Askofu Malasusa kwanini anataka tena Uaskofu Mkuu KKKT?

Askofu Malasusa kwanini anataka tena Uaskofu Mkuu KKKT?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Malasusa alishamaliza two terms za uaskofu Mkuu, baada ya mabadiliko ya katiba amegombea tena uaskofu Mkuu; je ana jambo jipya kwa taasisi hii yenye watu zaidi ya milioni nane NCHINI?

Endapo atapata, hakuna uwezekano akaikabidhi taasisi hii kwenye dola kama alivyofanya DSM akiwa mjumbe wa kamati ya amani? Kwanini asikubali kustaafu? Kama katika regime yake aliweza kumpa likizo mchungaji Kimaro, nini tutegemee kwa wachungaji walokole akirejea kwenye nafasi ya juu?

Je, akina Bagonza watabaki salama ndani ya kanisa? Hakuna uwezekano akashirikiana na Askofu wa Tanga ambaye kwa urgument na perception ni mwanamfumo kulifanya kanisa liondoke kwenye malengo yake liwe na mrengo wa kutetea dola?

Hapa ndipo maombi yanahitajika zaidi kuone kesho kabla haijafika
 
Malasusa alishamaliza two terms za uaskofu Mkuu, baada ya mabadiliko ya katiba amegombea tena uaskofu Mkuu; je ana jambo jipya kwa taasisi hii yenye watu zaidi ya milioni nane NCHINI?

Endapo atapata, hakuna uwezekano akaikabidhi taasisi hii kwenye dola kama alivyofanya DSM akiwa mjumbe wa kamati ya amani? Kwanini asikubali kustaafu? Kama katika regime yake aliweza kumpa likizo mchungaji Kimaro, nini tutegemee kwa wachungaji walokole akirejea kwenye nafasi ya juu?

Je, akina Bagonza watabaki salama ndani ya kanisa? Hakuna uwezekano akashirikiana na Askofu wa Tanga ambaye kwa urgument na perception ni mwanamfumo kulifanya kanisa liondoke kwenye malengo yake liwe na mrengo wa kutetea dola?

Hapa ndipo maombi yanahitajika zaidi kuone kesho kabla haijafika
Atashinda huyu wa Tanga. Unajua kwa sasa kijana wenu pale Wizara ya Fedha ndo atakuwa Askofu Mkuu wenu kwa mlango wa nyuma
 
Huyooo
255673549539_status_3576405adbfd4e87ac9a51a54f8267a2.jpg
 
Malasusa alishamaliza two terms za uaskofu Mkuu, baada ya mabadiliko ya katiba amegombea tena uaskofu Mkuu; je ana jambo jipya kwa taasisi hii yenye watu zaidi ya milioni nane NCHINI?

Endapo atapata, hakuna uwezekano akaikabidhi taasisi hii kwenye dola kama alivyofanya DSM akiwa mjumbe wa kamati ya amani? Kwanini asikubali kustaafu? Kama katika regime yake aliweza kumpa likizo mchungaji Kimaro, nini tutegemee kwa wachungaji walokole akirejea kwenye nafasi ya juu?

Je, akina Bagonza watabaki salama ndani ya kanisa? Hakuna uwezekano akashirikiana na Askofu wa Tanga ambaye kwa urgument na perception ni mwanamfumo kulifanya kanisa liondoke kwenye malengo yake liwe na mrengo wa kutetea dola?

Hapa ndipo maombi yanahitajika zaidi kuone kesho kabla haijafika
Ni nguvu ya System ili imtumie Okay?
 
Back
Top Bottom