Askofu Malasusa kwanini anataka tena Uaskofu Mkuu KKKT?

Askofu Malasusa kwanini anataka tena Uaskofu Mkuu KKKT?

Malasusa alishamaliza two terms za uaskofu Mkuu, baada ya mabadiliko ya katiba amegombea tena uaskofu Mkuu; je ana jambo jipya kwa taasisi hii yenye watu zaidi ya milioni nane NCHINI?

Endapo atapata, hakuna uwezekano akaikabidhi taasisi hii kwenye dola kama alivyofanya DSM akiwa mjumbe wa kamati ya amani? Kwanini asikubali kustaafu? Kama katika regime yake aliweza kumpa likizo mchungaji Kimaro, nini tutegemee kwa wachungaji walokole akirejea kwenye nafasi ya juu?

Je, akina Bagonza watabaki salama ndani ya kanisa? Hakuna uwezekano akashirikiana na Askofu wa Tanga ambaye kwa urgument na perception ni mwanamfumo kulifanya kanisa liondoke kwenye malengo yake liwe na mrengo wa kutetea dola?

Hapa ndipo maombi yanahitajika zaidi kuone kesho kabla haijafika
MALASUSA KAWEKWA NA MFUMO TUTARAJIE KKKT Kuwa Tawi la CCM
 
MALASUSA KAWEKWA NA MFUMO TUTARAJIE KKKT Kuwa Tawi la CCM
Nimetazama usiku Upendo TV wakitangaza Askofu Malasusa akitangazwa kuwa Askofu mkuu mteule wa KKKT.
Niseme kweli ya moyo wangu, nilishangazwa sana na sura za maaskofu wengine kuonyesha kutokuwa na furaha tofauti na inavyotegemewa.
Nini sababu? Kwa sisi waumini wa Kilutheri ni vyema tuambiwe ukweli kumetokea nini huko katika mkutano mkuu?
Malasusa nakumbuka historia yaķe sio nzuri sana katika kanisa, kunakipindi baada ya kuingia Askofu Shoo alileta upingaji mambo kadhaa akawa kama ametengwa na wenzake kimyakimya.
Pia, wakati mwendazake akitenda mambo ya kikatili na uongozi usio wa kidemokrasia huyu Malasusa aliamua kuwa rafiki yake binafsi kwa mgongo wa Kanisa akiitumia Dayosisi ya mashariki na pwani.
Inaweza kuwa ni fikra zangu potofu, lakini kama kaingia madarakani kwa mbinu za dola ili kuliharibu kanisa la Mungu basi tutamuomba Mungu alirudishe mikononi mwake.
 
Malasusa alishamaliza two terms za uaskofu Mkuu, baada ya mabadiliko ya katiba amegombea tena uaskofu Mkuu; je ana jambo jipya kwa taasisi hii yenye watu zaidi ya milioni nane NCHINI?

Endapo atapata, hakuna uwezekano akaikabidhi taasisi hii kwenye dola kama alivyofanya DSM akiwa mjumbe wa kamati ya amani? Kwanini asikubali kustaafu? Kama katika regime yake aliweza kumpa likizo mchungaji Kimaro, nini tutegemee kwa wachungaji walokole akirejea kwenye nafasi ya juu?

Je, akina Bagonza watabaki salama ndani ya kanisa? Hakuna uwezekano akashirikiana na Askofu wa Tanga ambaye kwa urgument na perception ni mwanamfumo kulifanya kanisa liondoke kwenye malengo yake liwe na mrengo wa kutetea dola?

Hapa ndipo maombi yanahitajika zaidi kuone kesho kabla haijafika
Tayari kanisa limeshakuwa kama BAKWATA ni tawi la CCM
 
Nimetazama usiku Upendo TV wakitangaza Askofu Malasusa akitangazwa kuwa Askofu mkuu mteule wa KKKT.
Niseme kweli ya moyo wangu, nilishangazwa sana na sura za maaskofu wengine kuonyesha kutokuwa na furaha tofauti na inavyotegemewa.
Nini sababu? Kwa sisi waumini wa Kilutheri ni vyema tuambiwe ukweli kumetokea nini huko katika mkutano mkuu?
Malasusa nakumbuka historia yaķe sio nzuri sana katika kanisa, kunakipindi baada ya kuingia Askofu Shoo alileta upingaji mambo kadhaa akawa kama ametengwa na wenzake kimyakimya.
Pia, wakati mwendazake akitenda mambo ya kikatili na uongozi usio wa kidemokrasia huyu Malasusa aliamua kuwa rafiki yake binafsi kwa mgongo wa Kanisa akiitumia Dayosisi ya mashariki na pwani.
Inaweza kuwa ni fikra zangu potofu, lakini kama kaingia madarakani kwa mbinu za dola ili kuliharibu kanisa la Mungu basi tutamuomba Mungu alirudishe mikononi mwake.
Malasusa hafai kwanza alishatengwa na kanisa kipindi fulanin
 
Malasusa alishamaliza two terms za uaskofu Mkuu, baada ya mabadiliko ya katiba amegombea tena uaskofu Mkuu; je ana jambo jipya kwa taasisi hii yenye watu zaidi ya milioni nane NCHINI?

Endapo atapata, hakuna uwezekano akaikabidhi taasisi hii kwenye dola kama alivyofanya DSM akiwa mjumbe wa kamati ya amani? Kwanini asikubali kustaafu? Kama katika regime yake aliweza kumpa likizo mchungaji Kimaro, nini tutegemee kwa wachungaji walokole akirejea kwenye nafasi ya juu?

Je, akina Bagonza watabaki salama ndani ya kanisa? Hakuna uwezekano akashirikiana na Askofu wa Tanga ambaye kwa urgument na perception ni mwanamfumo kulifanya kanisa liondoke kwenye malengo yake liwe na mrengo wa kutetea dola?

Hapa ndipo maombi yanahitajika zaidi kuone kesho kabla haijafika
na sasa ameshapata, walutheli mnafanyaje? na kweli si sahihi kurudi mara ya tatu! Mjasilia dini huyo................
 
Kwani kuwa TISS ndiyo nini? hatutaki hata kujua hayo tunataka kanisa lifanye kazi yake, TISS kwamba wanakuwa bright sn ?
Kweli kabisa, hayo ya kuwa TISS sio hoja kwetu. Tatizo ni kuwa watu siku hizi (pengine na hao TISS) wanaona kuwa TISS ni kutenda uovu dhidi ya jamii kwani wao ni above the law, wakati ni shughuli nzuri sana inayotakiwa kujaa uzalendo na kuitumikia nchi yako kwa uaminifu wa juu zaidi. Sasa mkiwa na askofu yuko TISS na kasimamia ukweli hawaoni ni jambo jema mbele za Mungu?
Sisi tuna taka kanisa letu liwe kiungo chetu na Mungu wetu, pia lisiogope kusema uovu wowote unaotendwa na watu au utawala.
 
Anaitwa Alex GEHAZ Malalusa yani hapa ndio shida inapoanzia kwenye hii GEHAZ. Ktk biblia huyu bwana alikuwa chawa wa nabii Elisha na mwenye tamaa nyingi kiasi cha kufanya utapeli kwenye kazi ya kinabii ya Elisha. Alipata ukoma na kupotea vibaya.
Wamefanana kabisa kitabia,huyu ni chawa wa Serikali muda si mrefu migogoro itaanza KKKT.
 
Back
Top Bottom