Uchaguzi 2020 Askofu Mwamakula: Ninakwenda katika msafara wa Lissu pamoja na uwezekano wa kupigwa mawe au kurushiwa mabomu na risasi

Iwe kwa damu ama maji mwaka huu ikulu ni yetu wazarendo wa kweli wa taifa hili.
 
Askofu amejijengea heshima kwa kuendelea kuihubiri haki kwa vitendo, abarikiwe sana.

Wengine wanashindwa hata kutoa kauli tu za kukemea hayo matendo ya kihuni anayofanyiwa Lissu, wanatakiwa kuona aibu sasa, wajue dunia inawatazama.
Nitaanza kwenda kanisani tena siku nitakapoona maaskofu wa Kanisa Katoliki wakikemea vitendo viovu vya magufuli hadharani bila kupepesa macho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye uchaguzi wa mwaka 2000 Askofu Kakobe alikuwa anatembea na Mgombea Urais Augustine Lyatonga Mrema akidai kuwa NDIYE Rais aliyetabiriwa! Leo yupo huyu!! Ahahahahahaah!!!
 
Nilikuwa nasikia watu wanachukuliwa kwenda kwenye kampeni leo nimeshuhudia mwenyewe

Kikubwa tujuze uwanja.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kujaza uwanja Kuna faida gani? CCM wameishiwa kabisa.
Leo weeeeengi wameletwa Kawe kea mabasi, jamaa HATA hajamaliza kuongea watu wakaanza kuelekea Beach.
 

Attachments

  • Screenshot_20201014-215639.png
    116.1 KB · Views: 1
Narudia tena wote ni wapumbv.... dini na siasa havitakiwi kuchanganywa. Ni lazima wachague moja.
 
Ya kaisari ampe kaisari, na ya Mungu ampe Mungu wa kweli. Ila kama ni tumbo lake, kila la kheri maana ndio msingi wa ukamanda wa chama cha Mbowe.
Tumbo?? Chadema wanaaccess ya kuchota hazina
 
Ya kaisari ampe kaisari, na ya Mungu ampe Mungu wa kweli. Ila kama ni tumbo lake, kila la kheri maana ndio msingi wa ukamanda wa chama cha Mbowe.

Ma-CCM acheni kuwafanya Watz hawana akili. Yaani Askofu, padre au mchungaji akikemea UOVU unaofanywa na Polisi kwa Raia mnamwambia ni mchochezi au siyo MZALENDO.......!??
Hivi Askofu Gwajima anagombea Ubunge Kawe kama Askofu au Mwanasiasa???
Lakini pia kuna marehemu Askofu Dk. Rwakatare alikuwa Mbunge wa Kuteuliwa na CCM sijui alikuwa anavua Uaskofu akiingia Bungeni au???
 

Pamoja[emoji109]
 
Huyu ni
Huyu ni Askofu Tutu wa Tanzania
 
Narudia tena wote ni wapumbv.... dini na siasa havitakiwi kuchanganywa. Ni lazima wachague moja.

You can't serve two Masters at one time! But both politics and religions move together, you can't separate them.
Ndo maana tuna Balozi wa Pope toka Vatican hapa Tanzania na Serikali ya Tanzania ina Ubalozi wake huko Vatican.
Kanisa linapojenga Hospitals, Shule na Vyuo halifanyi siasa baali linatoa huduma kwa Jamii na KULIPA Kodi.
Kinachoshangaza Tanzania ni pale Kanisa linapoanza kukemea maovu na kukosoa Wanasiasa linaambiwa liache Siasa.....ebho? Huu ni uwendawazimu!!
Gwajima ana platform yake ya kuisemea na kuikosoa Serikali AKIWA KANISANI KWAKE na siyo kuomba KURA KWENDA BUNGENI....That's a BIG NO!!
 
Uzalendo ni kupiga watu risasi
 
Wakisifia wanaitwa viongozi wa dini wakikemea maovu wanaitwa siyo wazalendo
 
Huyu ni

Huyu ni Askofu Tutu wa Tanzania
Amina kubwa hapo.
Askofu Desmond Tutu alipigana bega kwa bega na Mzee Nelson Mandela(rip)kutokomeza Ukaburu nchini Afrika Kusini!
Hivo Askofu Mwamakula Yuko sahihi kabisa kwa 100%!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…