisa? Mtu au watu wakitaka kuanzisha kanisa na kwenda kujisajili serikalini wana takiwa kutimiza vigezo gani? Katika katiba ya nchi Kanisa hasa ni nini kutokana na definition ya katiba?
Mimi nadhani kama serikali imeweka utaratibu mzuri au katiba inaorodhesha vizuri nini kigezo cha kuhesabika na kutambulika kama kanisa basi sidhani kama mtu yoyte au kikundi chochote tu kinaweza kuanzisha kanisa. Tatizo bongo usanii tupu ..........