Askofu Maximillian Machumu: Mkataba wa Bandari tunasema HAPANA

Askofu Maximillian Machumu: Mkataba wa Bandari tunasema HAPANA

Wasingekuwa na jeuri ya kupinga suala nyeti na lenye utaifa kama hili la uwekezaji wa bandari.
Hao maaskofu walikuwa mstari wa mbele kumkosoa kwwnye masuala mengi likiwemo la COVID-19
Kuna dhana potofu ya ubaguzi ya uarabu wa watu wa Dubai, hii nyuma yake kuna masuala ya uislam.
Hakuna kitu kama hicho. Masuala ya Uisilamu ni ya Uisilamu, Waarabu ni ya Waarabu tu kama walivyo Waafrika. Tatizo hapa ni Udhalimu walioufanya Waarabu, udhalimu wanayo yafanya waarabi dhidi ya Mwafrika popote pale alipo. Ni mnyanyapaa. Ana damu nyingi sana mikononi mwake dhidi ya Mwafrika na hili haliwezi kusahahulika kamwe
Waarabu ni wabaguzi period. Sasa usibadilishe kete hapa kuwa Waafrika ndio wanambagua Mwarabu. Hapana. Na ukirudi kwenye suala hili la bandari, watu washasema Mkataba ni Mbovu period! hayo mengine ni hoja za kipumbavu tu. Hapingwi Raisi Samia haipingwi dini ya Kiisilamu. Mkataba ni Mbovu! Sasa hizi nyodo zingine ndizo Watanzania wanafikia sehemu wanasema basi, hata huyo mwarabu hatumtaki.
 
Hao maaskofu walikuwa mstari wa mbele kumkosoa kwwnye masuala mengi likiwemo la COVID-19

Hakuna kitu kama hicho. Maauala ya Uisilamu ni ya Uisilamu, Waarabu ni Waarabu tu kama walivyo Waafrika. Tatizo hapa ni Udhalimu walifanya Waarabu, udhalimu wanayafanya waarabi dhidi ya Mwafrika popote pale alipo. Ni mnyanyapaa. Ana damu nyingi sana mikononi mwake dhidi ya Mwafrika na hili haliwezi kusahahulika kamwe
Waarabu ni wabaguzi period. Sasa usibadilishe kete hapa kuwa Waafrika ndio wanambagua Mwarabu. Hapana. Na ukirudi kwenye suala hili la bandari, watu washasema Mkataba ni Mbovu period! hayo mengine ni hoja za kipumbavu tu. Hapingwi Raisi Samia haipingwi dini ya Kiisilamu. Mkataba ni Mbovu!
Mkataba huo huo wa bandari unakwenda kutumika kuiendeleza. Hata utumie maneno gani huyo askofu anatumia kete haramu ya ubaguzi inayoweza huko mbeleni kumgeuka.

Huyo mwarabu mwenye damu nyingi na udhalimu anamiliki bandari Uingereza, Marekani na China. Kote huko hawana kinyongo nae ila sisi huku watu weusi ndio tuna haki ya kuishi na visasi na kutosamehe!!.
 
jibu swali mkataba wamesaini dp au dubai goverment? Pia jibu pale kwenye sahihi tupu bila jina wala cheo ndio waziri wa dubai kasaini?
Mkataba unakwenda kutumika hapa TPA, yaani mchezo umekwisha tayari, haijalishi pale kuna saini ya nani mkuu kitansa.

Inakwenda kuandikwa mikataba ya biashara, watu hawataki kupoteza fursa ya kuongeza pato hapo bandarini.
 
Mkataba huo huo wa bandari unakwenda kutumika kuiendeleza. Hata utumie maneno gani huyo askofu anatumia kete haramu ya ubaguzi inayoweza huko mbeleni kumgeuka.

Huyo mwarabu mwenye damu nyingi na udhalimu anamiliki bandari Uingereza, Marekani na China. Kote huko hawana kinyongo nae ila sisi huku watu weusi ndio tuna haki ya kuishi na visasi na kutosamehe!!.
Kwahiyo? akiwa anafanya biashara na wadhalimu wenzake(anawekeza kwao) ndio ina maana amesafishika?

Tuna haki ya kukataa Uwekezaji na Mikataba mibovu.

.....Hivi kuna Mwanadamu mwenye hulka ya visasi zaidi ya Mwarabu? Wacha Joel, wacha.
Tunayo haki ya kusema Yes or No, kwa mkataba huu ni No.
 
Kwahiyo? akiwa anafanya biashara na wadhalimu wenzake(anawekeza kwao) ndio ina maana amesafishika?

Tuna haki ya kukataa Uwekezaji na Mikataba mibovu.

.....Hivi kuna Mwanadamu mwenye hulka ya visasi zaidi ya Mwarabu? Wacha Joel, wacha.
Tunayo haki ya kusema Yes or No, kwa mkataba huu ni No.
Hakuna msafi duniani hapa. Ujerumani imeua Wanamibia zaidi ya milioni moja lakini leo Namibia wamejaa wajerumani.

Kutunza visasi na hasira ni sifa ya maskini wa akili. Mkataba huu unaendelea hatua zinazofuata bila ya kuijali No yako au yangu.
 
Ccm jitafakarini sana hili jambo halihitaji nguvu kubwa kushawishi wananchi wawaelewe!

Ni kuachana nalo tu ndo wananchi watawaelewa nje hapo, ni msiba huko mbele ya safari

Let’s wait!
 
Ndugu zangu jf mbona kama mwahujum uzi huu tafadhali utendeneni haki,nami kama member nitendeeni haki please jf
 
Mkataba unakwenda kutumika hapa TPA, yaani mchezo umekwisha tayari, haijalishi pale kuna saini ya nani mkuu kitansa.

Inakwenda kuandikwa mikataba ya biashara, watu hawataki kupoteza fursa ya kuongeza pato hapo bandarini.
mkiambiwa mkataba wa kichizi mnaona watu wabaya. Ujibu maswali yangu unaniletea propaganda za kidwanzi
 
Mkataba huo huo wa bandari unakwenda kutumika kuiendeleza. Hata utumie maneno gani huyo askofu anatumia kete haramu ya ubaguzi inayoweza huko mbeleni kumgeuka.

Huyo mwarabu mwenye damu nyingi na udhalimu anamiliki bandari Uingereza, Marekani na China. Kote huko hawana kinyongo nae ila sisi huku watu weusi ndio tuna haki ya kuishi na visasi na kutosamehe!!.
Utetezi usio na ushahidi hauna mashiko na maana. Tuwekee hiyo mikataba ya dpw na nchi ulizozitqja tuiilinganishe na huu wa Tanzania. Vinginevyo kaa kwa kutulia.
 
Utetezi usio na ushahidi hauna mashiko na maana. Tuwekee hiyo mikataba ya dpw na nchi ulizozitqja tuiilinganishe na huu wa Tanzania. Vinginevyo kaa kwa kutulia.
Sio wew ndio utulize kipele
 
Na wewe uwe unawaza kia kili zaidi sio kimavi mavi
Ushavimba tayari! Pigo moja tu limekutoa nundu ya ubongo! Kati yetu Nani anayewaza kimasaburi? Dogo, unanitakia ban ya maisha hapa nikikujbu kwa kadri ya umasaburi wako na hivi usivyojua matumizi ya forum hii nakusamehe.
Unalike Kisha unakosoa hoja, huna akili juha wewe! Anyway, karibu jf.
 
Back
Top Bottom