Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!

Itafika wakati kile kilichofanyika India mwaka 1947 itabidi kifanyike hapa Tanganyika. Wakristu na Waislam wagawane tu hii nchi kelele ziishe
 
Wewe ni kipofu wa macho na akili sikusaidii chochote, baki na ujinga wako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kauli ya kishujaa wanayoitumia wajinga.

Nafaham Djibouti ni moja ya nchi zilizowahi kuingia kweny mgogoro na DP WORLD. Akili iliyosalama haiwezi kuacha kushirikian na DP WORLD eti kisa kuna migogoro flani flani instead itajikita kuangalia Why migogoro ilitokea na How migogoro itaepushwa.

Hili jambo ni wazalendo tu ndo wataweza kuliamua na sio wew mweny wivu wakidini.Badala muombe kujengewa makinisa eti mnaomba waislam wasijengewe misikiti,akili zetu waafrika bana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
"ALIYEVAMIA MTUMBWI WA VIBWENGO SOON ATAJULIKANA... "
 
Sidhani hata kama umewahi kusoma zile terms za hovyo kwenye ule mkataba, wewe endelea kushangilia tu unajengewa msikiti, huku ukiamini Djibouti ndio nchi pekee yeye mgogoro na hao waarabu.
 
Huyu askofu akumbuke pia kuelezea namna wazungu wanavyojenga makanisa na kufadhili mataasisi ya dini ya wakiristu ambayo yameenea kila kona.
 
Nilishasema mwanzo hili suala limeingia udini ndani yake, wakristo hawaitaki DP World kwa sababu ya uislam.

Wagalatia wana roho mbaya sana.
Kama ni kweli DP World wamesema kuwa sehemu ya faida watakayoipata kwenye bandari za Tanzania itatumika kujenga misikiti na kueneza uislam, basi hiyo kampuni itakuwa na watu wengi wajinga sana. Kama una akili huwezi kufanya kosa kama hilo.

DP kama kampuni ina uwezo wa kusaidia taasisi yoyote ile ya kidini kwa pesa yake. LAKINI kwa faida inayotokana na rasilimali za wananchi wote wa Tanzania, kama una akili huwezi kupeleka kwenye taasisi moja. Angalao hata wangesema watasaidia ujenzi wa shule, hospitali au vyuo, maana huko wananchi wote watanufaika.

Hiki wanachosema DP watakifanya kwa waislam, kinaweza kutafsiriwa kuwa ni rushwa kwa jamii mojawapo ya watanzania ili wasihoji ubovu wa mkataba. Hii ni dosari kubwa.

USHAURI
Kwaajili ya utengamano wa nchi yetu, hii kampuni isipewe mradi wowote ule kuwekeza nchini. Tamaa yetu ya hela, mwishoni inaweza kutuharibia kabisa utengamano wetu. Nchi yetu siku zote haijawahi kushuhudia ubaguzi au upendeleo wa kidini wala iluhasama baina ya wenye dini tofauti, ndiyo maana sisi wengine familia zetu zina waislam na wakristo, na hatujioni ni tofauti kwa lolote lile katika maisha yetu ya kila siku. Tofauti inakuwa moja tu, ukifika wakati wa kuabudu, wengine wanaenda msikitini na wengine kanisani.

Umoja na mshikamano wetu una tjamani kubwa sana kuliko pesa ya DP World.
 
Hata hapa bongo waislamu kwenye kampuni zao wanaajiri waislamu tupu wakati kampuni za wagalatia hawajali sana kuhusu dini, kwa hiyo hilo la DP world kuwa na malengo ya kidini siyo jambo la kushangaza kabisa.
 
Jambo la kusikitisha sana, Kama unafahamu historia ya dini na biashara ya utumwa (slavery).
 
Nilishasema mwanzo hili suala limeingia udini ndani yake, wakristo hawaitaki DP World kwa sababu ya uislam.

Wagalatia wana roho mbaya sana.
Ukienda Mang'ora barazani (Karatu Arusha), hii ipo vijijini kabisa ndani.
Utakuta kuna kanisa kubwa la Roman Catholic na hospital halafu hatua km mita 200 kuna msikiti mkubwa na kisima cha kujitawazia.
Unafikiri kati ya hao wawili nani ana roho mbaya?
 
Sidhani hata kama umewahi kusoma zile terms za hovyo kwenye ule mkataba, wewe endelea kushangilia tu unajengewa msikiti, huku ukiamini Djibouti ndio nchi pekee yeye mgogoro na hao waarabu.
Sipendi kusema mtu ni mjinga but kwako WEW NI MJINGA REGARDLESS UMRI WAKO.

01.NIMESEMA SINA UPANDE SABABU SIO SERIKAL WALA SIO UPINZANI WENYE HOJA ZINAZOINGIA AKILI,HUYU ANAPOTOSHA HUYU ANAJING'ATA.

02.DP WORLD KUJENGA MISIKITI SIO KIBALI CHA KUTETEWA. KAMA MKATABA MBOVU TUTASEMA MKATABA NI MBOVU HUMO HUMO KWENYE MISIKITI WALIYOJENGA NA KAMA MKATABA NI MZURI TUTASEMA MKATABA NI MZURI HATA WAKIWAJENGEA MAKANISA.

03.KUWA MUELEWA NIMESEMA DJIBOUTI NI MOJA YA NCHI NA SIO NCHI PEKEE, ELEWA SENTENSI NI MOJA YA NCHI.

HII NCHI TUNAHITAJI UHURU KAMILI. BADO TUNATAWALIWA NA IMANI, SIASA NK
 
Dhi nureyn si kampuni ni wakfu au foundation kwa lugha nyingine na si kweli kwamba yatoka Iran πŸ‘‰Dhi Nureyn Islamic Foundation
 
Acha Uongo; umeisha sikia wapi ati shirika la UK, USA (USAID), shirika la Canada limeleta msaada au kuingia mkataba kwa ahadi ya kujenga makanisa.
 
Acha Uongo; umeisha sikia wapi ati shirika la UK, USA (USAID), shirika la Canada limeleta msaada au kuingia mkataba kwa ahadi ya kujenga makanisa.
Charity Organisations za Wazungu ziko kama zote,hao unaowataja wanatoa misaada kiserikali sio misaada ha kibinafsi.

Mwisho kwani DP World kama kampuni binafsi inakatazwa kusaidia wenye uhitaji ikizingatiwa imetokea sehemu ya Waislamu?
 
Hakuna
Ajabu yoyote hata Kule Tabora samota Alipata tender ya Ujenzi wa ma barabara na aliamua kurejesha kwa Umma kwa njia ya Ujenzi wa Misikiti, huyu DP World hata ajaanza kujenga mwamsema au kwasababu yeye ni mwarabu wa DUBAI? Acheni Roho mbaya, mlikataa OIC, mlikataa chuo kikuu, mlikataa Mahakama ya Kadhi na mengineyo lakini chuki haipoi
 
Wewe ndio unaunguruma

Kule Bar wasiojua kutongoza hutanguliza Bia hata kwa Bar maid

Akiipokea kinachofuata ni kuilipa Chumba cha kulala Wageni!
Zingatia neno wameombwa,mnaweza kuomba pia.

TUJIKITE KWENYE MADHAIFU YA MKATABA ILI HGA IKITOKA IWE STRONG ,NA IMAN SERIKAL ITATUSIKIA
 
Naona unapiga kelele kwa herufi kubwa.

Iko hivi, hizo pesa za hao matapeli mnazofurahia kujengewa misikiti ya msaada, ni haramu, hiyo tayari itakuwa najisi kwa hilo jengo, ila kwa upeo wako wa kuchekelea misaada, huwezi ona hili.
 
Misikiti ipo na vijana hawaendi kuswali hivyo tatizo sio misikiti, sehemu kama ilala(Dar) kuna misikiti kama 9 yani unaamua tu uswali msikiti gani ila bado vijana hawaendi kuswali.

Ifike wakati waislamu waache kukariri kujenga na kurembesha misikiti tu wakati waumini wenyewe hata elimu ya kuabudu vizuri hawana.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…