Askofu Mwamakula amtaja Gerald Hando shujaa wa maoni 2022

Opinion ya Hando ni nzuri sana na ndio kipimo cha upumbavu wa Tanzania, kama ishu Ina majibu kuna haja gani hofu na kuchukia, wanavyokopa na kukopeshwa wanavigezo na sababu zao hofu na wasiwasi wa nini hii nchi Ina upumbavu mwingi sana
 
Ila nasi tumchangie kwa siri tusipoteze ugali huku kwetu akakosa wa kumchangia.
Yaah! Ni kweli. Misisiemu haikawii Kuna kubomoa banda lako la biashara ama kukufukuza kazi kwasab ya kumchangia Hando
 
Jibuni hoja yake badala ya kulialia
 
Tatizo la nchi zetu za kiafrika mnamuita mwenzenu shujaa kule kazini kwake anafukuzwa kwa mkono wa serikali na kukosesha wanae mkate wa siagi.
Hivi mnavyo viona ni vita vya kidini ila vipo katika hatua ya vita baridi kuelekea vita ya moto
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Yani nimecheka. Kumbe huyu askofu Hana kanisa Wala waumin,,[emoji16][emoji16][emoji16]ana kofia na fimbo tuu?? It's high time serikali iangazie leseni za makanisa, na viongoz wa hayo makanisa
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Yani nimecheka. Kumbe huyu askofu Hana kanisa Wala waumin,,[emoji16][emoji16][emoji16]ana kofia na fimbo tuu?? It's high time serikali iangazie leseni za makanisa, na viongoz wa hayo makanisa
Emmanuel Bandekile Mwamakula ni Tapeli tu kama tapeli yeyote unayomfahamu. Wenzie wa Moravian Mbeya walimtimua walipoona ni mdokozi wa sadaka
 
Jibuni hoja yake badala ya kulialia
Kwani Mkuu hujaona hoja hapo kwenye majedwali niliyokuwekea?
Maoni hayakatazwi na wala hawezi kupata shida kwa hilo. Tatizo yeye ni mtangazaji ni kutumia chombo cha mwajiri vibaya kuelezea maoni binafsi.

Kama unajuwa newsrooms zina watu wanaitwa News Editors, ndiyo wenye kazi za kuchuja habari ili wananchi wapate habari ambazo ziko na maadili na haziko biased.

Bunge lilipitisha Bajeti ya Tsh 42 Trllioni yenye nakisi dhidi ya mapato ya Tsh 19 Trillion, je Gerald Hando anadhani nakisi itazibwa na nini?

Miradi mikubwa ya SGR, JNHEPP, Busisi na Makao Makuu Dodoma ndiyo vinakula sehemu kubwa ya mikopo. Je tuache hiyo miradi isikamilike mpaka tupate makusanyo yetu ndiyo tujenge?
 
Emmanuel Bandekile Mwamakula ni Tapeli tu kama tapeli yeyote unayomfahamu. Wenzie wa Moravian Mbeya walimtimua walipoona ni mdokozi wa sadaka
Mtu akiwa na mawazo tofauti na weye usimchukie.Hizo sadaka alidokoa lini na kiasi gani?
 
Unampangia namna ya kufanya kazi?Umesikia ni sinema hiyo hadi upange scenes?
 
Kama ni form 4 leaver, mbona mnaangaika nae?
 
Kwa hiyo form 4 leaver ndo hawatakiwi kutoa maoni kuhusu uchumi? Mmeishiwa akili Hadi za kuendea chooni!?
 
We utakuwa chizi, Hando ana degree ya software engineering, we una usomi wako umesaidia nini taifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…