Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Nadhani umejenga msingi fulani unaochochea udadisi...Yawezekana kuna kikundi kisichoitakia mema nchi, kinataka kuamsha hisia kali na chuki za kidini nchini.
Lakini pamoja na hayo, bado rais anapaswa apingwe kwa namna yoyote ile mpaka aamue kuachana na mawazo ya kuuza nchi kwa waarabu. Asifikiri kuwa sisi tumekubali kuuza urithi wetu milele kama alivyofanya Essau.
Sisi tumeamua kusimama na urithi wetu mpaka tone la mwisho la damu. Akitaka amani basi aelekee visiwani akaviuze atakavyo kwa wanayemtaka.