Hapana hajamuamrisha mtu. Ametoa tu maoni yake na mimi ninayapinga
.
Naona unaanza kurudi kny mstari....! kula 5
Here we go!
Wapi nimemziba Kilaini mdomo?
Rejea post yako niliyoinukuu mwanzoni. Umehoji kwamba Kilaini ana Mamlaka gani ya kuhoji uhalali wa makanisa..... wakati huo huo ukisahau kuwa Kilaini ni raia wa Tz ambaye ana haki sawa na mtz yeyote kuhoji kila kitu kinanachoendelea hapa tz na kutoa maoni yake!....wewe tatizo lako ulikuwa unamchukulia Kilaini kama Kiongozi wa RC na ukaona hayo kama ni maoni ya Wakatoliki...kitu ambacho si kweli!
Kilaini anapohoji uhalali wa makanisa yenye "waumini 200" ana maana gani?
Soma vizuri ile post original.....Kilaini hakuhoji uhalali wa makanisa eti 200.....! hiki kipande kipo pale kama mfano.....katika kuishibisha hoja yake mkuu!
Well, hoja yake ni kwamba serikali ifanye uchunguzi wa kina kabla ya kuyaandisha makanisa yanayosajiliwa siku hizi kama uyoga.....ili kuepuka kusajili makanjanja ambayo yapo kwaajili ya kutumia fursa zilizopo kujinufaisha. Anachosema..kama ikigundulika ni makanisa ambayo yapo kwaajili ya kujinufaisha binafsi ikiwa ni pamoja nakutumia misamaha ya kodi kwa manufaa yao basi wasiyasajili lakini kama itaonekana kuwa yapo kwaajili ya waumini wao na jamii kwa ujumla basi wayasajili...! Kumbuka si kila asemae bwana bwana.......?
Kiswahili unajua vizuri, ila punguza tu jazba
...ha!ha!ha! sikutaka kuonyesha jazba kny post yangu....sorry kama umenielewa vibaya!
Maswali kwenye post yangu ni 'rhetorical'.
Ha!ha!ha! bro....u not serious.....kama maswali yako ni ''rhetorical'' ilitakiwa ujue na hoja ya Kilaini ina mwonekano huo huo.....vinginevyo utatuchanganya
Sina maana kwamba Kilaini actually ameamua.
Sasa unamkomalia wa nini?
Nnachojaribu kuonyesha ni kwamba ana-contradict katiba
Hapa ndo tunashindwa kuelewana....bro aliitumia haki ya kikatiba kutoa maoni yake ambayo wewe na mimi tunatumia pia now kutoa maoni yetu!
...na at the same time anatetea maslahi yake/ya taasisi yake
. Yes nakubaliana na wewe kuwa anatetea maslahi si ya taasisi yake tu bali ya taifa zima. Kumbuka kama hawa waliopewa misamaha ya kodi wakiitumia kukwepa kodi basi wanaikosesha nchi mapato halali....hivyo maslani ya Taifa yanakuwa at stake. Pili serikali ikigundua kuwa bado kunaupotevu wa kodi kupitia misamaha hii itawafutia wote misamaha hivyo kuwaathili hata wale waliokuwa wanacomply vizuri na sheria....in that matter kama kina Kilaini wanafuata vizuri taaribu basi wataathirika na hapo ndipo maslahi ya taasisi yake yanapokuwa at stake!