Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Nimeisoma.Umeisoma sehemu ya instruments of full powers ya Tanzania katika mkataba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeisoma.Umeisoma sehemu ya instruments of full powers ya Tanzania katika mkataba?
Na umeona imekaa sawa kabisa?Nimeisoma.
Wanatazama lakini hawaoniNa umeona imekaa sawa kabisa?
na kule kwa kalamagi!Duh
Kaharufu ka Ugalatia!
Wamanisha nini?Wafia dini.
Kata na mashehe mkuu.Dini tatu???? Naomba nitajie hizo mkuu...I'm waiting keenly!
Hio sina halafu wajanja wakikupa pssd baada ya kikao ijajibadilisha 😎😄 Mkuu nipe ya AICC.
Askofu vipi kesi mbeya leo imeendaje?Sina mengi ya kusema sikiliza hiyo video ya mwanamapinduzi ndio mjue wale wauza bandari za watu walivyoyakanyaga, maskini wee mwafaa.
View attachment 2695165
Na anyoloshwe tu, tabia chafu na za kihuni kwa mwanamke huwa hazifaiSamia kosa ulilolifanya litakugharimu sana..
Umekaribishwa TANGANYIKA unashiriki kuuza nchi
Kesi mbeya mawakili wa serikali mpaka atua ya mwisho ndo walikua wamemaliz a kuwakilisha hoja zao kabla break fupi ambapo by saa 9 na nusu mawakili kwa upande wa wananchi wataendelea mawasilisho, ila tafadhali mimi sio askofu ,mchungaji ,mwalimAskofu vipi kesi mbeya leo imeendaje?