masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Bado nilimdharau sana Bagonza kwa kuside na the bad lot!Dayosisi ya konde,,, Dayosisi ya ngumi bila shaka Tukuyu moja hiyo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado nilimdharau sana Bagonza kwa kuside na the bad lot!Dayosisi ya konde,,, Dayosisi ya ngumi bila shaka Tukuyu moja hiyo....
Vimada, ushirikina na mtumwenyewe ndiyo kitu Bagonza alivishabikia!Kuna vitu unachanganya hapa. Kumbuka aliunga mkono hoja zake na sio vimada na ushirikina wake
Kwanini anaitwa pengo? Ana pengo sehemu nadhani.Naam , Mara nyingi serikali ya Tanzania inapanga safu KKKT , Wakatoliki wamenusurika kwa vile viongozi wake wanatoka VATICAN , ni wachache sana huwa wanakengeuka , mfano ni pollycap Pengo