peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh...nakumbuka kuna siku Ndugai alisema malecela alimwita akamwambia mdogo wangu jiuzulu tuu uspika na Ndugai akatii Bila kuuliza swali..Mzee Wasira anasemaje? Mzee Malecela is fully supporting the move ya mama. Ila ikumbukwe alifanyiwa ikhisani sana kwenye msiba wa mwanaye.
Wengine naona hawamjuiHV huyu baba askofu s alivuliwaga uwaskofu na kufukuzwa kwa kutaka kuleta uas
Utafakarije utumbo ambao uko fully one sided? Hakuna mkataba mbovu kuliko ule wa kanisa na serikali juu makanisa kuchotewa kodi zetu kifisadi. Utaisha lini?Muhimu kutafakari kabla ya Kuchangia.
[emoji4][emoji4]
Mzee Wasira anasemaje? Mzee Malecela is fully supporting the move ya mama. Ila ikumbukwe alifanyiwa ikhisani sana kwenye msiba wa mwanaye.
Ameonekana kwenye burj Khalifa na sikia picha yako kuonekana hapo sio mchezoyule mama ni mshenzi sana, hao waarabu sijajua wamempa nini hadi ameanza kufanya mambo ya ajabu katika nchi kiasi hiki..!!
Alivuliwa na shehe yupi?HV huyu baba askofu s alivuliwaga uwaskofu na kufukuzwa kwa kutaka kuleta uas
Brother huwezi kupewa Majibu. Tuliambiwa mama anaupiga Mwingi ila sasa baada ya kukosa majibu ya kuuza bandari zetu zote wamekuja na slogan mpya mama Mtulivu ila ukweli ni kwamba hana majibu baada ya uotopolo aliotufanyia watanganyikaAmeandika Baba Askofu Stephen Munga
MKATABA WA BANDARI UMETUSAIDIA KUJUANA ZAIDI
"Na hivi ndivyo tunavyoweza kutambua wazi kati ya walio watoto wa Mungu na walio watoto wa shetani. Mtu ye yote asiyetenda lililo haki si wa Mungu; wala asiyempenda ndugu yake si wa Mungu."
(1 Yohana 3:10)
Kwanza, Nimekubali kuwa ndugu hujuana vizuri wakati wa matatizo na migogoro. Hata uliodhani wanakuheshimu utawasikia wakikutukana. Wasiostahil8 kutukana walijaribu kumvunjia heshima Profesa Shivji wakisahau kwamba wapo watu heshima zao hazivunjwi kirahisi.
Pili, Mgogoro wa bandari umetufanya tujuane vizuri Watanzania. Baadhi ya watu walitiwa kiza fahamu na adabu zao wakabaki kama waliosimama uchi hadharani. Tukumbuke kuwa kujaribu kufunika ukweli na kufukia haki ni kama kuzima moto kwa petroli.
Tatu, Uzalendo na maadili mema tuliyojidai tunataka kuyajenga katika jamii yetu juhudi hizo tumezimwagia matope. Hata viongozi wa dini wenye dhamana ya kuadibisha jamii wametumika kwa uongo na majungu. Utamwambiaje mtoto asitukane wakati mwenyewe ni mtukanaji. Tusiwaharibie watoto maisha kwa ajili ya ulafi wa leo.
Nne, Tumedhalilishana kwa hoja zisizo na ufahamu wa kina. Wapo watu ambao akipewa kipande cha mkate aweza kutukana kijiji kizima. Hekima ni pamoja na kujua la kuzungumza kwa wakati ufaao na kwa kiasi kifaacho.
Hitimisho, hivi ni vita vikubwa kwani ni mvutano baina ya kweli na uongo; haki na dhuluma; wema na uovu; giza na nuru; na uzalendo na usaliti. Mpaka tutakapofika mwisho tutakuwa tumejuana vizuri. Kwamba asiyetenda lililo haki si wa Mungu; wala asiyempenda ndugu yake si wa Mungu.
Hadi yeye mwenyewe anaona aibuBrother huwezi kupewa Majibu. Tuliambiwa mama anaupiga Mwingi ila sasa baada ya kukosa majibu ya kuuza bandari zetu zote wamekuja na slogan mpya mama Mtulivu ila ukweli ni kwamba hana majibu baada ya uotopolo aliotufanyia watanganyika