Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Malasusa alishamaliza two terms za uaskofu Mkuu, baada ya mabadiliko ya katiba amegombea tena uaskofu Mkuu; je ana jambo jipya kwa taasisi hii yenye watu zaidi ya milioni nane NCHINI?
Endapo atapata, hakuna uwezekano akaikabidhi taasisi hii kwenye dola kama alivyofanya DSM akiwa mjumbe wa kamati ya amani? Kwanini asikubali kustaafu? Kama katika regime yake aliweza kumpa likizo mchungaji Kimaro, nini tutegemee kwa wachungaji walokole akirejea kwenye nafasi ya juu?
Je, akina Bagonza watabaki salama ndani ya kanisa? Hakuna uwezekano akashirikiana na Askofu wa Tanga ambaye kwa urgument na perception ni mwanamfumo kulifanya kanisa liondoke kwenye malengo yake liwe na mrengo wa kutetea dola?
Hapa ndipo maombi yanahitajika zaidi kuone kesho kabla haijafika
Endapo atapata, hakuna uwezekano akaikabidhi taasisi hii kwenye dola kama alivyofanya DSM akiwa mjumbe wa kamati ya amani? Kwanini asikubali kustaafu? Kama katika regime yake aliweza kumpa likizo mchungaji Kimaro, nini tutegemee kwa wachungaji walokole akirejea kwenye nafasi ya juu?
Je, akina Bagonza watabaki salama ndani ya kanisa? Hakuna uwezekano akashirikiana na Askofu wa Tanga ambaye kwa urgument na perception ni mwanamfumo kulifanya kanisa liondoke kwenye malengo yake liwe na mrengo wa kutetea dola?
Hapa ndipo maombi yanahitajika zaidi kuone kesho kabla haijafika