Askofu Malasusa kwanini anataka tena Uaskofu Mkuu KKKT?

Askofu Malasusa kwanini anataka tena Uaskofu Mkuu KKKT?

Ni vigumu kuwaamini hawa wanaojiita kanisa. Huyu malasusa alikuwa na tuhuma za kumchukua mke wa kondoo wake kingono na katika utawala wa mwendazake alilihujumu kanisa na alikuwa akihudumiwa na serikali hata kwa kupewa ulinzi magari ya umma na ulinzi binafsi.
Halafu katika miradi ya kanisa ndiye aliyeiua hospitali ya KCMC kwa kumuweka swahiba wake ambae hata hakuwa Dr kuwa mkuu wa hospitali. Huyu mkuu wa KCMC alikuwa fisadi linaloishi Dar na kufanya kazi Moshi kwa gharama kubwa sana . Alikuwa akihudhuria kazini kwa kutumia usafiri wa ndege huku land cruiser V8 ikimfuata kwa barabara kwenda kumhudumia kwenye kula bata.
Sasa chuo kikuu Tumaini na hospitali ya KCMC wajiandae kisaikolojia kuporomoka kama wakati ule wa kipindi chake.
Ajabu kuu kwa uchaguzi wa kkkt ni rushwa na propaganda za maji taka kutawala kiasi cha kuwapa watu wasi wasi kama hili ni kanisa au mojawapo ya jumuiya za kisiri mfano wa ma-freemason, Illuminati nk.
Muda ndio utakuwa hakimu sahihi wa kutambua uhalisia wa huu uongozi wa kanisa la KKKT.
 
Ni vigumu kuwaamini hawa wanaojiita kanisa. Huyu malasusa alikuwa na tuhuma za kumchukua mke wa kondoo wake kingono na katika utawala wa mwendazake alilihujumu kanisa na alikuwa akihudumiwa na serikali hata kwa kupewa ulinzi magari ya umma na ulinzi binafsi.
Halafu katika miradi ya kanisa ndiye aliyeiua hospitali ya KCMC kwa kumuweka swahiba wake ambae hata hakuwa Dr kuwa mkuu wa hospitali. Huyu mkuu wa KCMC alikuwa fisadi linaloishi Dar na kufanya kazi Moshi kwa gharama kubwa sana . Alikuwa akihudhuria kazini kwa kutumia usafiri wa ndege huku land cruiser V8 ikimfuata kwa barabara kwenda kumhudumia kwenye kula bata.
Sasa chuo kikuu Tumaini na hospitali ya KCMC wajiandae kisaikolojia kuporomoka kama wakati ule wa kipindi chake.
Ajabu kuu kwa uchaguzi wa kkkt ni rushwa na propaganda za maji taka kutawala kiasi cha kuwapa watu wasi wasi kama hili ni kanisa au mojawapo ya jumuiya za kisiri mfano wa ma-freemason, Illuminati nk.
Muda ndio utakuwa hakimu sahihi wa kutambua uhalisia wa huu uongozi wa kanisa la KKKT.
🤣🤣Haya majungu
Ulipiga kura?
 
Mungu alinisuru kanisa, Malasusa alichafuka toka siku nyingi hata alipokuwa mkuu wa KKKT mambo yalikuwa hovyo.
Kuna siku nimeswitch upendo TV nilipokutana nae tu akihubiri nikabadilisha. Malasusa yuko kisiasa zaidi kuliko kiroho na siasa ndiyo iliyomrudisha hapo.
🤣🤣🤣Wakupe wewe sasa
 
Siku Zote kanisa linaongozwa na Roho Mt sio mtu.Ikiwa kuchaguliwa kwake kunatokana na Mungu,tusinug'unuke tusiyetukaonekana tunapingana na Mungu.(matendi ya mitume 5:38)
Kura zimepigwa na wanadamu weziye (maaskofu weziye), Mungu hakuusika kwenye upigaji kura
 
Nikikumbuka ule Waraka wa Pasaka wa KKKT wa Mwaka 2018 uliokuwa unapinga ukatili wa kutekana,kubambikiana kesi na kuua watu kwenye sandarusi pamoja na TRA kunyanyasa wafanyabiashara. Waraka ule ulisomwa nchi nzima kasoro kwenye makanisa ya Dayosisi ya Mashariki na Pwani ambapo huyu kirusi Malasusa alikuwa Mkuu wake,aliamua kuungana na Magufuli kukandamiza haki za Watanzania.
 
Back
Top Bottom