Askofu Malasusa anavuruga KKKT; namwona kama anaingiza dola kwenye kanisa badala ya kuingiza dini

Askofu Malasusa anavuruga KKKT; namwona kama anaingiza dola kwenye kanisa badala ya kuingiza dini

Dini ni extended arm of Government, inashikiliwa na executive
 
Nimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.

Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.

Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.

Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.

Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
..
 

Attachments

  • Kipanya~2.jpg
    Kipanya~2.jpg
    44 KB · Views: 3
Nimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.

Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.

Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.

Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.

Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
Huyo so-called askofu ni mtumishi wa serikali ya CCM wa mda mrefu
 
Sasa kama Dola ndio iliingilia uchaguzi wa Kkkt na kumuweesha yeye kuwa kiongozi mnatarajia nini!
Poleni sana Lutheran kwa kuruhusu hili!
 
Nimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.

Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.

Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.

Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.

Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
Huyo kawekwa na serikali hapo kama wanavyowapangia bakwata nani awe sheikh mkuu ili aweze kuwatumikia wao na si muda kkkt ataisambaratisha
 
Nimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.

Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.

Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.

Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.

Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
Nilimdharau sana Bagonza baada ya yeye kumuunga mkono aliyekuwa Askofu Mwaikali Dayosisi ya Konde, Askofu aliyekuja kujulikana kuwa ana vimada na anajihusisha na ushirikina.
 
Nilimdharau sana Bagonza baada ya yeye kumuunga mkono aliyekuwa Askofu Mwaikali Dayosisi ya Konde, Askofu aliyekuja kujulikana kuwa ana vimada na anajihusisha na ushirikina.
Tupe ushahidi wa ushirikina au kuwa na vimada
 
Nilimdharau sana Bagonza baada ya yeye kumuunga mkono aliyekuwa Askofu Mwaikali Dayosisi ya Konde, Askofu aliyekuja kujulikana kuwa ana vimada na anajihusisha na ushirikina.
Kuna vitu unachanganya hapa. Kumbuka aliunga mkono hoja zake na sio vimada na ushirikina wake
 
Nilimdharau sana Bagonza baada ya yeye kumuunga mkono aliyekuwa Askofu Mwaikali Dayosisi ya Konde, Askofu aliyekuja kujulikana kuwa ana vimada na anajihusisha na ushirikina.
Dayosisi ya konde,,, Dayosisi ya ngumi bila shaka Tukuyu moja hiyo....
 
Nimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.

Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.

Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.

Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.

Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.


Dini pamoja na dola vyote haivitakiwi, kinachotakiwa ni Imani, wewe na Malasusa wote achaneni na Imani.
 
Back
Top Bottom