Askofu Malasusa anavuruga KKKT; namwona kama anaingiza dola kwenye kanisa badala ya kuingiza dini

Naam , Mara nyingi serikali ya Tanzania inapanga safu KKKT , Wakatoliki wamenusurika kwa vile viongozi wake wanatoka VATICAN , ni wachache sana huwa wanakengeuka , mfano ni pollycap Pengo
Kwanini anaitwa pengo? Ana pengo sehemu nadhani.


Majina mengine yanaenda na tabia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…