Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,544
- 2,169
HahahahahaOngezea na Mbowe hapo. Mi Chadema lakini kung'atuka mapema ni jambo naloliheshimu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaOngezea na Mbowe hapo. Mi Chadema lakini kung'atuka mapema ni jambo naloliheshimu sana
Mkuu acha kuchanganya siasa na dini
Hiyo Keshomshahara ndio jina la ubini wake???Tulikuwa tunamtegemea Dr. Abednego Keshomshahara ndio awe mkuu
so ameingia kimkakati kutimiza lengo fulani?Hafuati mshahara
Ni vigumu kuwaamini hawa wanaojiita kanisa. Huyu malasusa alikuwa na tuhuma za kumchukua mke wa kondoo wake kingono na katika utawala wa mwendazake alilihujumu kanisa na alikuwa akihudumiwa na serikali hata kwa kupewa ulinzi magari ya umma na ulinzi binafsi.
Halafu katika miradi ya kanisa ndiye aliyeiua hospitali ya KCMC kwa kumuweka swahiba wake ambae hata hakuwa Dr kuwa mkuu wa hospitali. Huyu mkuu wa KCMC alikuwa fisadi linaloishi Dar na kufanya kazi Moshi kwa gharama kubwa sana . Alikuwa akihudhuria kazini kwa kutumia usafiri wa ndege huku land cruiser V8 ikimfuata kwa barabara kwenda kumhudumia kwenye kula bata.
Sasa chuo kikuu Tumaini na hospitali ya KCMC wajiandae kisaikolojia kuporomoka kama wakati ule wa kipindi chake.
Ajabu kuu kwa uchaguzi wa kkkt ni rushwa na propaganda za maji taka kutawala kiasi cha kuwapa watu wasi wasi kama hili ni kanisa au mojawapo ya jumuiya za kisiri mfano wa ma-freemason, Illuminati nk.
Muda ndio utakuwa hakimu sahihi wa kutambua uhalisia wa huu uongozi wa kanisa la KKKT.