Askofu Mwamakula mpigania haki wa CHADEMA kanisa lake liko wapi?

Askofu Mwamakula mpigania haki wa CHADEMA kanisa lake liko wapi?

Usiseme kanisa lake lipo wapi sema makanisa yake yanapatikana maeneo gani. Yeye ni Askofu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania na ni Makamu Askofu wa Makanisa ya Moravian ya Uamsho Ulimwenguni. Kwa hiyo sio mtu mdogo huyo. Kwa Dar ana makanisa kadhaa na yeye alikuwa akisalisha ktk kanisa linalokutanika katika ukumbi pale Mlimani City sijajua kama amehama pale.
 
Back
Top Bottom