Ndamwe
JF-Expert Member
- Jun 11, 2008
- 228
- 161
Nyie ndo watekaji wenyeweKwani huyu ni Askofu wa kanisani au wa vyama vya siasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndo watekaji wenyeweKwani huyu ni Askofu wa kanisani au wa vyama vya siasa.
Kwahiyo kumshusha mtu kwenye bus na kumpiga risasi ni kitu kirahisi kwa mtendewa?!.
Haoni kwamba mtu kukaa chini ya ghorofa bila ya hewa bila ya kula chochote kwa siku tatu ni kitu kigumu sana.
Alikuwa na hasira na masuala ya utekaji leo kaamua kuja na uzi wa kulinganisha vitu visivyofanana kwa namna yoyote.
Huyuu ajaonja msibaa mpwaaaa Mungu akanpee haja ya moyo wskeUmnena MPWA
Nakukumbusha hicho kichwa chako ni kwa ajili ya kufikiri.. SIO KUTENGANISHA HAYO MASIKIOAskofu anawaongezea majonzi waliopoteza watoto pale Kariakoo kwa kufananisha suala lao na utekaji!.
Akili duni sana anatumia katika kuweka maoni yake hadharani.
Mlinganisho, na mfanano upo..
Haoni kwamba mtu kukaa chini ya ghorofa bila ya hewa bila ya kula chochote kwa siku tatu ni kitu kigumu sana.
Alikuwa na hasira na masuala ya utekaji leo kaamua kuja na uzi wa kulinganisha vitu visivyofanana kwa namna yoyote.
Upo sahihiNi mtazamo wake maana maumivu yake ni makali kwa pande zote mbili kwa wazazi ambao watoto wao wameangukiwa na vifusi na kwa wazazi ambao watoto wao wametekwa
Itakuwa ni kutokumuelewa Askofu anamaanisha nini. Askofu hajadharau ajali hiyo bali ameita janga tulilolipa uzito na kusahau kuwa hata huu utekaji ni janga kubwa pengine kuliko la Kariakoo maana walao hili lina matumaini ya uokozi kuliko la utekaji ambalo ndugu na jamaa hawana matumaini na hawajui ndugu yao yuko wapi, kafa au yu hai na katika mateso gani.Kwenye hili janga la kariakoo kuna familia zimepoteza watoto wao wapendwa, wanapomsikia askofu kama huyu wanajikuta wakilaani kauli zake.
Mwanakondoo ameshinda ,tumfuate.“Juzi tumekuwa na janga pale Kariakoo, nchi imesimama kwa sababu ya janga la pale Kariakoo. Wote tumeguswa kwa ajili ya watu ambao tumetangaziwa 13 wamefariki, wale watu wamekufa wakati wanatafuta Maisha, wamekatishwa na kifusi kama Watanzania ni janga la kitaifa.”
“Lakini iweje mtu anachukuliwa, anachomolewa kwenye basi, anapigwa risasi au anauawa. Watu wanapotezwa, hili tunaliona kama sio janga la kitaifa. Kuna unafiki mkubwa sana katika nchi hii, hawa waliopotea wanatofauti gani na wale waliokufa pale Kariakoo, hawa waliopigwa risasi kuna tofauti gani na wale waliokufa pale Kariakoo. Iweje tubague maafa katika nchi hii. Utekaji unaendelea ambao ndio unatisha zaidi kuliko hata janga la Kariakoo.” – Askofu Mwamakula
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula ameeleza hayo leo Jumanne, Novemba 19, 2024 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Makazi ya Askofu yaliyoko mtaa wa Itunge/Iramba karibu na mtaa wa Ruaha eneo la Kituo cha Polisi, Rift Valley, Kimara Suka jijijni Dar es Salaam.
Mazungumzo ya Askofu Mwamakula yamejikita zaidi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, uchambuzi wa tamko la Baraza la Maaskofu wa Katoliki (TEC) na Tamko la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), hali ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa, tatizo la ajira nchini, utekaji, upotezwaji na mauaji ya wanasiasa na wakosoaji wa Serikali, maafa na uwezo wa Serikali kukabiliana nayo, mamlaka na uwezo wa Bunge katika kuisimamia Serikali; muelekeo na mustakabali wa madai ya Katiba Mpya, imani ya Watanzania kwa Serikali yao pamoja na imani yao kwa michakato ya chaguzi na demokrasia kwa ujumla.
Kwenye hili janga la kariakoo kuna familia zimepoteza watoto wao wapendwa, wanapomsikia askofu kama huyu wanajikuta wakilaani kauli zake.
Kwamba na wewe huoni kuchukuliwa na watu wasiojulikana kupelekwa ununio na kuuwawa huku unaona mpaka kitobolewa macho na kumwagiwa tindikali ni kitu kigumu sana! ?.
Haoni kwamba mtu kukaa chini ya ghorofa bila ya hewa bila ya kula chochote kwa siku tatu ni kitu kigumu sana.
Alikuwa na hasira na masuala ya utekaji leo kaamua kuja na uzi wa kulinganisha vitu visivyofanana kwa namna yoyote.
Aibu, kifo ni kifo tu hata Cha kuuwawa siasa inaongeza akili!Duh... Aibu naona mimi. Janga ni janga. Siasa kweli inapunguza akili
Kwamba unataka kusema Madam President alikunywa Mbege aliposema kifo ni kifo tu kwenye podium huku akijua kwamba familia ndugu na jamaa wa mzee Kibao walikua na majonzi juu ya kifo Cha kikatili alichofanyiwa mpendwa wao, yeye akaongea usenge. Kulikua na umuhimu Gani wa kuonaisha matukio ya nyuma na tukio lile wakati alishauhadaa umma kuwa ametaka uchunguzi wa haraka? Do you think critically?Haya ndio madhara ya kunywea wine chumbani yani watu wana majonzi yeye anaongea usenge kulikuwa na umhimu gani kuoanisha haya matukio
Kuwa sawa upande Fulani inatosha Kwa sababu hakuna aliyekamilika, ni vyema kuchukua lile lililo sawa!Yuko sawa kwa upande fulani
Ila pia hayuko sawa
Katiba ya jamhurinya muungano wa Tanzania pamoja na ubovu wake, inatoa Haki na uhuru wa kutoa maoni Kwa jambo lolote lenye maslahi ya umma ilimradi maoni hayo hayavunji katika.Yeye anazungumza kama nani!
Mkuu kosa la Askofu hadi asakamwe hivyo ni nini?? Askofu hajabeza vifo vya kariakoo infact ameonyesha kusikitishwa kwake. Mkuu unaposema kuwa familia zilizopoteza watoto wao zina uchungu. Kwani familia za wahanga wa utekaji wao hawana uchungu kupoteza wapendwa wao??Kwenye hili janga la kariakoo kuna familia zimepoteza watoto wao wapendwa, wanapomsikia askofu kama huyu wanajikuta wakilaani kauli zake.
Labda amenukuliwa vibaya!!!.
Haoni kwamba mtu kukaa chini ya ghorofa bila ya hewa bila ya kula chochote kwa siku tatu ni kitu kigumu sana.
Alikuwa na hasira na masuala ya utekaji leo kaamua kuja na uzi wa kulinganisha vitu visivyofanana kwa namna yoyote.