Askofu Mkuu Katoliki Dar es Salaam amtimua nchini Padri wa Nigeria

Nani amezungumzia ukongwe wa vyuo? Hata baba yako aliyekuzaa unaweza kuwa quality kuliko yeye nini cha ajabu hapo?
Tufanye wala halipo kwenye vyuo vya falsafa, haya relax sasa
 
Ukifuatia mazungumzi ya wale waumini waliokuwa wanaongeongea utagundua huyu padri ana mafunuo makubwa sana lakini kwa namna ya mfumo wa rc ni ngumu kuya reveal, ndiyo maana walikuwa hawamwelewi na kubaki kusema anajitenga tenga. Mtu yeyote aliyejaa rohoni kuna vitu vingi mtakua mnapishana naye coz vipaumbe vyako unaweza kuta kwake si kipaumbele then ukamuona kama anajisikia au la
 
Kunguru wa Manzese - Jazia Nyama kidogo......Maana inasemekana huyo Padiri ali-hudumu pia hapo katika Parokia ya Manzese. Alikuwa anakula "Kondoo" za Bwana?
Kama yule mwenzie aliyekutwa kwenye tank la maji

Walikuwa chapa ilale ndio hivyo hawakujua hasara zake
 
Aisee,free thinking.Huu ni mtizamo wako sisi tunauheshimu.
 
Muandishi amekosa info za kuweka hadi inambidi atumie soga za waumini kubalance story

Katholiki πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜
Pamoja na usiri wao ila wanauana kizembe sana, mara kwenye tanki la maji. Halafu mbona wameshindwa kuficha habari za vifo vya mapadri mfululizo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…