Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
KUNAKUCHA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK sawa ila icho kikao tulikaa lini? Isiwe shida ,Tumekubaliana humu, ukiweka video toa na maelezo ya kile kilichomo au kinachoongelewa kwa muhtasari.
Inapendeza zaidi akifanya hivyoTumekubaliana humu, ukiweka video toa na maelezo ya kile kilichomo au kinachoongelewa kwa muhtasari.
Utanyooka wewe Muraa.Tutamnyoosha
Uko sawa,sio kumaliziana MB kifalaTumekubaliana humu, ukiweka video toa na maelezo ya kile kilichomo au kinachoongelewa kwa muhtasari.
Ni kweli. Mleta thread, tunaomba utubrief video inasemaje?Tumekubaliana humu, ukiweka video toa na maelezo ya kile kilichomo au kinachoongelewa kwa muhtasari.
Watanzania wengi, mara nyingi, hata wanapokuwa sawa, wanakuwa sawa kwa sababu zisizo sawa.Sina mengi ya kusema sikiliza iyo vedio ya mwanamapinduzi ndo mjue wale wauza bandari za watu walivyo yakanyaga , maskini wee mwafaa
Sina mengi ya kusema sikiliza iyo vedio ya mwanamapinduzi ndo mjue wale wauza bandari za watu walivyo yakanyaga , maskini wee mwafaa
Tumekubaliana humu, ukiweka video toa na maelezo ya kile kilichomo au kinachoongelewa kwa muhtasari.
Jifunze kuandika kwanza!!Acha ufukara wa akilo, ametajani kushirikishwa imani zote.
Ngoja ndawa ikae sawa kwa Tanganyika then hao watajua hawajui , mwafaaWatanzania wengi, mara nyingi, hata wanapokuwa sawa, wanakuwa sawa kwa sababu zisizo sawa.
Nimesikiliza naona anatoa argument from authority tupu, that is a logical fallacy.
Ni tatizo la uwezo mdogo wa kufikiri.
By the way, siungi mkono mkataba wa bandari, ila pia siungi mkono hoja za logical fallacy ya argument from authority.
Siyo lazima. Kama vipi hamia FacebookTumekubaliana humu, ukiweka video toa na maelezo ya kile kilichomo au kinachoongelewa kwa muhtasari.
This is just gratuitous sadism that is neither here nor there as far as the topic is concerned.Ngoja ndawa ikae sawa kwa Tanganyika then hao watajua hawajui , mwafaa
Kwenye hayo makubaliano mleta UZI alikubali ?Tumekubaliana humu, ukiweka video toa na maelezo ya kile kilichomo au kinachoongelewa kwa muhtasari.
Ndo uyo na mamilioni kama yeye yako tiyari we jitie wendawazu, kama ni moja ya wasaliti ipo siku utakimbia kwako ukiwa Uchi ngoma nzito sana hiipunguza ujinga bhana Tanzania kuna mwanamapinduzi hapa
.chadema hapo yanakenua mbaya kabisa
Nani kasema hivyo? Video inataja dini tatu ambazo zinahusisha si chini ya asilimia themanini ya Watanzania wote. Kama ingekuwa udini, angetaja dini moja tu anayoipendelea. Ni dini ipi sasa hiyo unayoisema kwa kuwa zimetajwa dini tatu? Video imezitaja dini hizo tatu kwa kuashiria tu idadi ya Watanzania ambao inabidi kuwasikiliza. Msemaji akaenda mbali zaidi na kumtaja Mbowe, mwanasiasa mwenye wafuasi wengi; akamtaja Warioba, kiongozi kwenye masuala ya Katiba, msomi, mwanasheria aliyewahi kushika nyadhifa mbalimbali ikiwemo ya uwaziri mkuu; akamtaja Shivji msomi, mwanasheria, na mfuasi wa Mwalimu Nyerere; na akamtaja Slaa, aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki na Katibu Mkuu wa CHADEMA. Mifano yote hiyo ni kuonyesha tu upeo wa watu ambao inabidi kusikilizwa. Hiyo kauli ya udini inatoka wapi kama siyo wewe tu unayetaka kupoteza lengo kwa kuwaaminisha watu tofauti na mtoa mada kwenye video alivyodhamiria?Kumbe tupinge kwasababu ya udini!!