Askofu Mkuu wa KKKT, Dkt. Fredrick Shoo amtembelea Freeman Mbowe gereza la Ukonga

Askofu Mkuu wa KKKT, Dkt. Fredrick Shoo amtembelea Freeman Mbowe gereza la Ukonga

Huyo hajawahi kuwa askofu wa KKKT, siku zote ni askofu wa CHADEMA na wachaga ni mkabila na hajawahi kuwa nutral kwenye hivi vyama. Hata ukija na ushahidi gani dhidi ya wanachama wake, siku zote muelekeo wake ndio huo. Ajue kuwa serikali ndio yenye siri nzito na upelelezi, anaaminije kama kweli ameonewa, na ameruhusiwaje kwanza. Wanaohubiri wahubiri na wanasiasa wawe wanasiasa, ukichanganya hayo ukipigwa za uso usitulaumu.
Kabla hujapata Uhuru wa bendera hawa ndio walikua wanatuongoza Kwa taasisi zao Imara na uchumi wetu ulikua juu kuliko miaka hii 50, baadae mkapewa Uhuru mmeharibu kila kitu!!...
 
Wamaçhame hao AKA wapalestina

USSR
kumbe ni wamachame sio wachaga.
kwani Mbatia nae ni Mchaga?!
kumbee!! ndio maana wanateteana bila hata kuheshimu mahakama!!! eti kisa wamemgusa Mangi!!

hawa watu wamekosa aibu sana.
anamuona Mbowe alikuwa mtakatifu? kumbe alikuwa hafai hata kukaa nje
 
Cha kujiuliza, huyo askofu wa CHADEMA, hajawahi tembelea waumini wake wowote wale, ila kamtembelea dj tu. ina maana leo ndio kajua kuwa kuna mahabusu,, tena wanaoweza kuwa wanapata shida kuliko hata dj mboe? unafiki wa hali ya juu.

Kitu ambacho wengi huwa hamjui, hawa maaskofu wa mishahara na wadini/mafarisayo, wanafuata dini tu, ila ni watu wa kawaida mno hadi kwa waganga wanaenda kugombania vyeo. hawanaga lolote nakwambia na hata hawamtumikii Mungu, wanatumikia dini na familia zao.
Usitoe sana povu nilikuwa nikiona live huku kwetu anayetoa sadaka sana ndiyo baba alikuwa anampenda sana, na alikuwa anafanyiwa maombi spesho, tia mzigo mkubwa ndugu hata ukifungwa na wewe wanakuja lwako.
 
Ukiwa Ikulu sio parahisi usipotumia approach kama hii huwezi kuheshimika.
Acha ashike adabu kwanza mpaka ajue namna ya kuwafundisha adabu ya siasa Vijana wake wakina mdude.
Hivi una akili timamu wewe ...ndio maana sisi miafrika mimasikini Sana kwa upumbavu Kama huu...
 
View attachment 1913448

Hii ndiyo taarifa ambayo pengine ulikuwa huifahamu, imeelezwa kwamba Baba Askofu Shoo amefika kwenye gereza la Ukonga kumtembelea Gwiji la siasa za Tanzania, Ustaadhi Aboubakar Mbowe, pamoja na kumuona mfungwa huyo wa kisiasa, Askofu Shoo ametumia nafasi hiyo kutoa neno la matumaini kwa wafungwa wengine walio ndani ya gereza hilo.

Mungu ibariki KKKT
Huyu naye ni Gaidi wa kidini tu amekwenda kumtembelea Gaidi mwenzake wa kisiasa.
 
Kama kuna aliyedhani haya mambo ni madogo basi ni bora ajipofue macho, yanayokuja ni mazito sana.
Yaani wewe unamwona huyo Shoo unababaika!? Huyo ni kama lilivyojina lake yaani anafanyashoo tu hakuna kitu. Anakwenda kumtembelea Mmachame mwenzake tu hakuna la maana lolote labda kwako wewe nyumbu!
 
Ukiwa Ikulu sio parahisi usipotumia approach kama hii huwezi kuheshimika.
Acha ashike adabu kwanza mpaka ajue namna ya kuwafundisha adabu ya siasa Vijana wake wakina mdude.
Ndugu yangu,
Ubabe na ukandamizaji havijawahi kujenga heshima popote pale. Badala yake, mifano hai imetuonyesha kuwa, vimekuwa vikifanikiwa kujenga unafiki/woga chuki na roho ya visasi ambayo wakati mwingine imewaandama mpaka kwa wa 'ukoo' au kizazi cha Dikteta husika.
Haki huinua taifa, bali dhambi ni aibu kwa watu wote. Mithali 14:34
 
Back
Top Bottom