Kuna watu mmechoka sana kiakili. Mna hangover ya Nyerere na uongozi wake.
Kumsingizia Nyerere wakati mnaenda shule kusoma, mnaishia kupata vyeti bila kuelimika. Maisha yakiwagonga mnafikiri kumsema Nyerere kutawapa ahueni.
Na kusoma Google news ndio achievements kubwa kwenye maisha.
Hakuna namna...hakuna mtu wa kuwasaidia. Mshazama pambaneni na hali zenu