Kwani Bunduki zikija makanisani zinaondoa wakfu wa kanisa..?Wakati huo uliona bunduki makanisani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Bunduki zikija makanisani zinaondoa wakfu wa kanisa..?Wakati huo uliona bunduki makanisani ?
Ni machaguzi tu, kwa Rais halindwi na Mungu anavyokuwa na walinzi wengi vile..??Hataki kulindwa na Mungu ila kwa mtutu wa Bunduki?
..Nimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.
Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.
Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.
Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.
Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
Huyo so-called askofu ni mtumishi wa serikali ya CCM wa mda mrefuNimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.
Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.
Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.
Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.
Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
Huyo kawekwa na serikali hapo kama wanavyowapangia bakwata nani awe sheikh mkuu ili aweze kuwatumikia wao na si muda kkkt ataisambaratishaNimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.
Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.
Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.
Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.
Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
Nilimdharau sana Bagonza baada ya yeye kumuunga mkono aliyekuwa Askofu Mwaikali Dayosisi ya Konde, Askofu aliyekuja kujulikana kuwa ana vimada na anajihusisha na ushirikina.Nimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.
Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.
Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.
Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.
Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.
Tupe ushahidi wa ushirikina au kuwa na vimadaNilimdharau sana Bagonza baada ya yeye kumuunga mkono aliyekuwa Askofu Mwaikali Dayosisi ya Konde, Askofu aliyekuja kujulikana kuwa ana vimada na anajihusisha na ushirikina.
Sasa huyo malasusa wenu kafanya kitu ganiKaanzisheni makanisa yenu ndo mumpe ukuu wa kanisa.
Hafanyi kitu na ndo kashakuwa mkuu wa kanisa na hamna cha kumfanya. Kama mmechukizwa, kafungueni makanisa yenu.Sasa huyo malasusa wenu kafanya kitu gani
Kuna vitu unachanganya hapa. Kumbuka aliunga mkono hoja zake na sio vimada na ushirikina wakeNilimdharau sana Bagonza baada ya yeye kumuunga mkono aliyekuwa Askofu Mwaikali Dayosisi ya Konde, Askofu aliyekuja kujulikana kuwa ana vimada na anajihusisha na ushirikina.
Dayosisi ya konde,,, Dayosisi ya ngumi bila shaka Tukuyu moja hiyo....Nilimdharau sana Bagonza baada ya yeye kumuunga mkono aliyekuwa Askofu Mwaikali Dayosisi ya Konde, Askofu aliyekuja kujulikana kuwa ana vimada na anajihusisha na ushirikina.
Afadhali toka uondoke watu hawadondoki tena na mapepo baki hukohukoNilisha acha kusali KKKT
Malasusa ni kada wa CCM na pia ni afisa kipenyo.Huyo kawekwa na serikali hapo kama wanavyowapangia bakwata nani awe sheikh mkuu ili aweze kuwatumikia wao na si muda kkkt ataisambaratisha
Na Shoo pia ni Askofu wetu mpendwaAskofu wetu ni Bagonza. Huyo yupo hapo kuilinda System
Nimeona askari wakiwa na mitutu kwenye maeneo ya kanisa la KKKT hapa Mwanza, nimeshtuka sana kwamba watumishi wa umma wametoka na mfumo wa serikali ofisini na sasa wanataka waendeshe na makanisa.
Pamoja na kuona dalili hizi na nikikumbuka uchaguzi uliofanyika Arusha kumchagua Malasusa; lakini pia nikikumbuka kauli zake wakati wa JPM sidhani kuna Askofu. Naona kama dola inapanga nani awe askofu na anapaswa kumtumikia aliyemweka na siyo Mungu.
Kwa utandawazi uliopo sasa naamini waumini watapungua na miradi ya kanisa itakufa wakati akisherehekea kuwa karibu na dola kanisa linateketea.
Tubuni la sivyo Mungu siyo binadamu; waumini wakipiga magoti kuhoji uhalali sidhani kama kuna kupona. Natambua soon mtaanza kupekekana mahakamani.
Mzee wangu Bagonza tafakari kustaafu kabla ujachafuka.