Askofu Maximillian Machumu: Mkataba wa Bandari tunasema HAPANA

Askofu Maximillian Machumu: Mkataba wa Bandari tunasema HAPANA

Sina mengi ya kusema sikiliza hiyo video ya mwanamapinduzi ndio mjue wale wauza bandari za watu walivyoyakanyaga, maskini wee mwafaa.

View attachment 2695165
Kwa kifupi ni kuwa Wananchi wanasema Hapana, hawataki Mkataba huo, hawajaridhia kama vile baadhi ya watu Serikalini na watu wengine wanaounga mkono Mkataba wameridhia na kuukubali.

Amedai, maaskofu, masheik, wanasiasa, wastaafu,wanazuoni,wanasheria, wote wamesema Hapana

Anauliza, Nyie mnao uunga mkono mmetoka wapi? Akiwa ana maanisha wanao unga mkono mkataba kwa nguvu ni Watu wa wapi manake haoni sababu gani nyengine, tena baada ya kuusoma mkataba ule,baada ya manguli wengine wanasheria kusema hapana halafu wewe ukabakia kuunga mkono? Uzalendo wako upo wapi? Au nakosea hapa.

Amewaita watu hao ni wasaliti.

Hii kali kuliko. Ya Utanganyika.
 
Expropriation clause 14{2}
But that is subject to HGAs (which so far we do not have access to) and arbitration, including interpretation of what is fair, prompt and effective compensation. Exactly my point.

Why are you making this a point of comfort while in actual fact it could very well be a clause that is asking for a Shylocking pound on pound of flesh, and blood too?

Given the one sided IGA, how do you know that the HGAs will not be equally one sided?

Let's go with real life examples.

Do you know what happened in Djibouti?

Are you willing to fork out hundred of millions of hard earned US dollars, just for signing a bad contract?
 
But that is subject to HGAs (which so far we do not have access to) and arbitration, including interpretation of what is fair, prompt and effective compensation. Exactly my point.

Why are you making this a point of comfort while in actual fact it could very well be a clause that is asking for a Shylocking pound on pound of flesh, and blood too?

Given the one sided IGA, how do you know that the HGAs will not be equally one sided?

Let's go with real life examples.

Do you know what happened in Djibouti?

Are you willing to fork out hundred of millions of hard earned US dollars, just for signing a bad contract?
Turudi kwenye kiswahili kwa faida ya wengi tupunguze hizi mbwembwe za usomi.

Djibouti waliingia kichwa kichwa kwenye uvunjaji wa mkataba bila ya kwanza kupitia michakato ya ndani kwa ndani ambayo wanasheria wetu wamejenga mazingira ya kukabiliana nayo endapo kutatokea sintofahamu mbele ya safari.

HGAs ni makubaliano ya uwekezaji baina ya wazalendo na hao wawekezaji, hakuna uwezekano ikawa ni ya upande mmoja.

Tupunguze hizi dhana za kutangaliza kushindwa wakati hata biashara hazijaanza kufanyika.
 
Turudi kwenye kiswahili kwa faida ya wengi tupunguze hizi mbwembwe za usomi.

Djibouti waliingia kichwa kichwa kwenye uvunjaji wa mkataba bila ya kwanza kupitia michakato ya ndani kwa ndani ambayo wanasheria wetu wamejenga mazingira ya kukabiliana nayo endapo kutatokea sintofahamu mbele ya safari.

HGAs ni makubaliano ya uwekezaji baina ya wazalendo na hao wawekezaji, hakuna uwezekano ikawa ni ya upande mmoja.

Tupunguze hizi dhana za kutangaliza kushindwa wakati hata biashara hazijaanza kufanyika.
Jamaa wawekuja na mbwembwe za vingereza kana kwamba jf ya vilaza kama fb ,ila mbona na vingereza vyao mbona hawakuona mkataba wa dp world ni takataka kwa vingereza vyao ,ndo maana Mbunge Msukuma anayatukanaga na kuonesha wasomi wote ni takataka
 
Haters Wa Mama Hatarini Kujifungua Kabla ya Wakati!!

Haiyumkini hali si shwari tena kwao; kila sekunde, kila dakika, kila wiki......yaani 24/7 ni habari za maendeleo tu nchini hapa.

Ukienda kule unakuta wananchi wanachekelea barabara; ukija huku unawakuta wanachekelea maji.

Ukienda kuleee wanachekelea afya; ukizunguka huko wanachekelea mashule.

Ukienda kuleeeeeee wanachekelea vyote; ukikimbilia hukoo wanachekelea madaraja.

Ukienda kuuleeeeeeee wanachekelea uhuishaji wa bandari zao ndogo za uvuvi, ukirudi hapa unakutana na vicheko vya ufikaji wa mapema wa pembejeo.

Ukienda kuuuleeeeeeeee unawakuta wanachekelea bei nzuri ya ufuta, ukirudia kule tena unawakuta wanachekea bei nzuri ya korosho na mipango mizuri ya BBT.

........hali ipo hivyo kila unakozunguka; IMANI kubwa kwa mama!!

Haters hawapendi, hawaridhiki, hawatamani!

Kwanini sasa hawa haters watajifungua kabla ya wakati?

Kwa mujibu wa Dr Janabi, hisia hasi (evil thinking) husababisha misuli ya mfuko wa uzazi kulegea na hivyo kuruhusu kilicho ndani kutoka. Anaendelea kusema Dr kuwa hata mwanaume akiwa hater asiyejielewa nae anaweza tu kupata mimba na kukabiliwa na the same case.....

Tuwaombee hawa haters......hawajui walitendalo!!
 
Turudi kwenye kiswahili kwa faida ya wengi tupunguze hizi mbwembwe za usomi.

Djibouti waliingia kichwa kichwa kwenye uvunjaji wa mkataba bila ya kwanza kupitia michakato ya ndani kwa ndani ambayo wanasheria wetu wamejenga mazingira ya kukabiliana nayo endapo kutatokea sintofahamu mbele ya safari.

HGAs ni makubaliano ya uwekezaji baina ya wazalendo na hao wawekezaji, hakuna uwezekano ikawa ni ya upande mmoja.

Tupunguze hizi dhana za kutangaliza kushindwa wakati hata biashara hazijaanza kufanyika.
Kwa hivyo unafikiri utamuomba DPW uvunje mkataba halafu akubali? Bila ya kukutoa ratili ya nyama na damu?

HGAs umeziona?

IGA imeshaonesha tumeshindwa hata kabla biashara haijaanza, imeegemea upande mmoja tu, what are you talking about?

Wewe huelewi kwamba kutoa bandari zote kwa DPW ni a single point of failure?
 
Kwa hivyo unafikiri utamuomba DPW uvunje mkataba halafu akubali? Bila ya kukutoa ratili ya nyama na damu?

HGAs umeziona?

IGA imeshaonesha tumeshindwa hata kabla biashara haijaanza, imeegemea upande mmoja tu, what are you talking about?

Wewe huelewi kwamba kutoa bandari zote kwa DPW ni a single point of failure?
Kushindwa hata kabla hatujaanza biashara ni mawazo mengi ya kitanzania ambayo yanasikika kila mahali.

Mtu hatafuti uelewa anatanguliza mawazo tena mengine ni ya masuala ya mababu zetu.

Mtu ana nongwa ya kutawaliwa na mwarabu anataka aimalizie kuwakataa DPW, hajui kwamba kuna tofauti ya mwarabu yule aliyekuja na kutufunga minyororo shingoni na huyu wa sasa mwenye uwekezaji kila kona ya dunia.

Hakuna anayetoa bandari zote, ni 8% tu ya eneo la bandari inayochukuliwa na mwekezaji. Ukiacha hii maana nzima hasi ambayo tunaupatia huu uwekezaji ukweli ni kwamba katika suala la eneo anachukua sehemu ndogo sana ya bandari.

Analeta ufanisi bandarini, huu upigaji unaoweka foleni za meli kule baharini, wote unakwenda kuondoka.

Hawa wapiga kelele mitandaoni hawajui hata bandari inafanya vipi kazi zake!.
 
Kushindwa hata kabla hatujaanza biashara ni mawazo mengi ya kitanzania ambayo yanasikika kila mahali.

Mtu hatafuti uelewa anatanguliza mawazo tena mengine ni ya masuala ya mababu zetu.

Mtu ana nongwa ya kutawaliwa na mwarabu anataka aimalizie kuwakataa DPW, hajui kwamba kuna tofauti ya mwarabu yule aliyekuja na kutufunga minyororo shingoni na huyu wa sasa mwenye uwekezaji kila kona ya dunia.

Hakuna anayetoa bandari zote, ni 8% tu ya eneo la bandari inayochukuliwa na mwekezaji. Ukiacha hii maana nzima hasi ambayo tunaupatia huu uwekezaji ukweli ni kwamba katika suala la eneo anachukua sehemu ndogo sana ya bandari.

Analeta ufanisi bandarini, huu upigaji unaoweka foleni za meli kule baharini, wote unakwenda kuondoka.

Hawa wapiga kelele mitandaoni hawajui hata bandari inafanya vipi kazi zake!.

Unaelewa kwamba DPW ana no compete clause inayompa monopoly/ first dibs katika miradi yote ya bandari?

Kwa nini IGA imeharakishwa bungeni kupitishwa haraka kabla ya mjadala mpana wa wananchi?

Sasa IGA umeshapitishwa bungeni, watu wametoa maoni baada ya IGA kupitishwa bungeni, TLS wametoa review nzuri tu, serikali inasema itasikikiza maoni ya wananchi, itayasikiliza na kufanya nini wakati IGA ishapitishwa na bunge?

Serikali itabadili IGA na kuliambia bunge libatilishe ratificatiin ya awali na kufanya ratification mpya?

Bunge litaruhusu kufuta ratification ya awali ili ku ratify upya?

DPW atakubali IGA ifanyiwe ratification upya bila ku trigger arbitration clause?

Au serikali inawalaghai wananchi kwamba maoni yao yatasikilizwa wakati IGA haitabadikishwa?

Kwa nini mikataba inaingiwa kwa siri kubwa wakati wananchi wananhakinyabkikatiba ya kujua nchibyao inabyoendeshwa na mpakan World Bank wanahimiza uwazi katika mikataba ili kupiga vita rushwa?

Kwa nini hakukuwa na tenda ya wazi ya kushindanisha makampuni mengi?

Wewe ungekuwa rais ungesaini IGA ya kuondoa incumbency ya rais kwenye mamlaka kuhusu ardhi ya Tanzania kwenye mkataba huu? Huoni mkataba unavunja sovereignty yetu?

Unaamini mkataba wa kijinga kabisa kama huu umeingiwa bila rushwa?
 
Kwa nini IGA imeharakishwa bungeni? Kwa nini hakukuwa na tenda ya wazi ya kushindanisha makampuni mengi?

Wewe ungekuwa rais ungesaini IGA ya kuondoa incumbency ya rais kwenye mamlaka kuhusu ardhi ya Tanzania kwenye mkataba huu? Huoni mkataba unavunja sovereignty yetu?

Unaamini mkataba wa kijinga kabisa kama huu umeingiwa bila rushwa?
IGA haijaharakishwa bungeni, walianza michakato tangu february 2022 leo ni July 2023.

Hakuna anayeondoa mamlaka ya rais, kaka Kiranga na wewe ni mmojawapo wa waliongizwa chaka kwenye suala zima la kuelewa kilichoandikwa kwenye mkataba.

Kisheria WILL ni tofauti kabisa na SHALL au MAY, ukisoma haraka haraka bila kutazama hayo maneno utajikuta unashindwa kuelewa maana iliyokusudiwa katika kifungu husika.

Sio mkataba wa kijinga, umesainiwa kwa usimamizi wa Daktari wa sheria akishirikiana na mtaalam wa masuala ya mikataba ya kimataifa.. Kuza uelewa wako kabla hujauita mkataba wa kijinga.
 
IGA haijaharakishwa bungeni, walianza michakato tangu february 2022 leo ni July 2023.

Hakuna anayeondoa mamlaka ya rais, kaka Kiranga na wewe ni mmojawapo wa waliongizwa chaka kwenye suala zima la kuelewa kilichoandikwa kwenye mkataba.

Kisheria WILL ni tofauti kabisa na SHALL au MAY, ukisoma haraka haraka bila kutazama hayo maneno utajikuta unashindwa kuelewa maana iliyokusudiwa katika kifungu husika.

Sio mkataba wa kijinga, umesainiwa kwa usimamizi wa Daktari wa sheria akishirikiana na mtaalam wa masuala ya mikataba ya kimataifa.. Kuza uelewa wako kabla hujauita mkataba wa kijinga.

IGA yenyewe imejulikana kwa kuvuja. Kwa nini?

Kwa nini hakukuwa na tenda ya wazi ya kushindanisha makampuni?

Kwa nini serikali haijaitoa IGA ijadiliwe kwa mapana na wananchi?

Huo mkataba ambao Samia kampa instruments of full powers Mbarawa kuwakilisha serikali ya Tanzania na pia serikali ya Dubai ndio unauita si wa kijinga?

Yule Samia huwa hata anasoma anachosaini?

Umeisoma instruments of full powers ya Tanzania kwenye huo mkataba?

Yule Samia anajua kusoma Kiingereza au anasaini tu?
 
Tumekubaliana humu, ukiweka video toa na maelezo ya kile kilichomo au kinachoongelewa kwa muhtasari.
Ulikubaliana na nani,acha uvivu,sema sina uhakika na jinsia yako ila nilitaka nikupe msaada kulingana na jins yako
 
OK sawa ila icho kikao tulikaa lini? Isiwe shida ,
Mwanamapinduzi ni askofu na ameamua toa msimamo wake kwenye swala la bandari, kwa kusema hapana, na ni baada yakuwarejea watu mhimu katika taifa , akiwemo na dr Slaa, Mbowe, askofu mkuu wa kkt, katibu mkuu wa baraza la maaskofu, Mzee Wariba , wanasheria nguli ndani ya nchi, wakisema mkataba huu hapana
Video yajieleza ,

Mwisho anasema hayupo tiyari mali za wajukuu zake na vitukuu chezewa
Wafia dini.
 
IGA yenyewe imejulikana kwa kuvuja. Kwa nini?

Kwa nini hakukuwa na tenda ya wazi ya kushindanisha makampuni?

Kwa nini serikali haijaitoa IGA ijadiliwe kwa mapana na wananchi?

Huo mkataba ambao Samia kampa instruments of full powers Mbarawa kuwakilisha serikali ya Tanzania na pia serikali ya Dubai ndio unauita si wa kijinga?

Yule Samia huwa hata anasoma anachosaini?

Umeisoma instruments of full powers ya Tanzania kwenye huo mkataba?

Yule Samia anajua kusoma Kiingereza au anasaini tu?
Magufuli na Kikwete pia walikasimu madaraka yao kwa wasaidizi wao, Samia sio wa kwanza kufanya hivyo.

Siwezi kusema IGA ilivuja au la, sina taarifa rasmi.

Mwezi mzima suala limekuwa likijadiliwa, watu wanaelewesha kwa kina kilichoandikwa kwenye mkataba bado wanakuja na mawazo mengi ya kushindwa kabla hata biashara haijaanza kufanyika!.

Kwanini Samia asisome anachosaini?. Rais ni Samia lakini urais ni taasisi pana sana.

Na tukumbuke kuwa Samia hakutaka kubadilisha team nzima ya wasaidizi alipoingia ikulu, kaamua kuendelea na wale wale waliojua JPM aliishia wapi.
 
Magufuli na Kikwete pia walikasimu madaraka yao kwa wasaidizi wao, Samia sio wa kwanza kufanya hivyo.

Siwezi kusema IGA ilivuja au la, sina taarifa rasmi.

Mwezi mzima suala limekuwa likijadiliwa, watu wanaelewesha kwa kina kilichoandikwa kwenye mkataba bado wanakuja na mawazo mengi ya kushindwa kabla hata biashara haijaanza kufanyika!.

Kwanini Samia asisome anachosaini?. Rais ni Samia lakini urais ni taasisi pana sana.

Na tukumbuke kuwa Samia hakutaka kubadilisha team nzima ya wasaidizi alipoingia ikulu, kaamua kuendelea na wale wale waliojua JPM aliishia wapi.
Umeisoma sehemu ya instruments of full powers ya Tanzania katika mkataba?
 
Back
Top Bottom