Askofu Mwamakula: Janga la Kariakoo sio kubwa kama La utekaji

Askofu Mwamakula: Janga la Kariakoo sio kubwa kama La utekaji

Swala la marehemu Kibao na swala la kuanguka kwa jengo kariakoo ni vitu tofauti japokuwa yote mawili ni majanga.

Unaleta ile hadithi ya swali la nyongeza bungeni, kwamba umeamua kuchomekea mada nyingine kwenye mada ya huu uzi inayojitegemea.
Napingana na aya ya pili ya wasilisho lako kwa sbabu msingi wa kumtaja kibao ni kwamba askofu amelinganisha utekaji na janga la kariakoo! ukubwa wa utekaji ni swala endelevu sababu watekaji hawajawahi kupatikana wala kushtakiwa na bado wako kazini kutafuta damu na roho za watu! swala la kariakoo litaisha na kusahaulika kama ajali ya morogoro tank la mafuta, huku hatua za makusudi zikichulilwa ikiwemo wahusika wa majengo ya kariako akiwemo mmiliki kushtakiwa pamoja na watendji wa serikali waliohusika, ukubwa huu haujachulilwa kwenye huyu "zimwi" utekaji na mauaji
 
Kwakweli kwenye utekaji watu wanaumia zaidi,

Mtu anatekwa, anateswa siku kadhaa au wiki kadhaa, mwisho wa siku anauawa kikatili,

Kwenye poromoko hakuna mateso ya wiki kadhaa Kama yule aliyetekwa
Ukuta ukikuporomokea unakufa papo hapo au baada ya dakika kadhaa

Utekaji ni endelevu,
Mtu yeyote atatekwa popote. Chance ya mtu kutekwa Tanzania ni kubwa kuliko ile ya kuporomokewa ghorofa

Utekaji umeua watu wengi kuliko ghorofa

Majanga makuu ya Taifa ni matatu tu

1, Katiba

2. Ajali barabarani

3. Utekaji

Ukiamua kuorodhesha majanga madogomdogo ya Taifa ni mengi ikiwa pamoja na kuporomoka ghorofa
ONAAA TAAHIRA LINGINE HILI HAPA LIMEKUJA KUJAMBA HAPA YAANI LEO NI SIKU YA NNE KUNA WATU WAKO CHINI WANATESEKA HALAFU UNALETA UJINGA HAPA CHIZI KWELI WEWE IJAMAA NA HUYO ASKOFU UCGAWARA WAKO HAMNA MAANA KABISA
 
7. Kosa la askofu hapa ambalo naliona hata mimi ni kusema janga la kariakoo sio kubwa kuliko la utekaji mitaarafu yote yamegharimu uhai wa binadamu.
BRO UNA AKILI SANA KULIKO HILI JI ASKOFU UCHWARA HAPO HALINA KITU NI KOPO TUPU KICHWANI
 
BRO UNA AKILI SANA KULIKO HILI JI ASKOFU UCHWARA HAPO HALINA KITU NI KOPO TUPU KICHWANI
Tumia lugha ya staha na heshima, hicho ndio kipimo cha ukomavu, political tolerance, kuwa tayari kusikia hata yale tusiyopenda kuyasikia sababu kuna mahala yanatufunza jambo
 
Kwamba utekaji si ajali mbaya?!

Unajua mateso wanayoyapitia wanaotekwa kuanzia wakati wanapotekwa hadi kufikia kuuawa?

Ukiachana na la mzee Kibao, uliwahi kuipata stori ya yule mzee (nimemsahau jina) aliyemgomea jiwe kutoa fungu la fedha kienyeji kwenye ofisi yake alivyotekwa akateswa vibaya (ikiwemo kulawitiwa) kwa siku kadhaa hadikuuawa?

Mnajaribu kumpinga askofu tu kwa chuki zenu binafsi, ila alichokiongea tukiweka hisia kando yupo sahihi
Wewe unamsema Rwajaba. Lengo la askofu ni kutaka kujua ni kwa nini wanapotekwa na kuuawa watu umma unakaa kimywa ila hii la kariakoo kelee nyingi zimepigwa. Fikiria kama ndugu yako ameuawa kama Rwajaba au wa Tanga, alafu uginzani wanaitisha maandamano kutaka serikali ichukue hatua, mnauchuna
 
.

Haoni kwamba mtu kukaa chini ya ghorofa bila ya hewa bila ya kula chochote kwa siku tatu ni kitu kigumu sana.

Alikuwa na hasira na masuala ya utekaji leo kaamua kuja na uzi wa kulinganisha vitu visivyofanana kwa namna yoyote.
Huelewi, huwezi kuelewa,na hautomuekewa, ukiona Maandiko yake acha usisome.

Maandiko ya Mh Askofu Mwamakula,Bagonza nyongeza,ni kwa ajili ya watu wenye AKILI KUBWA broad minded people, wewe sio mmojawapo 😀🤣
 
Huelewi, huwezi kuelewa,na hautomuekewa, ukiona Maandiko yake acha usisome.

Maandiko ya Mh Askofu Mwamakula,Bagonza nyongeza,ni kwa ajili ya watu wenye AKILI KUBWA broad minded people, wewe sio mmojawapo 😀🤣
Umemaliza
 
Napingana na aya ya pili ya wasilisho lako kwa sbabu msingi wa kumtaja kibao ni kwamba askofu amelinganisha utekaji na janga la kariakoo! ukubwa wa utekaji ni swala endelevu sababu watekaji hawajawahi kupatikana wala kushtakiwa na bado wako kazini kutafuta damu na roho za watu! swala la kariakoo litaisha na kusahaulika kama ajali ya morogoro tank la mafuta, huku hatua za makusudi zikichulilwa ikiwemo wahusika wa majengo ya kariako akiwemo mmiliki kushtakiwa pamoja na watendji wa serikali waliohusika, ukubwa huu haujachulilwa kwenye huyu "zimwi" utekaji na mauaji
Utekaji kwa uzoefu ni suala endelevu linasimama kwa muda tu lakini baadae linaweza kuibuka tena.

Kibaya zaidi hakuna ushahidi wa kujitosheleza wenye kuonyesha kwa asilimia mia kwamba watekaji na wauaji ni kina nani.
 
Utekaji kwa uzoefu ni suala endelevu linasimama kwa muda tu lakini baadae linaweza kuibuka tena.

Kibaya zaidi hakuna ushahidi wa kujitosheleza wenye kuonyesha kwa asilimia mia kwamba watekaji na wauaji ni kina nani.
Sasa ni aibu kwa Taifa ambalo linajinasibu kwamba Lina vyombo vya usalama makini, ambavyo vinaweza kunusa harufu kwamba mikutano au vikao vya chama x itaambatana na vurugu na uvunjifu wa amani wakati haijafanyika, na kushindwa kuchunguza na kuja na majibu juu ya matukio yaliyofanyika tayari na every clue leading to the truth zipo! Ili kujisafisha!
Usisahau Sativa alimtaja kabisa aliyemteka, alitaka wazi kituo Cha polisi alichopelekwa akataja kabisa na muda! Lakini swala lake linachunguzwa! Abdul Nondo alishinda Kesi na wahusika ni hao hao polisi!
Wakileta Taarifa juu ya Bonge wa kiluvya tukutane hapa! Hili ni janga
 
Uyo nae aache kuongea kwa kiki. Kama ambavyo hakuna dhambi kubwa wala ndogo, same hakuna janga dogo wala kubwa.
Kama ni hivyo kwanini la kariakoo liwe kubwa kama hakuna kubwa Wala fogo?
 
Back
Top Bottom