Askofu Malasusa kwanini anataka tena Uaskofu Mkuu KKKT?

Askofu Malasusa kwanini anataka tena Uaskofu Mkuu KKKT?

Malasusa alishamaliza two terms za uaskofu Mkuu, baada ya mabadiliko ya katiba amegombea tena uaskofu Mkuu; je ana jambo jipya kwa taasisi hii yenye watu zaidi ya milioni nane NCHINI?

Endapo atapata, hakuna uwezekano akaikabidhi taasisi hii kwenye dola kama alivyofanya DSM akiwa mjumbe wa kamati ya amani? Kwanini asikubali kustaafu? Kama katika regime yake aliweza kumpa likizo mchungaji Kimaro, nini tutegemee kwa wachungaji walokole akirejea kwenye nafasi ya juu?

Je, akina Bagonza watabaki salama ndani ya kanisa? Hakuna uwezekano akashirikiana na Askofu wa Tanga ambaye kwa urgument na perception ni mwanamfumo kulifanya kanisa liondoke kwenye malengo yake liwe na mrengo wa kutetea dola?

Hapa ndipo maombi yanahitajika zaidi kuone kesho kabla haijafika
Kama ndio hivyo, Ccm wamepata mshirika.
 
Anaitwa Alex GEHAZ Malalusa yani hapa ndio shida inapoanzia kwenye hii GEHAZ. Ktk biblia huyu bwana alikuwa chawa wa nabii Elisha na mwenye tamaa nyingi kiasi cha kufanya utapeli kwenye kazi ya kinabii ya Elisha. Alipata ukoma na kupotea vibaya.
Kwani maaskofu wenzake wanaonaje ?
 
Kwa comments hizi naamini eidha kuwe na namna ya yeye ku-prove watu wrong au kufanya tofauti zaidi na matarajio ya wengi.
Baba askofu ujumbe ufike kwake kwa comments za aina hii.
Jingine na muhimu ni dua na sala,Mungu hugeuza mioyo ya chuma na kujiinua na kuweka moyo wa unyenyekevu vinginevyo aonywae mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika wala hatapata dawa.
 
Pia, wakati mwendazake akitenda mambo ya kikatili na uongozi usio wa kidemokrasia huyu Malasusa aliamua kuwa rafiki yake binafsi kwa mgongo wa Kanisa akiitumia Dayosisi ya mashariki na pwani.

Ya kikatili yapi!!! yataje wengine tuyafahamu
 
Mshahara wa askofu ni laki ngapi wapendwa kuna kitu nataka kujua?
 
Malasusa alishamaliza two terms za uaskofu Mkuu, baada ya mabadiliko ya katiba amegombea tena uaskofu Mkuu; je ana jambo jipya kwa taasisi hii yenye watu zaidi ya milioni nane NCHINI?

Endapo atapata, hakuna uwezekano akaikabidhi taasisi hii kwenye dola kama alivyofanya DSM akiwa mjumbe wa kamati ya amani? Kwanini asikubali kustaafu? Kama katika regime yake aliweza kumpa likizo mchungaji Kimaro, nini tutegemee kwa wachungaji walokole akirejea kwenye nafasi ya juu?

Je, akina Bagonza watabaki salama ndani ya kanisa? Hakuna uwezekano akashirikiana na Askofu wa Tanga ambaye kwa urgument na perception ni mwanamfumo kulifanya kanisa liondoke kwenye malengo yake liwe na mrengo wa kutetea dola?

Hapa ndipo maombi yanahitajika zaidi kuone kesho kabla haijafika
Wewe Mwislamu, yanakuhusu nini?
 
Kuna akili za hovyo sana humu? Kwa hiyo Malasusa hana haki kugombea? Kwa hiyo akiunga mkono serikali yetu inayoletea wananchi maendeleo ni mbaya. Akili za hovyo kabisa kama manyumbu.
 
Pongezi nyingi kwa DR. Malasusa hakika ni mtu mwenye Hekima na Busara nyingi sana, huwa hakurupuki wala sio MNAFIKI.
Hakika atalijenga kanisa KKKKT kwenye misingi ya umoja na uzalendo kwa Taifa letu.
 
Wamefanana kabisa kitabia,huyu ni chawa wa Serikali muda si mrefu migogoro itaanza KKKT.
Uzuri kwa katiba ya KKKT, Mkuu wa KKKT hana mamlaka yoyote au uwezo wowote wa kumwambia au kumfukuza kazi Askofu Mkuu wa Dayosisi...., Labda Malasusa aingie abadilishe katiba na kujipa Mamlaka.

Ila kwa katiba ya sasa ni hekima tuu huwa inatumika kumuheshimu ila kila mtu kwenye dayosisi lake ana nguvu zake mwenyewe kama mfalme ambazo haziingiliwi na mtu yeyote yule...(Rejea katiba ya Dayosisi ya Mashariki na Pwani na Katiba ya Dayosisi ya Kaskazini)

Hivyo hata kama ameingia kwa mgongo wa fulani ni ngumu sana kusukuma Kanisa liende kama anavyotaka yeye maana Katiba haijampa mamlaka hayo...., Yeye ataendelea kupambana na Kimaro wake ila akitoka nje ya hapo ni kibano kikali
 
Back
Top Bottom