Askofu Mkuu Katoliki Dar es Salaam amtimua nchini Padri wa Nigeria

Askofu Mkuu Katoliki Dar es Salaam amtimua nchini Padri wa Nigeria

unaongea vitu gani wewe afrika mashariki?labda uongelle Tanzania. kwanza nina uhakika hujui vyuo vinanavyotoa degree ya philosophy kwa East Africa, vyuo vya mwanzo kabisa kutoa degree ya philosophy East Africa ni : Consolata Institute of Philosophy hiki toka 1970, kiko affliated na Pontifical urbaniana Rome. chuo kingine ni Catholic university of East Africa. asilimia kubwa ya hao mapadre wanaofundisha Jordan university college wamepitia vyuo hivyo viwilli. hapa nimeongelea specific kwa mapadre lakini degree ya philosophy inatolewa pia na university of Nairobi, Kenyatta university miaka mingi kabla ya hiyo Jordan university. philosophy kwenye chuo kikuu kishiriki imeanza miaka ya karibuni kama sikosei ni mwaka 2002 au 2007.
Nani amezungumzia ukongwe wa vyuo? Hata baba yako aliyekuzaa unaweza kuwa quality kuliko yeye nini cha ajabu hapo?
Tufanye wala halipo kwenye vyuo vya falsafa, haya relax sasa
 
Ukifuatia mazungumzi ya wale waumini waliokuwa wanaongeongea utagundua huyu padri ana mafunuo makubwa sana lakini kwa namna ya mfumo wa rc ni ngumu kuya reveal, ndiyo maana walikuwa hawamwelewi na kubaki kusema anajitenga tenga. Mtu yeyote aliyejaa rohoni kuna vitu vingi mtakua mnapishana naye coz vipaumbe vyako unaweza kuta kwake si kipaumbele then ukamuona kama anajisikia au la
 
Kunguru wa Manzese - Jazia Nyama kidogo......Maana inasemekana huyo Padiri ali-hudumu pia hapo katika Parokia ya Manzese. Alikuwa anakula "Kondoo" za Bwana?
Kama yule mwenzie aliyekutwa kwenye tank la maji

Walikuwa chapa ilale ndio hivyo hawakujua hasara zake
 
Ukifuatia mazungumzi ya wale waumini waliokuwa wanaongeongea utagundua huyu padri ana mafunuo makubwa sana lakini kwa namna ya mfumo wa rc ni ngumu kuya reveal, ndiyo maana walikuwa hawamwelewi na kubaki kusema anajitenga tenga. Mtu yeyote aliyejaa rohoni kuna vitu vingi mtakua mnapishana naye coz vipaumbe vyako unaweza kuta kwake si kipaumbele then ukamuona kama anajisikia au la
Aisee,free thinking.Huu ni mtizamo wako sisi tunauheshimu.
 
Muandishi amekosa info za kuweka hadi inambidi atumie soga za waumini kubalance story

Katholiki 🙌🙌😁
Pamoja na usiri wao ila wanauana kizembe sana, mara kwenye tanki la maji. Halafu mbona wameshindwa kuficha habari za vifo vya mapadri mfululizo?
 
Back
Top Bottom