Askofu Maximillian Machumu: Mkataba wa Bandari tunasema HAPANA

Askofu Maximillian Machumu: Mkataba wa Bandari tunasema HAPANA

Akili za kipumbavu sana hizi mkuu byeyombo. Chuki dhidi ya uislam imejificha nyuma ya mawazo ya kumkataa mwekezaji.

Wale wenye akili zenye kufanana na taa ya baiskeli wanatekwa jumla jumla huko makanisani. Nina uhakika hayati JPM angesaini huu huu mkataba wa DP na hakuna ambaye angeweza kufungua mdomo wake.

Yeye ndiye aliyejenga reli kutoka Rwanda mpaka bandarini kwa trilioni 17 ni lazima angeshalimaliza hili suala.

Na mafisadi kina Karamaji na Tibaijuka huko walipo wanacheza ngoma za kihaya kwa nguvu nyingi, ni vita ya kiuchumi l

Huwa mnaambiwa mtaje vipengele vipi ili muelimishwe, mnakaa kimya na kueneza chuki za kipuuzi..

Vipengele vikishawekwa sawa mtakuja na sababu nyingine. Inasikitisha kuona maaskofu na wao wanashikiwa akili na wapigaji wa bandarini, so sad.
MKATABA HAUNA KIKOMO????
 
Mimi ni mkristo kama huyo Askofu lakini sina mawazo wala akili za kibaguzi na zakipumbavu kama za kwenye hiyo video.

Mtu wa kawaida ni rahisi sana kumteka akili kwa kuwa na mawazo ya jumla jumla kama ya huyo askofu lakini mtu mwenye akili za kisasa zenye kuchambua mambo kwa kina hana muda kabisa na sera za kibaguzi.

JPM angekuwa hai mpaka muda huu hili suala la DPW lingeshamalizika kitambo, wala hakuna askofu angeweza kuanzisha maneno kama huyu. Tatizo Samia ni mzenji inakuwa rahisi kumchukia kwa jinsia yake na kwa dini yake.

Hayati Magufuli angepitisha mkataba muda mrefu sana uliopita na hakuna ambaye angekuja na sera za uarabu wa mwekezaji.

Rwanda na Congo ambapo wameshasaini mikataba, hawajui kama huo ni mwarabu?. Hii ni vita ya kiuchumi lakini kibaya zaidi hapa TZ inatugawa kwa misingi ya udini wa kipumbavu sana.
Amefanya ubaguzi upi,acha uhuni, mmeyakayaga, mwamba kawakilisha hoja kiutulivu sana, kama hujamwelewa jua mwarabu amefanya yake kwako
 
MKATABA HAUNA KIKOMO????
Project contracts zina ukomo, pia zina financials. Mikataba ya kibiashara inajumuisha pande mbili zinazoongea kwa kina.

Tatizo la wengi wetu nchi hii ni uelewa kuwa mdogo kama huyu Akosfu Maximilian, halafu mtu hajui kama ana uelewa mdogo anaishia kuwa msambazaji wa chuki kwa wajinga wenzake wengi tu.
 
Yaani wapingaji wa mkataba huu kwa sehemu kubwa ni wagalatia. Hata mkutano wa kesho watakaohutubia ni wagalatia.
Kwa hili mnatia mashaka ikiwa issue ni mkataba tu...
Huna akili, la
Mimi ni mkristo kama huyo Askofu lakini sina mawazo wala akili za kibaguzi na zakipumbavu kama za kwenye hiyo video.

Mtu wa kawaida ni rahisi sana kumteka akili kwa kuwa na mawazo ya jumla jumla kama ya huyo askofu lakini mtu mwenye akili za kisasa zenye kuchambua mambo kwa kina hana muda kabisa na sera za kibaguzi.

JPM angekuwa hai mpaka muda huu hili suala la DPW lingeshamalizika kitambo, wala hakuna askofu angeweza kuanzisha maneno kama huyu. Tatizo Samia ni mzenji inakuwa rahisi kumchukia kwa jinsia yake na kwa dini yake.

Hayati Magufuli angepitisha mkataba muda mrefu sana uliopita na hakuna ambaye angekuja na sera za uarabu wa mwekezaji.

Rwanda na Congo ambapo wameshasaini mikataba, hawajui kama huo ni mwarabu?. Hii ni vita ya kiuchumi lakini kibaya zaidi hapa TZ inatugawa kwa misingi ya udini wa kipumbavu sana.
Ujinga tu , zile ni nchi na mamlaka kamili, Tz ,Congo n.k ni vitu viwili tofauti , achana na bandari za watu ,mwafaa
 
Project contracts zina ukomo, pia zina financials. Mikataba ya kibiashara inajumuisha pande mbili zinazoongea kwa kina.

Tatizo la wengi wetu nchi hii ni uelewa kuwa mdogo kama huyu Akosfu Maximilian, halafu mtu hajui kama ana uelewa mdogo anaishia kuwa msambazaji wa chuki kwa wajinga wenzake wengi tu.
Mkataba uliovujaa haukuwa na kikomooo tena website ya bunge ilijichanganya kuupost ilidhani inaweka uwazi kwenye hili jambo kumbe inaweka wazi MADUDU yaliyopo kwenye mkataba...!! leo unaona kama watanzania wana udini ila kesho mambo yakianza kwenda ovyoo na hakuna room ya kuvunja wala kurekebisha mkataba wa ovyooo ndo mtaelewa upumbavu mnaotetea yani hili tatizo la bandari kushindwa kuperform limetatuliwa kihunii na kishortcut sanaa ni sawa na ukiwa huna hela ukope kausha damu kwa riba kubwa utasolve tatizo kwa muda tu.
 
Watu kama hawa ni hatari sana kwenye jamii hata rwanda mwaka 1994 mauaji yalichochewa na watu wa aina hii. Hizi siyo kauli za kuchekewa hata kidogo.
 
Kwani mkataba watu walipata nafasi ya kuupitia na kutoa maoni yao serikalini kabla haujapitishwa kwa haraka bungeni?

Mkataba wenyewe umepatikana kwa kuvuja.

What are you talking about?
What Iam talking is rudisha bandari za wenye nchi , mwaafa ,ichi ni kiama kwa ccm na serikali ya uyu mama
 
Mkataba uliovujaa haukuwa na kikomooo tena website ya bunge ilijichanganya kuupost ilidhani inaweka uwazi kwenye hili jambo kumbe inaweka wazi MADUDU yaliyopo kwenye mkataba...!! leo unaona kama watanzania wana udini ila kesho mambo yakianza kwenda ovyoo na hakuna room ya kuvunja wala kurekebisha mkataba wa ovyooo ndo mtaelewa upumbavu mnaotetea yani hili tatizo la bandari kushindwa kuperform limetatuliwa kihunii na kishortcut sanaa ni sawa na ukiwa huna hela ukope kausha damu kwa riba kubwa utasolve tatizo kwa muda tu.
Mkuu umejibu vizuri kwa uyu akili matope , waufute hakuna namna , mwafaaa alisema mwenda zake
 
Umekuwa mtihani kweli kweli, uwezekano wa maza house kupata sifuri enzi zetu tuliita yenye masikio ni mkubwa kwelikweli
 
Huna akili, la

Ujinga tu , zile ni nchi na mamlaka kamili, Tz ,Congo n.k ni vitu viwili tofauti , achana na bandari za watu ,mwafaa
Tanzania tunaficha agenda ya udini kwenye hoja ya kupinga huu uwekezaji. Tunajifanya kama vile tuna mashaka na kinachotarajiwa kufanyika, hakuna mashaka yoyote ni ubinafsi na unafiki wenye udini ndani yake!.

Tunachosahau ni kwamba mikoa hii yote ya mashariki imejaa waislam, Mtwara, Lindi, Pwani, Dar na Tanga pote humo kuna waislam wengi sana.
 
Mkataba uliovujaa haukuwa na kikomooo tena website ya bunge ilijichanganya kuupost ilidhani inaweka uwazi kwenye hili jambo kumbe inaweka wazi MADUDU yaliyopo kwenye mkataba...!! leo unaona kama watanzania wana udini ila kesho mambo yakianza kwenda ovyoo na hakuna room ya kuvunja wala kurekebisha mkataba wa ovyooo ndo mtaelewa upumbavu mnaotetea yani hili tatizo la bandari kushindwa kuperform limetatuliwa kihunii na kishortcut sanaa ni sawa na ukiwa huna hela ukope kausha damu kwa riba kubwa utasolve tatizo kwa muda tu.
Room ya kuvunja imo kwenye mkataba huo huo soma kifungu namba 20. Kaka usidhani wanasheria wetu ni vilaza kama tunavyowachukulia.

Kila kitu kimo kwenye mkataba huu huu tunaosema eti ni mbaya, ni lugha yenye roho mbaya ndani yake. Ni lugha inayowapendeza mafisadi wachache pale bandarini wanaofaidika na foleni za meli na upigaji wote haramu unaoendelea.
 
Tanzania tunaficha agenda ya udini kwenye hoja ya kupinga huu uwekezaji. Tunajifanya kama vile tuna mashaka na kinachotarajiwa kufanyika, hakuna mashaka yoyote ni ubinafsi na unafiki wenye udini ndani yake!.

Tunachosahau ni kwamba mikoa hii yote ya mashariki imejaa waislam, Mtwara, Lindi, Pwani, Dar na Tanga pote humo kuna waislam wengi sana.
We muhuni tu,alisema ndugu Polepole, apa udini upo wapi ,swala sio huekezaji swala ni mkataba wa kihuni, acha upumbavu , shauri yako utakuja kufa mdomo wazi
 
Room ya kuvunja imo kwenye mkataba huo huo soma kifungu namba 20. Kaka usidhani wanasheria wetu ni vilaza kama tunavyowachukulia.

Kila kitu kimo kwenye mkataba huu huu tunaosema eti ni mbaya, ni lugha yenye roho mbaya ndani yake. Ni lugha inayowapendeza mafisadi wachache pale bandarini wanaofaidika na foleni za meli na upigaji wote haramu unaoendelea.
mwanasheria gani umemsikia akisupport huu utopolo??
 
Jamii forum mnatukosea sana , kama sio nikosea sana why mnatunga mambo yenu nje ya kile mtoa mada ameleta ?

Binafsi kichwa habari kilisema amkeni mambo moto , mwanamapinduzi asema hapana , why mnabadilisha kichwa cha habari ,hii sio sawa na ni mara ya pili mnanifanyia hivi
 
mwanasheria gani umemsikia akisupport huu utopolo??
Hamza Johari, Dr Possi na wasomi wengi wenye kufanya biashara za bandarini wapo tayari kwa huu uwekezaji.

Huko Mtwara hata kesho wanazitaka connections za mwekezaji wauze korosho yao, wenye kufanya biashara ambao ndio wenye kuushikilia uchumi wa Tanzania wapo tayari muda wowote kumpokea mwekezaji.

Hawa wapiga kelele za harakati, hawana hata biashara ya kuagiza viwembe huko nje, hawana hata kontena moja la kusafirisha matikiti kuyapeleka huko ughaibuni lakini wao ndio wanaopiga makelele mengi humu jamvini.
 
Back
Top Bottom