Kwakweli kwenye utekaji watu wanaumia zaidi,
Mtu anatekwa, anateswa siku kadhaa au wiki kadhaa, mwisho wa siku anauawa kikatili,
Kwenye poromoko hakuna mateso ya wiki kadhaa Kama yule aliyetekwa
Ukuta ukikuporomokea unakufa papo hapo au baada ya dakika kadhaa
Utekaji ni endelevu,
Mtu yeyote atatekwa popote. Chance ya mtu kutekwa Tanzania ni kubwa kuliko ile ya kuporomokewa ghorofa
Utekaji umeua watu wengi kuliko ghorofa
Majanga makuu ya Taifa ni matatu tu
1, Katiba
2. Ajali barabarani
3. Utekaji
Ukiamua kuorodhesha majanga madogomdogo ya Taifa ni mengi ikiwa pamoja na kuporomoka ghorofa