kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
-
- #21
Duuuh kumbee arudishe majoho!Mwamakula amepinda tu kama mateja yanayovuta unga. Yeye Hana kanisa wala waumini popote japo anaitwa Askofu wa Moravian Uamsho. Emmanuel Bandekile Mwamakula ni Tapeli tu kama tapeli yeyote unayomfahamu. Wenzie wa Moravian Mbeya walimtimua walipoona ni mdokozi wa sadaka
Tuambie naona kama una kitu mkuu funguka........Tafuta kujua kwanza ni Askofu wa Dhehebu lipi ndipo uulize Kanisa analohudumu li wapi.
Mwamakula amepinda tu kama mateja yanayovuta unga. Yeye Hana kanisa wala waumini popote japo anaitwa Askofu wa Moravian Uamsho. Emmanuel Bandekile Mwamakula ni Tapeli tu kama tapeli yeyote unayomfahamu. Wenzie wa Moravian Mbeya walimtimua walipoona ni mdokozi wa sadaka
Ninachokijua Mimi ni kuwa,Tuambie naona kama una kitu mkuu funguka........
huyu jamaa ni mhuni tu kama walivyo wahuni wengine anaacha kuchunga kondoo kila siku chadema mikutanoni:Sina maneno mengi wengi wanauliza kanisa la huyu askofu wa siasa lipo pande zipi waweze kwenda kupata msosi msosi wa kiroho na kisiasa!
Hata mimi nasubiri jibu lao,Jibu swali kanisa la Askofu Mwamakula liko wapi? Acha porojo
Unataka akakubariki au ukamteke?Jibu swali.Unachotakiwa ni kusema kanisa lake linapatikana wapi?
Kwanza jua maana ya Kanisa.Jibu swali kanisa la Askofu Mwamakula liko wapi? Acha porojo
Mwamakula Bandekile ni FAKE PASTOR. Mhuni fulani tu kasoma Azania enzi hizo baada ya kupigika kaamua kutoka ki-Moravian. Ila wajanja wakamshitukiaDuuuh kumbee arudishe majoho!
Wakinipinga basi nitawataka waweke location ya kanisa, picha ya kanisa na ikibidi wataje waumini wa Mwamakula japo WATANO tuCHADEMA watapingana na wewe
Kanisa halina maana ya jengo la wakiristu kama tunavyodhani, ni mkusanyiko wa waumini hata kama ndani ya jengo la CCM!(ila humu sijui kama Mungu atawaacha salama) au chini ya mnazi.Sina maneno mengi wengi wanauliza kanisa la huyu askofu wa siasa lipo pande zipi waweze kwenda kupata msosi msosi wa kiroho na kisiasa!
Nenda Jijini Mbeya anakoishi. Utaliona.Unachotakiwa ni kusema kanisa lake linapatikana wapi?
Njoo hapa upanga nikuonesheJibu swali kanisa la Askofu Mwamakula liko wapi? Acha porojo
Siasa imevamiwa na Dini basi tabu tupu lo!
Tuwekee GPS location tu tutaweza kuliona.Njoo hapa upanga nikuoneshe
Kumbe ni ndaga pijo na malori!Nenda Jijini Mbeya anakoishi. Utaliona.