Askofu Mwamakula amtaja Gerald Hando shujaa wa maoni 2022

Halafu wala hatumchangii ili watoto wake waendelee kwenda shule.

Sasa nachukua fursa hii kuwaomba watanzania wote tumchangie mwenzetu Gerad Hando aliyefukuzwa kazi kwa uonevu baada ya kutoa maoni yake.

Mnasemaje?????
Weka account No. au tafuta namba yake ya simu tumdondoshee mpunga.
 
Mkuu kila kitu mtaalam, tutaitendeaje haki katiba inayotupa uhuru kujadiri issue tofauti?
 
Majizo alikuwa Dj tu kama kina Dj Nelly tu, Sasa mtu mwenye akili ni lazima ujiulize amepata wapi ghafla pesa ya kumiliki media house yake?

Unapokiona kinyago kwenye display ujuwe kuna Wamakonde wamekichonga.
Fikra za kimaskini.
 
Umeingia chaka jingine. Aliyekuwa askofu wa Jimbo la Mbulu ni Babu yake ambaye alikufa about 15 years ago. All in all utajuri wa askofu hauingii kwenye familia
Unaingia, kwa hiyo aliondoka na mali zake akazikwa nazo?
 
Unadai uhuru wa vyombo vya habari wakati ndani ya chombo cha habari hakuna uhuru. Vyombo vya habari vimebakia kujikomba kwa serikali, kusifiasifia tu ili wapate teuzi. Hakuna weledi kabisa wa uandishi
 
Kuna MOAT ya enzi hizo iko chini ya Mzee Mengi na kuna hii ya akina Kusaga, Majizo na Diamond.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…