mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Mpendwa utakuja kuandika Biblia yako sasa hivi, kasome vizuri yale maandiko Mungu anasema mamlaka zote chini ya jua anazitambua na tumeamuliwa kuzitii basi ajaongeza. Maana yake hata ile serikali ya Talibani utaitii, Israel utaitii, Uganda na zote unazozijua ikiwemo chifudom na kingdom. Najua ukiisoma itakuumiza lakini tatizo tuliletewa Biblia ikiwa hivyo.Bali haikuandikwa tiini mamlaka ya Shetani
kwahiyo anaenda kutazamwa gerezani kwasababu ni mtoa sadaka kubwa, masikini hawezi kuwafuata, kama mnamfuata huyo askofu na mnamwita askofu wenu, mmepotea. ukristo halisi haupo hivyo. aache kuchanganya siasa na dini, halazimishwi ila akilazimisha kuja kwenye siasa akitukanwa asilalamike kwasababu kwenye siasa zipo hadi siasa chafu. maaskofu hao wahuni tu, wazinzi na wanaenda hadi kwa waganga. tunawajua.Usitoe sana povu nilikuwa nikiona live huku kwetu anayetoa sadaka sana ndiyo baba alikuwa anampenda sana, na alikuwa anafanyiwa maombi spesho, tia mzigo mkubwa ndugu hata ukifungwa na wewe wanakuja lwako.
lutheran wameongoza nini? sijakuelewa.Kabla hujapata Uhuru wa bendera hawa ndio walikua wanatuongoza Kwa taasisi zao Imara na uchumi wetu ulikua juu kuliko miaka hii 50, baadae mkapewa Uhuru mmeharibu kila kitu!!...
Safi kabisa huu ndiyo utumishi wa MUNGUView attachment 1913448
Hii ndiyo taarifa ambayo pengine ulikuwa huifahamu, imeelezwa kwamba Baba Askofu Shoo amefika kwenye gereza la Ukonga kumtembelea Gwiji la siasa za Tanzania, Ustaadhi Aboubakar Mbowe, pamoja na kumuona mfungwa huyo wa kisiasa, Askofu Shoo ametumia nafasi hiyo kutoa neno la matumaini kwa wafungwa wengine walio ndani ya gereza hilo.
Mungu ibariki KKKT
Kivyote vyoteAmeenda kama mkuu wa KKKT au kama Shoo?
Kabisa Mkuu kunakucha....Kama kuna aliyedhani haya mambo ni madogo basi ni bora ajipofue macho, yanayokuja ni mazito sana.
PopomaaUmakini wa nini
Kama kuna aliyedhani haya mambo ni madogo basi ni bora ajipofue macho, yanayokuja ni mazito sana.
Maana Biblia inasema nalikuwa kifungoni wala hamkutaka kuja kuniona.Ni jambo jema!
Kuwatembelea watu walioko gerezani ni sehemu ya ibada!