Askofu Mwamakula: Janga la Kariakoo sio kubwa kama La utekaji

Askofu Mwamakula: Janga la Kariakoo sio kubwa kama La utekaji

“Juzi tumekuwa na janga pale Kariakoo, nchi imesimama kwa sababu ya janga la pale Kariakoo. Wote tumeguswa kwa ajili ya watu ambao tumetangaziwa 13 wamefariki, wale watu wamekufa wakati wanatafuta Maisha, wamekatishwa na kifusi kama Watanzania ni janga la kitaifa.”


“Lakini iweje mtu anachukuliwa, anachomolewa kwenye basi, anapigwa risasi au anauawa. Watu wanapotezwa, hili tunaliona kama sio janga la kitaifa. Kuna unafiki mkubwa sana katika nchi hii, hawa waliopotea wanatofauti gani na wale waliokufa pale Kariakoo, hawa waliopigwa risasi kuna tofauti gani na wale waliokufa pale Kariakoo. Iweje tubague maafa katika nchi hii. Utekaji unaendelea ambao ndio unatisha zaidi kuliko hata janga la Kariakoo.” – Askofu Mwamakula

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula ameeleza hayo leo Jumanne, Novemba 19, 2024 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Makazi ya Askofu yaliyoko mtaa wa Itunge/Iramba karibu na mtaa wa Ruaha eneo la Kituo cha Polisi, Rift Valley, Kimara Suka jijijni Dar es Salaam.

Mazungumzo ya Askofu Mwamakula yamejikita zaidi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, uchambuzi wa tamko la Baraza la Maaskofu wa Katoliki (TEC) na Tamko la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), hali ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa, tatizo la ajira nchini, utekaji, upotezwaji na mauaji ya wanasiasa na wakosoaji wa Serikali, maafa na uwezo wa Serikali kukabiliana nayo, mamlaka na uwezo wa Bunge katika kuisimamia Serikali; muelekeo na mustakabali wa madai ya Katiba Mpya, imani ya Watanzania kwa Serikali yao pamoja na imani yao kwa michakato ya chaguzi na demokrasia kwa ujumla.
Kwenye huu ujumbe, bila kuweka hisia pembeni huwezi kumwelewa askofu.
 
Mpuuzi huyo anaongea ujinga baada ya kushiba ugali wa sembe na samaki sangara, Watanzania wanapenda sana kuongea ujinga kisa kipaza sauti kipo mbele ya midomo yao.

Haoni kwamba mtu kukaa chini ya ghorofa bila ya hewa bila ya kula chochote kwa siku tatu ni kitu kigumu sana.

Alikuwa na hasira na masuala ya utekaji leo kaamua kuja na uzi wa kulinganisha vitu visivyofanana kwa namna yoyote.
Tulia shoga wewe.
Nenda tabata kafumuliwe usiku huu
 
“Juzi tumekuwa na janga pale Kariakoo, nchi imesimama kwa sababu ya janga la pale Kariakoo. Wote tumeguswa kwa ajili ya watu ambao tumetangaziwa 13 wamefariki, wale watu wamekufa wakati wanatafuta Maisha, wamekatishwa na kifusi kama Watanzania ni janga la kitaifa.”


“Lakini iweje mtu anachukuliwa, anachomolewa kwenye basi, anapigwa risasi au anauawa. Watu wanapotezwa, hili tunaliona kama sio janga la kitaifa. Kuna unafiki mkubwa sana katika nchi hii, hawa waliopotea wanatofauti gani na wale waliokufa pale Kariakoo, hawa waliopigwa risasi kuna tofauti gani na wale waliokufa pale Kariakoo. Iweje tubague maafa katika nchi hii. Utekaji unaendelea ambao ndio unatisha zaidi kuliko hata janga la Kariakoo.” – Askofu Mwamakula

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula ameeleza hayo leo Jumanne, Novemba 19, 2024 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Makazi ya Askofu yaliyoko mtaa wa Itunge/Iramba karibu na mtaa wa Ruaha eneo la Kituo cha Polisi, Rift Valley, Kimara Suka jijijni Dar es Salaam.

Mazungumzo ya Askofu Mwamakula yamejikita zaidi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, uchambuzi wa tamko la Baraza la Maaskofu wa Katoliki (TEC) na Tamko la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), hali ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa, tatizo la ajira nchini, utekaji, upotezwaji na mauaji ya wanasiasa na wakosoaji wa Serikali, maafa na uwezo wa Serikali kukabiliana nayo, mamlaka na uwezo wa Bunge katika kuisimamia Serikali; muelekeo na mustakabali wa madai ya Katiba Mpya, imani ya Watanzania kwa Serikali yao pamoja na imani yao kwa michakato ya chaguzi na demokrasia kwa ujumla.
Aiseeee
 
Mpuuzi huyo anaongea ujinga baada ya kushiba ugali wa sembe na samaki sangara, Watanzania wanapenda sana kuongea ujinga kisa kipaza sauti kipo mbele ya midomo yao.

Haoni kwamba mtu kukaa chini ya ghorofa bila ya hewa bila ya kula chochote kwa siku tatu ni kitu kigumu sana.

Alikuwa na hasira na masuala ya utekaji leo kaamua kuja na uzi wa kulinganisha vitu visivyofanana kwa namna yoyote.
Kweli,utekaji ni jambo baya lakini sio "AJALI" mbaya kama kuangukiwa na GHOROFA!
Angejaribu kuhisi maumivu makali waliyopitia hawa wahanga,wengine wakatoka hai na wengine wakafariki,basi hekima ya "KIASKOFU" ingemtuma vingine,kama hakuongea wakati wote huko nyuma basi angeendelea kukaa kimya.
Ijulikane hatutetei utekaji Wala kupotea kwa watu,ila watu hawa hupotea kwa sababu mbalimbali,ikiwemo kugombana na mamlaka!
Marehemu wetu Kariakoo waliamka kwenda kazini kama kawàida,ghorofa likawaangukia na wakafa!
Wengine wanapambania Maisha Yao mpaka sasa!
Askofu anafanya makosa makubwa kujaribu kuhusianisha vitu hivi viwili tofauti sana ila si tofauti kabisa.
Taifa linahitaji faraja kwa sasa na si masimango.
 
Yuko
“Juzi tumekuwa na janga pale Kariakoo, nchi imesimama kwa sababu ya janga la pale Kariakoo. Wote tumeguswa kwa ajili ya watu ambao tumetangaziwa 13 wamefariki, wale watu wamekufa wakati wanatafuta Maisha, wamekatishwa na kifusi kama Watanzania ni janga la kitaifa.”


“Lakini iweje mtu anachukuliwa, anachomolewa kwenye basi, anapigwa risasi au anauawa. Watu wanapotezwa, hili tunaliona kama sio janga la kitaifa. Kuna unafiki mkubwa sana katika nchi hii, hawa waliopotea wanatofauti gani na wale waliokufa pale Kariakoo, hawa waliopigwa risasi kuna tofauti gani na wale waliokufa pale Kariakoo. Iweje tubague maafa katika nchi hii. Utekaji unaendelea ambao ndio unatisha zaidi kuliko hata janga la Kariakoo.” – Askofu Mwamakula

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula ameeleza hayo leo Jumanne, Novemba 19, 2024 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Makazi ya Askofu yaliyoko mtaa wa Itunge/Iramba karibu na mtaa wa Ruaha eneo la Kituo cha Polisi, Rift Valley, Kimara Suka jijijni Dar es Salaam.

Mazungumzo ya Askofu Mwamakula yamejikita zaidi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, uchambuzi wa tamko la Baraza la Maaskofu wa Katoliki (TEC) na Tamko la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), hali ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa, tatizo la ajira nchini, utekaji, upotezwaji na mauaji ya wanasiasa na wakosoaji wa Serikali, maafa na uwezo wa Serikali kukabiliana nayo, mamlaka na uwezo wa Bunge katika kuisimamia Serikali; muelekeo na mustakabali wa madai ya Katiba Mpya, imani ya Watanzania kwa Serikali yao pamoja na imani yao kwa michakato ya chaguzi na demokrasia kwa ujumla.
YUko sahihi.....TLS ilipublish report ya Forced Disappeaeances more than 90 individuals.
 
Kweli,utekaji ni jambo baya lakini sio "AJALI" mbaya kama kuangukiwa na GHOROFA!
Angejaribu kuhisi maumivu makali waliyopitia hawa wahanga,wengine wakatoka hai na wengine wakafariki,basi hekima ya "KIASKOFU" ingemtuma vingine,kama hakuongea wakati wote huko nyuma basi angeendelea kukaa kimya.
Ijulikane hatutetei utekaji Wala kupotea kwa watu,ila watu hawa hupotea kwa sababu mbalimbali,ikiwemo kugombana na mamlaka!
Marehemu wetu Kariakoo waliamka kwenda kazini kama kawàida,ghorofa likawaangukia na wakafa!
Wengine wanapambania Maisha Yao mpaka sasa!
Askofu anafanya makosa makubwa kujaribu kuhusianisha vitu hivi viwili tofauti sana ila si tofauti kabisa.
Taifa linahitaji faraja kwa sasa na si masimango.
Kwamba utekaji si ajali mbaya?!

Unajua mateso wanayoyapitia wanaotekwa kuanzia wakati wanapotekwa hadi kufikia kuuawa?

Ukiachana na la mzee Kibao, uliwahi kuipata stori ya yule mzee (nimemsahau jina) aliyemgomea jiwe kutoa fungu la fedha kienyeji kwenye ofisi yake alivyotekwa akateswa vibaya (ikiwemo kulawitiwa) kwa siku kadhaa hadi kuuawa?

Mnajaribu kumpinga askofu tu kwa chuki zenu binafsi, ila alichokiongea tukiweka hisia kando yupo sahihi
 
Kwamba utekaji si ajali mbaya?!

Unajua mateso wanayoyapitia wanaotekwa kuanzia wakati wanapotekwa hadi kufikia kuuawa?

Ukiachana na la mzee Kibao, uliwahi kuipata stori ya yule mzee (nimemsahau jina) aliyemgomea jiwe kutoa fungu la fedha kienyeji kwenye ofisi yake alivyotekwa akateswa vibaya (ikiwemo kulawitiwa) kwa siku kadhaa hadi kuuawa?

Mnajaribu kumpinga askofu tu kwa chuki zenu binafsi, ila alichokiongea tukiweka hisia kando yupo sahihi
Kizazi hiki nimedeli kwenye logic and argumentation.
 
Kwamba utekaji si ajali mbaya?!

Unajua mateso wanayoyapitia wanaotekwa kuanzia wakati wanapotekwa hadi kufikia kuuawa?

Ukiachana na la mzee Kibao, uliwahi kuipata stori ya yule mzee (nimemsahau jina) aliyemgomea jiwe kutoa fungu la fedha kienyeji kwenye ofisi yake alivyotekwa akateswa vibaya (ikiwemo kulawitiwa) kwa siku kadhaa hadi kuuawa?

Mnajaribu kumpinga askofu tu kwa chuki zenu binafsi, ila alichokiongea tukiweka hisia kando yupo sahihi
Mimi na wewe wote hatukuwepo watu walipotekwa,Wala hatukuwepo kwenye Jengo kariakoo!
Sishindani na wewe.Ninachosema ni kwamba kama "Askofu" Angekuwa mtu fair kitaasisi asingelitoa lawama na kulinganisha mambo kama hivi!
Kwa nafasi yake anatakiwa kutenda Haki Kila upande!
Hakuna Serikali iliyowekwa Madarakani Ili kuteka watu,Wala hakuna anayefurahia utekaji!
Tukio hili ni AJALI iliyowakuta watu wengi kwa wakati mmoja,watu wamepoteza Mali na UHAI!.Ghafla sana!..Kuna familia zimefiwa mtu zaidi ya mmoja kwa mara Moja!
Askofu anapata wapi audacity ya kuongea haya!
Au askofu tumewaoverrate sana!
 
Back
Top Bottom