Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Taja kifungu uelimishwe kuhusu mkataba, hayo matusi hata kwenye kanga yapo.Hii akili ni tope full stop.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taja kifungu uelimishwe kuhusu mkataba, hayo matusi hata kwenye kanga yapo.Hii akili ni tope full stop.
Yule mjinga alijichanganya, kaenda katika mkutano usiomhusu na suti yake masikini.Mbona mnajibu utopolo na kupiga watu mitama acheni uhuni
naomba nieleweshe sehemu za kusaini (sahihi) za pande zote ,Uhuni mnauleta nyinyi wenye hoja eti mkataba mbovu, mnaambiwa tajeni kifungu muelimishwe mnaishia kuongea vitu visivyoeleweka.
Sasa jukwaa langu pendwa jf owners wanazinguaSina mengi ya kusema sikiliza hiyo video ya mwanamapinduzi ndio mjue wale wauza bandari za watu walivyoyakanyaga, maskini wee mwafaa.
View attachment 2695165
Wacha upotoshajiAkili za kipumbavu sana hizi mkuu byeyombo. Chuki dhidi ya uislam imejificha nyuma ya mawazo ya kumkataa mwekezaji.
Wale wenye akili zenye kufanana na taa ya baiskeli wanatekwa jumla jumla huko makanisani. Nina uhakika hayati JPM angesaini huu huu mkataba wa DP na hakuna ambaye angeweza kufungua mdomo wake.
Yeye ndiye aliyejenga reli kutoka Rwanda mpaka bandarini kwa trilioni 17 ni lazima angeshalimaliza hili suala.
Na mafisadi kina Karamaji na Tibaijuka huko walipo wanacheza ngoma za kihaya kwa nguvu nyingi, ni vita ya kiuchumi l
Huwa mnaambiwa mtaje vipengele vipi ili muelimishwe, mnakaa kimya na kueneza chuki za kipuuzi..
Vipengele vikishawekwa sawa mtakuja na sababu nyingine. Inasikitisha kuona maaskofu na wao wanashikiwa akili na wapigaji wa bandarini, so sad.
Mnauza bandari na kuwapiga mitama wenye nchi yao laana zimeanza sasaYule mjinga alijichanganya, kaenda katika mkutano usiomhusu na suti yake masikini.
Hamza Johari, Dr Possi na wasomi wengi wenye kufanya biashara za bandarini wapo tayari kwa huu uwekezaji.
Huko Mtwara hata kesho wanazitaka connections za mwekezaji wauze korosho yao, wenye kufanya biashara ambao ndio wenye kuushikilia uchumi wa Tanzania wapo tayari muda wowote kumpokea mwekezaji.
Hawa wapiga kelele za harakati, hawana hata biashara ya kuagiza viwembe huko nje, hawana hata kontena moja la kusafirisha matikiti kuyapeleka huko ughaibuni lakini wao ndio wanaopiga makelele mengi humu jamvini.
Hawezi kukujibu huyo spinning Doctor. Subiria maneno mengi tu.naomba nieleweshe sehemu za kusaini (sahihi) za pande zote ,
Baba Askofu atakuwa hajapewa taarifa sahihi. Naamini muda siyo mrefu atasema NDIYOSina mengi ya kusema sikiliza hiyo video ya mwanamapinduzi ndio mjue wale wauza bandari za watu walivyoyakanyaga, maskini wee mwafaa.
View attachment 2695165
Naongezea tu; Serikali makini ingefanya kutoa elimu mwanzoni baada ya kutoka Dubai expo, badala yake, wamerudi wakakaa kimya(kwa aibu) kwa waliyoyafanya Wamekerupushwa sasa ndio wanajidai wanatoa elimu, na kama ulivyosema, wanapoteza fedha za umma zaidi! Wanafanya haya kinyume nyume.Serikali sikivu inabidi iteme ndoano ,hakuna cha kufuja pesa kuzunguka TZ nzima kutoa elimu ya DPW ,
Hoja zao za mauzo ya tija nazo ni hafifutatizo siyo manufaa au faida za DPW ,tatizo ni mkataba mbovu wa kimangungo.
100%"Ma-far-ler wamesaini mikataba ya kibwege na kijinga huku wakiwa na wataalam wao" - Lusekelo
Kila mwenye akili akasoma ule mkataba kwa kutulia hawezi kukubali Mkataba ule.Sina mengi ya kusema sikiliza hiyo video ya mwanamapinduzi ndio mjue wale wauza bandari za watu walivyoyakanyaga, maskini wee mwafaa.
View attachment 2695165
Wewe ndio una udini na unawaza udini kila kitu unaona udini tu.Kumbe tupinge kwasababu ya udini!!
Ila shangaa mkuu mwana ccm wanaulewa vizuri akiwemo na Tulia ambae ni mwanasheria ,ccm ni janga la taifaKila mwenye akili akasoma ule mkataba kwa kutulia hawezi kukubali Mkataba ule.
Tulia ni janga jipya kwaoweli.Ila shangaa mkuu mwana ccm wanaulewa vizuri akiwemo na Tulia ambae ni mwanasheria ,ccm ni janga la taifa
Walikaa kimya kwa sababu wanajua.Naongezea tu; Serikali makini ingefanya kutoa elimu mwanzoni baada ya kutoka Dubai expo, badala yake, wamerudi wakakaa kimya(kwa aibu) kwa waliyoyafanya Wamekerupushwa sasa ndio wanajidai wanatoa elimu, na kama ulivyosema, wanapoteza fedha za umma zaidi! Wanafanya haya kinyume nyume.
Hoja zao za mauzo ya tija nazo ni hafifu
100%
Waislamu wako Iran, Palestine na AfghanistanTanzania tunaficha agenda ya udini kwenye hoja ya kupinga huu uwekezaji. Tunajifanya kama vile tuna mashaka na kinachotarajiwa kufanyika, hakuna mashaka yoyote ni ubinafsi na unafiki wenye udini ndani yake!.
Tunachosahau ni kwamba mikoa hii yote ya mashariki imejaa waislam, Mtwara, Lindi, Pwani, Dar na Tanga pote humo kuna waislam wengi sana.
Ni moja ya wahuni aliowataja polepoleTulia ni janga jipya kwaoweli.