Askofu Maximillian Machumu: Mkataba wa Bandari tunasema HAPANA

Askofu Maximillian Machumu: Mkataba wa Bandari tunasema HAPANA

Yuko sawa 100%! Rais Samia amekosea sana, wakati anawafuata hao Waarabu alimshirikisha nani?
Ukitaka kujua nia ovu kwenye huo mkataba, ni kwamba inakuwaje jambo kubwa kama hilo Rais Samia na ka kikundi ka watu wachache wasaini mkataba kama huo tena ughaibuni!
Baba Mchungaji tunakuunga mkono kwa kusema HAPANA!
 
Umesikiliza video au umeamka usingizini na kutoa comment. Dini zote hapo zimetajwa mpaka Ustaz Mkuu nae kasema HAPANA! Wewe ni nani mpaka unaropoka vitu vya ajabu. Na mimi ni mfuasi wa Ustaz Mkuu na mimi nasema HAPANA, HAPANA, HAPANA, HAPANA X1,000,000,000,000,000,000,000,000,000,000,000,000,000.
Ustaz mkuu yupo kwenye video?
 
fal·la·cy

/ˈfaləsē/



noun

a mistaken belief, especially one based on unsound argument.

"the notion that the camera never lies is a fallacy"

Similar:

misconception

mistaken belief

misbelief

delusion

false notion

mistaken impression

misapprehension

misjudgment

miscalculation

misinterpretation

misconstruction

error

mistake

untruth

inconsistency

illusion

myth

fantasy

deceit

deception

sophism

sophistry

casuistry

faulty reasoning

unsound argument

LOGIC

a failure in reasoning which renders an argument invalid.

"Kraft exposes three fallacies in this approach"

faulty reasoning; misleading or unsound argument.

"the potential for fallacy which lies behind the notion of self-esteem"
Aya mavingereza mngeyatumia kosma vizuri ule mkataba tusingekua tulipo , vingereza vingi huku nyuma mnapigwa mtama na warabu ,sasa vinawasaidia nini
 
Aya mavingereza mngeyatumia kosma vizuri ule mkataba tusingekua tulipo , vingereza vingi huku nyuma mnapigwa mtama na warabu ,sasa vinawasaidia nini
Kwani mkataba watu walipata nafasi ya kuupitia na kutoa maoni yao serikalini kabla haujapitishwa kwa haraka bungeni?

Mkataba wenyewe umepatikana kwa kuvuja.

What are you talking about?
 
Huu mkataba utasababisha nchi kitaifishwa kizembe na mwarabu. Ataenda kwenye libenki kubwa huko atakopea mapesa ya kuiendeleza Dubei. Lakini riba italipwa na Tanganyika. MUDA WA KUIKOMBOA NCHI UPYA UMEFIKA.
 
Mtanganyika anayekamata mtanganyika mwenzake mwenye kupigania mali za Tanganyika ajihoji mara mbili mbili
 
Hoja za kipuuzi kabisa, hamna hata fact. Anayeweza kuwashangilia ni mbumbumbu tu asiyejielewa. Eti tuchanganye damu na warabu. Poor minded
 
Zamani Eti walikuwa wanaelekeza Hadi aina ya mahuburi,

Eti hubirini tu kuhusu AMANI na Si HAKI,

Wambieni kuwa msipoichagua CCCm itatokea vita,

Yaani muuze Nchi tunakaaje kimya?

Hiyo ndio INJILI, ni kuwaambia watu dhambi Yao, kama ni Mwizi aitwe Mwizi Kwa Jina lake.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen
 
Sasa tuna Ongeza lugha moja.
Mungu yupo
 

Attachments

  • 5AEC3902-2A17-4155-B189-F2F830889A1D.jpeg
    5AEC3902-2A17-4155-B189-F2F830889A1D.jpeg
    57.1 KB · Views: 2
  • 38F236F4-068D-46A8-BBC3-5F59D4834BCF.jpeg
    38F236F4-068D-46A8-BBC3-5F59D4834BCF.jpeg
    83.5 KB · Views: 2
  • Kicheko
Reactions: K11
OK sawa ila icho kikao tulikaa lini? Isiwe shida ,
Mwanamapinduzi ni askofu na ameamua toa msimamo wake kwenye swala la bandari, kwa kusema hapana, na ni baada yakuwarejea watu mhimu katika taifa , akiwemo na dr Slaa, Mbowe, askofu mkuu wa kkt, katibu mkuu wa baraza la maaskofu, Mzee Wariba , wanasheria nguli ndani ya nchi, wakisema mkataba huu hapana
Video yajieleza ,

Mwisho anasema hayupo tiyari mali za wajukuu zake na vitukuu chezewa
Yaani wapingaji wa mkataba huu kwa sehemu kubwa ni wagalatia. Hata mkutano wa kesho watakaohutubia ni wagalatia.
Kwa hili mnatia mashaka ikiwa issue ni mkataba tu...
 
Back
Top Bottom