Askofu Mwamakula: Janga la Kariakoo sio kubwa kama La utekaji

Askofu Mwamakula: Janga la Kariakoo sio kubwa kama La utekaji

Mimi na wewe wote hatukuwepo watu walipotekwa,Wala hatukuwepo kwenye Jengo kariakoo!
Sishindani na wewe.Ninachosema ni kwamba kama "Askofu" Angekuwa mtu fair kitaasisi asingelitoa lawama na kulinganisha mambo kama hivi!
Kwa nafasi yake anatakiwa kutenda Haki Kila upande!
Hakuna Serikali iliyowekwa Madarakani Ili kuteka watu,Wala hakuna anayefurahia utekaji!
Tukio hili ni AJALI iliyowakuta watu wengi kwa wakati mmoja,watu wamepoteza Mali na UHAI!.Ghafla sana!..Kuna familia zimefiwa mtu zaidi ya mmoja kwa mara Moja!
Askofu anapata wapi audacity ya kuongea haya!
Au askofu tumewaoverrate sana!
Askofu anawaongezea majonzi waliopoteza watoto pale Kariakoo kwa kufananisha suala lao na utekaji!.

Akili duni sana anatumia katika kuweka maoni yake hadharani.
 
Mpuuzi huyo anaongea ujinga baada ya kushiba ugali wa sembe na samaki sangara, Watanzania wanapenda sana kuongea ujinga kisa kipaza sauti kipo mbele ya midomo yao.

Haoni kwamba mtu kukaa chini ya ghorofa bila ya hewa bila ya kula chochote kwa siku tatu ni kitu kigumu sana.

Alikuwa na hasira na masuala ya utekaji leo kaamua kuja na uzi wa kulinganisha vitu visivyofanana kwa namna yoyote.
Wewe na yeye nani mpuuzi?? Wewe ni mbumbumbu kabisa
 
Mimi na wewe wote hatukuwepo watu walipotekwa,Wala hatukuwepo kwenye Jengo kariakoo!
Sishindani na wewe.Ninachosema ni kwamba kama "Askofu" Angekuwa mtu fair kitaasisi asingelitoa lawama na kulinganisha mambo kama hivi!
Kwa nafasi yake anatakiwa kutenda Haki Kila upande!
Hakuna Serikali iliyowekwa Madarakani Ili kuteka watu,Wala hakuna anayefurahia utekaji!
Tukio hili ni AJALI iliyowakuta watu wengi kwa wakati mmoja,watu wamepoteza Mali na UHAI!.Ghafla sana!..Kuna familia zimefiwa mtu zaidi ya mmoja kwa mara Moja!
Askofu anapata wapi audacity ya kuongea haya!
Au askofu tumewaoverrate sana!
Hujamuelewa askofu, kasema janga la kariakoo ni kubwa na limechukuliwa kwa uzito wake ila utekaji nalo kubwa lakini halichukuliwi kwa uzito unaotakiwa
 
Unafiki bwana yaani Kuna mtu anaona wanaotekwa wanastahili kutekwa Ila waliokufa kariakoo hawastahili kufa

Binadamu wote ni sawa tuishi kwa kupendana

Kila uhai wa mtu ni haki unatolewa na mwenyezi Mungu pekee sio mwanadamu mwenzie

Next time litandondoka jengo la lumumba na tutasema kifo ni kifo tu!!!

In Samia voice kifo ni kifo tu!!!
 
Mpuuzi huyo anaongea ujinga baada ya kushiba ugali wa sembe na samaki sangara, Watanzania wanapenda sana kuongea ujinga kisa kipaza sauti kipo mbele ya midomo yao.

Haoni kwamba mtu kukaa chini ya ghorofa bila ya hewa bila ya kula chochote kwa siku tatu ni kitu kigumu sana.

Alikuwa na hasira na masuala ya utekaji leo kaamua kuja na uzi wa kulinganisha vitu visivyofanana kwa namna yoyote.
Umetafakari au umeguswa ndo ukahisi haki yako ya kuandika ndo itazalisha andiko bora ktoka kwako?
 
“Juzi tumekuwa na janga pale Kariakoo, nchi imesimama kwa sababu ya janga la pale Kariakoo. Wote tumeguswa kwa ajili ya watu ambao tumetangaziwa 13 wamefariki, wale watu wamekufa wakati wanatafuta Maisha, wamekatishwa na kifusi kama Watanzania ni janga la kitaifa.”


“Lakini iweje mtu anachukuliwa, anachomolewa kwenye basi, anapigwa risasi au anauawa. Watu wanapotezwa, hili tunaliona kama sio janga la kitaifa. Kuna unafiki mkubwa sana katika nchi hii, hawa waliopotea wanatofauti gani na wale waliokufa pale Kariakoo, hawa waliopigwa risasi kuna tofauti gani na wale waliokufa pale Kariakoo. Iweje tubague maafa katika nchi hii. Utekaji unaendelea ambao ndio unatisha zaidi kuliko hata janga la Kariakoo.” – Askofu Mwamakula

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula ameeleza hayo leo Jumanne, Novemba 19, 2024 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Makazi ya Askofu yaliyoko mtaa wa Itunge/Iramba karibu na mtaa wa Ruaha eneo la Kituo cha Polisi, Rift Valley, Kimara Suka jijijni Dar es Salaam.

Mazungumzo ya Askofu Mwamakula yamejikita zaidi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, uchambuzi wa tamko la Baraza la Maaskofu wa Katoliki (TEC) na Tamko la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), hali ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa, tatizo la ajira nchini, utekaji, upotezwaji na mauaji ya wanasiasa na wakosoaji wa Serikali, maafa na uwezo wa Serikali kukabiliana nayo, mamlaka na uwezo wa Bunge katika kuisimamia Serikali; muelekeo na mustakabali wa madai ya Katiba Mpya, imani ya Watanzania kwa Serikali yao pamoja na imani yao kwa michakato ya chaguzi na demokrasia kwa ujumla.
Ajafiwa huyuu
 
Hujamuelewa askofu, kasema janga la kariakoo ni kubwa na limechukuliwa kwa uzito wake ila utekaji nalo kubwa lakini halichukuliwi kwa uzito unaotakiwa
Kila mtu ana upeo na mwisho wake wa kufikiri.
Mimi nimemuelewa hivyo,usinilazimishe nielewe unavyoelewa wewe.
 
Back
Top Bottom