Askofu Mkuu wa KKKT, Dkt. Fredrick Shoo amtembelea Freeman Mbowe gereza la Ukonga

Askofu Mkuu wa KKKT, Dkt. Fredrick Shoo amtembelea Freeman Mbowe gereza la Ukonga

View attachment 1913448

Hii ndiyo taarifa ambayo pengine ulikuwa huifahamu , imeelezwa kwamba Baba Askofu Shoo amefika kwenye gereza la Ukonga kumtembelea Gwiji la siasa za Tanzania , Ustaadhi Aboubakar Mbowe , pamoja na kumuona mfungwa huyo wa kisiasa , Askofu Shoo ametumia nafasi hiyo kutoa neno la matumaini kwa wafungwa wengine walio ndani ya gereza hilo.

Mungu ibariki KKKT
Hivi mtu akienda kumtembelea mdogo wake, nayo ni habari.?
 
Mama Samia anaendelea kujichafua mwenyewe kwa kuagiza Ustaadhi Aboubakar Mbowe kutundikiwa mashtaka ya uongo na kumfanya mfungwa wa kisiasa.

Taswira ya nchi imeanza kuchafuka kama enzi za baba wa uovu, shujaa, jiwe mwendazake.
Nchi ipo salama, kwa hiyo unataka mtu akiwa upinzani hasishitakiwe? Nchi ipo poa kabisa, hayo matamanio yenu ya nchi kuchafuka ni zero, Bwana Abubakar lazima aface mashtaka yake kama waTZ wengine
 
huyo hajawahi kuwa askofu wa kkkt, siku zote ni askofu wa chadema na wachaga. ni mkabila na hajawahi kuwa nutral kwenye hivi vyama. hata ukija na ushahidi gani dhidi ya wanachama wake, siku zote muelekeo wake ndio huo. ajue kuwa serikali ndio yenye siri nzito na upelelezi, anaaminije kama kweli ameonewa, na ameruhusiwaje kwanza. wanaohubiri wahubiri na wanasiasa wawe wanasiasa, ukichanganya hayo ukipigwa za uso usitulaumu.
Hivi nyinyi huwa mnaokotwa wapi?

"...serikali ndio yenye siri nzito..." kama ule wa barakoa zilizowekewa COVID-19 ili kuwamaliza waTanzania, au siyo?

Nchi kuwa na wapumbavu aina yenu inasikitisha sana.
 
Siyo kitu kibaya kuwatembelea mahabusu na wafungwa kwani nao wanahitaji faraja. Mimi ni Mlutheri pia ila Baba Askofu asiingile mambo ya mahakama
Askofu kumtembelea mahabusu ni kuingilia mahakama! Inaelekea haujui maana ya kuingilia mahakama, uliza kwanza ufahamishwe.
 
Kwanini mmemkana Hamza? Mjumbe wa Kamati Kuu CCm Taifa
Uzuri wa CCM pamoja na mapungufu yao machache, mwanachana wao akituhumiwa kufanya kosa la jinai na kushitakiwa huwa hawaingilii vyombo vya dola kwa kumtetea mtuhumiwa.
 
Huyo hajawahi kuwa askofu wa KKKT, siku zote ni askofu wa CHADEMA na wachaga ni mkabila na hajawahi kuwa nutral kwenye hivi vyama. Hata ukija na ushahidi gani dhidi ya wanachama wake, siku zote muelekeo wake ndio huo. Ajue kuwa serikali ndio yenye siri nzito na upelelezi, anaaminije kama kweli ameonewa, na ameruhusiwaje kwanza. Wanaohubiri wahubiri na wanasiasa wawe wanasiasa, ukichanganya hayo ukipigwa za uso usitulaumu.
Toa ujinga wako
Mkuu wa kkkt ni nani?
 
View attachment 1913448

Hii ndiyo taarifa ambayo pengine ulikuwa huifahamu, imeelezwa kwamba Baba Askofu Shoo amefika kwenye gereza la Ukonga kumtembelea Gwiji la siasa za Tanzania, Ustaadhi Aboubakar Mbowe, pamoja na kumuona mfungwa huyo wa kisiasa, Askofu Shoo ametumia nafasi hiyo kutoa neno la matumaini kwa wafungwa wengine walio ndani ya gereza hilo.

Mungu ibariki KKKT
Ni kabilayake ndiyo maana hana jipya. Mbona hajamtembelea Sabaya? Ukabila utajidhihirisha siku zote kwa hawa watu. Angevua tu na hayo majoho maana hayamsaidii.
 
Pumbavu nyinyi ndo wakabila wakubwa lakini saizi hamna issue tena
Huna tofauti na huyo jamaa
IMG-20210827-WA0019.jpg
 
Ukiwa pimbi ni pimbi mpaka kwenye moyo wako. Wewe jamaa nakubariki jina la upimbi, umeongea upimbi mtupu
Cha kujiuliza, huyo askofu wa CHADEMA, hajawahi tembelea waumini wake wowote wale, ila kamtembelea dj tu. ina maana leo ndio kajua kuwa kuna mahabusu,, tena wanaoweza kuwa wanapata shida kuliko hata dj mboe? unafiki wa hali ya juu.

Kitu ambacho wengi huwa hamjui, hawa maaskofu wa mishahara na wadini/mafarisayo, wanafuata dini tu, ila ni watu wa kawaida mno hadi kwa waganga wanaenda kugombania vyeo. hawanaga lolote nakwambia na hata hawamtumikii Mungu, wanatumikia dini na familia zao.
 
Msajili wa Vyama anapaswa akifutilie mbali hiki chama Cha CHADEMA maaana kimekuwa ni maficho/chimbo la Wahalifu, kila aina ya wahalifu sasa wanaweza kujibanza na kujificha ktk kichaka kinacho jiita eti chama cha kisiasa!!!
 
Msajili wa Vyama anapaswa akifutilie mbali hiki chama Cha CHADEMA maaana kimekuwa ni maficho/chimbo la Wahalifu, kila aina ya wahalifu sasa wanaweza kujibanza na kujificha ktk kichaka kinacho jiita eti chama cha kisiasa!!!
Wewe ni kubwa JINGA kabisa....🙄🙄🙄
 
Back
Top Bottom