Askofu Malasusa anavuruga KKKT; namwona kama anaingiza dola kwenye kanisa badala ya kuingiza dini

Askofu Malasusa anavuruga KKKT; namwona kama anaingiza dola kwenye kanisa badala ya kuingiza dini

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.

Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.

Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.

Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.

Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
 
K.K.K.T ni kama timu ya Simba. Kabla ya uchaguzi utadikia hatumtakiiii.....hatumtaki lakini siku ya uchaguzi wakimleta manzoki tuu, watu wanamshangilia kura kama zooote anatoboa tena
 
Hutaki Mkuu wa Kanisa Tanzania alindwe mleta mada? Hata wewe unaweza kulindwa kwa mtutu na dola ikiwa una vigezo.
 
Nimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.

Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.

Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.

Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.

Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
Nikuulize tu, mkuu wewe ni mchaga?
 
Nimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.

Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.

Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.

Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.

Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
Mi binafsi sadaka yangu hapati huyu muhuni
 
Nimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.

Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.

Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.

Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.

Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
Nilisha acha kusali KKKT
 
Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
Bado anahitajika. More five yrs.....ngoja katiba mpya ipatikane, then all will go . hata Mbowe haondoki mpaka ktiba mpya ipatikane. Ikipatikana tu wanaondoka maana kutakuwa na msingi mzuri wa mihimili ya dola.
 
Nimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.

Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.

Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.

Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.

Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
Bagonza anaingiaje hapa..?
 
Back
Top Bottom