Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ndivyo anavyojulikana huko ZanzibarHe heh umenifurahisha Eti aboubakari mbowe
Hivi kwanini umasikini wa hela unaharibu akiliWamaçhame hao AKA wapalestina
USSR
Atavuna anachopandaMama Samia anaendelea kujichafua mwenyewe kwa kuagiza Ustaadhi Aboubakar Mbowe kutundikiwa mashtaka ya uongo na kumfanya mfungwa wa kisiasa.
Taswira ya nchi imeanza kuchafuka kama enzi za baba wa uovu, shujaa, jiwe mwendazake.
Ameenda kama Askofu Mkuu wa KKKTAmeenda kama mkuu wa kkkt au kama shoo?
Kuwa makini sana mjombaUkiwa ikulu sio parahisi usipotumia approach kama hii huwezi kueshimika.
Acha ashike adabu kwanza mpaka ajue namna ya kuwafundisha adabu ya siasa Vijana wake wakina mdude.
Umakini wa niniKuwa makini sana mjomba
View attachment 1913448
Hii ndiyo taarifa ambayo pengine ulikuwa huifahamu , imeelezwa kwamba Baba Askofu Shoo amefika kwenye gereza la Ukonga kumtembelea Gwiji la siasa za Tanzania , Ustaadhi Aboubakar Mbowe , pamoja na kumuona mfungwa huyo wa kisiasa , Askofu Shoo ametumia nafasi hiyo kutoa neno la matumaini kwa wafungwa wengine walio ndani ya gereza hilo.
Mungu ibariki KKKT
View attachment 1913448
Hii ndiyo taarifa ambayo pengine ulikuwa huifahamu , imeelezwa kwamba Baba Askofu Shoo amefika kwenye gereza la Ukonga kumtembelea Gwiji la siasa za Tanzania , Ustaadhi Aboubakar Mbowe , pamoja na kumuona mfungwa huyo wa kisiasa , Askofu Shoo ametumia nafasi hiyo kutoa neno la matumaini kwa wafungwa wengine walio ndani ya gereza hilo.
Mungu ibariki KKKT
Si ndo Mana nashangaa haijaweza tembelea sugu na ponda piaWamaçhame hao AKA wapalestina
USSR
Cha kujiuliza, huyo askofu wa CHADEMA, hajawahi tembelea waumini wake wowote wale, ila kamtembelea dj tu. ina maana leo ndio kajua kuwa kuna mahabusu,, tena wanaoweza kuwa wanapata shida kuliko hata dj mboe? unafiki wa hali ya juu.Si ndo Mana nashangaa haijaweza tembelea sugu na ponda pia