Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Basi hata Google inakushinda kuangalia? Vijana wa Sasa ndio matunda ya Padri Nyerere hayaUnajua shida ya mtu kama wewe ni kujaribu kulipaka matope kanisa katoliki kwa hila.
Unafikiri limefikisha zaidi ya miaka 2000 kwa bahati mbaya?
Kalagabaho! Unajidanganya sina namna ya kukusaidia