kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Sina maneno mengi wengi wanauliza kanisa la huyu askofu wa siasa lipo pande zipi waweze kwenda kupata msosi msosi wa kiroho na kisiasa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza na Msigwa kwanzaSina maneno mengi wengi wanauliza kanisa la huyu askofu wa siasa lipo pande zipi waweze kwenda kupata msosi wa kiroho na kisiasa!
YesKanisa lake lipo mioyoni mwa waTanzania wapenda haki bila kujali dini zao
Siyo Msigwa tapeli MsigwaAnza na Msigwa kwanza
Jibu swali kanisa la Askofu Mwamakula liko wapi? Acha porojoKanisa" katika Biblia ya Kiingereza ni ekklesia. Neno hili ni maneno ya Kigiriki kaleo (kuita), yenye kiambishi awali ek (nje). Kwa hivyo, neno hilo linamaanisha " walioitwa ." Hata hivyo, neno la Kiingereza "kanisa" halitokani na ekklesia bali kutoka kwa neno kuriakon, ambalo linamaanisha "wakfu kwa Bwana."
Huwa hana makuu, unayemfuatilia ndiye Kanisa lakeSina maneno mengi wengi wanauliza kanisa la huyu askofu wa siasa lipo pande zipi waweze kwenda kupata msosi wa kiroho na kisiasa!
Unachotakiwa ni kusema kanisa lake linapatikana wapi?Mnatamani hao Maaskofu na Wachungaji wote wawe kama Malasusa, Gwajima, Peter Msigwa, Mwamposa, nk. Jambo ambalo haliwezekani kabisa.
Babu mchawi utuelekeze tu kanisa la huyo mtu mwenye cheo cha askofu wa kuwaendesha kondoo lipo wapi?Anza na Msigwa kwanza
Msigwa anakanisa? Wanaabudu nani katika hilo kanisa? Kuku au bata? Maana binaadam si amini kama atakuwa anaabuduMnatamani hao Maaskofu na Wachungaji wote wawe kama Malasusa, Gwajima, Peter Msigwa, Mwamposa, nk. Jambo ambalo haliwezekani kabisa.
Kanisa sio jengo ni mafundishoSina maneno mengi wengi wanauliza kanisa la huyu askofu wa siasa lipo pande zipi waweze kwenda kupata msosi msosi wa kiroho na kisiasa!
Kumbe!Kanisa sio jengo ni mafundisho
Mwamakula amepinda tu kama mateja yanayovuta unga. Yeye Hana kanisa wala waumini popote japo anaitwa Askofu wa Moravian Uamsho. Emmanuel Bandekile Mwamakula ni Tapeli tu kama tapeli yeyote unayomfahamu. Wenzie wa Moravian Mbeya walimtimua walipoona ni mdokozi wa sadakaSina maneno mengi wengi wanauliza kanisa la huyu askofu wa siasa lipo pande zipi waweze kwenda kupata msosi msosi wa kiroho na kisiasa!